Huyu binti kiukweli nashindwa kumuelewa baada ya kunipa mkopo wa pesa

Rudisha pesa na acha kuwa na tamaa za kijinga, ahadi ni deni au mpaka akudai.Acha uswahili rudisha pesa ya watu.
 
Uungwana ni kurudisha pesa. Inawezekana pia anakutaka kwa jinsi ulivyomkarimu January 2020 lakini kama unataka kumvua picchu usiingie kichwa kichwa ukaharibu urafiki wenu. Wahuni wanasema akili mkichwa.
 
Lipa hela bro. Atajibu sms zako
 
Kushukurusl shukuru kilamala ni ujinga

Kwakuwa hujui au unafkr ni shida unayojua ww,mzee labd nikuambie hilo jambo lilikuwa ni hatar inaeza pelekea hata mtu kufa kwahyo siku nyingn usionge upumbavu wa namna hiyo au ulifikr nilipewa hela ya kula au ya kuhonga!!??
 
Wanaume wameshaisha aisee...
How old are you young boy?


Ukimya wake maybe unafikiri anakutaka?
Ukikya wake unadhani hakumbuki kama anakudai?
Kujiongelesha na yeye kukupotezea juu ya suala hilo umefikiri amesamehe labda? Ulimfata mwenyewe na ukaomba msaada na ukaupata kwa mkopo. Unataka ufatwe tena uombwe kurejesha? Huna hata aibu? Eti nimrudishie ama nikaushe? Seriously? Manenooo mengiii ukitafyta huruma usamehewe ama?
 
Uungwana ni kurudisha pesa. Inawezekana pia anakutaka kwa jinsi ulivyomkarimu January 2020 lakini kama unataka kumvua picchu usiingie kichwa kichwa ukaharibu urafiki wenu. Wahuni wanasema akili mkichwa.

Sina dhamira ya kumdhulum wala sina dhamira ya kumla japo nataman kumla ila sitokaa kuthubutu kumwambia mm ni mwanaume mtoto mkali yyt lazima nimtaman
 

Usilolijua ni sawa na usiku wa giza umeongea point ambayo haina mashiko hapo mambo ya uwanaume unakuja vp!!ww kaa kmy tu ila kitu km hujaelewa bhas
 
Kwakuwa hujui au unafkr ni shida unayojua ww,mzee labd nikuambie hilo jambo lilikuwa ni hatar inaeza pelekea hata mtu kufa kwahyo siku nyingn usionge upumbavu wa namna hiyo au ulifikr nilipewa hela ya kula au ya kuhonga!!??
Hata tatizo lihusu kufa ukoo wako mzima Still kushukuru shukuru ni uzwazwa na haipendezi kwa mtu timamu Shukuru siku ya kwanza hapo Hospital, ×2 ukichati nae inatosha endelea na story nyengine sio kila day ujinga.
 
Kwanza inaonyesha wewe ni mrushi, pesa unatakiwa umtumie kwenye sim Yake na ya kutolea ili arudishe pesa zake benk na kumpigia sim kumshukuru, nyie ndio mnaosabisha watu wasikopeshwe, shukurani ya punda siku zote ni mateke
 
Mkuu nakushauri mlipe hiyo hela yake tena siku unamlipa wala usimuulize kuwa sasa ndio nataka nikutumie ile hela yako... ..Wewe mtumie kabisa ndio umuulize vipi muamala ushauona?
 
Marafiki wa hivyo wapo sana kwenye shda haulizi na kwenye deni haulizi inshort hapendi ujihisi vibaya kwa deni alilokukopa

kwa upande wangu ninao kama 5 hakika ni kama utajiri kwangu kiasi cha kwamba nishaweka nadhiri wakinililia shida ntauza hata kirikuu chngu niwasaidie japo nmesubiria wapate shida now mwaka wa 8 shida napata mimi tu
 
Sina dhamira ya kumdhulum wala sina dhamira ya kumla japo nataman kumla ila sitokaa kuthubutu kumwambia mm ni mwanaume mtoto mkali yyt lazima nimtaman
"Je wadau niendele kukausha mpk aniulize au nimrudishie pesa yake"

Uungwana ni kurejesha kwa wakati.

Hapa umetuangusha mzee baba

Fanya hima ukarudishe ela za watu chaaap acha kuendelea kubishana humu, mana ulichoandika ndicho kinakuhukumu.
 
Nyie ndio mnasababisha sisi wengine waungwana tukiwa na shida tusikopeshwe.....

Bure Kabisa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…