Mwambie huyo[emoji23]Mwanamme wa wapi unakopa pesa ya wanawake? Halafu unataka akuachie 200k. Yote?. Rudisha hiyo pesa nanyongeza juu Kama Aasante
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Mkuu wap nmesema kuwa ananitaka!!yan wana jf mnapenda kuhukum hv mfano mtu akija anataka kujiua mnaeza mkashauri vp mpk akaghair yan weng wao mnafikria mnamitazamo positive san
Mpe sasa[emoji848]Dah[emoji23][emoji23][emoji23]hakuna kitu naogopa km kunadaiwa mzee na sipend ahad za uongo kwahy siwez kumrusha hela yake
HaaahaaaLinda heshima yetu wanaume usijiongeleshe ongeleshe kuhukuru kila mara... subiri ukipata hela lipa, hapo sasa unaweza ita hata piga simu hata mara mia kushukuru hata ukiweza lia kabisa.
linakuja kutia tia huruma,hili ni likibenteni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] fakin kabisa
Mlipe hela yake wewe. Kisa anakunyamazia ndo nawewe unataka kuponea hapo hapo? Mlipe chake mkuu
Mkuu pole na banAcha kutusumbua rudisha hela za watu!
ameona huna dalili za kulipaWakuu nimeamua kuleta update kwenu mm sina tabia ya dhulma ila nimesamehewa deni kwahy na bahat nzur nilimrecord kipind naongea nae ila jins ya kuieka hapa nmeshindwa
Kama ulimwambia utarejesha basi rejesha usijekua miongoni mwa wanafki ambao wakiahidi hawatekelezi ahadi.
Kuhusu kupotezea swala la pesa ukimtajia kwa upande wangu naona anajiepusha na ria/ kujisikia/kujisifu kua amekusaidia na wakati uanvozd kumshukuru shetan nae huenda uleta maradhi ya kujifahari na kama yeye alitoa kama sadaqa basi sadaqa yake ikubaliwe lazima ajieupushe na hyo mada ili asije ona amekusaida saaana akati ni mwenyezi Mungu ndie aliendika msaada wako kwa siku ile utapitia kwa hyu dada.
Mimi hua pia sipendi swala la kushukuriwa sana , maana moyo ni dhaifu mwishowe ujione wewe umesaidia uanze kujisikia
acha kututia aibu wanaume wenzio rudisha hela ya watu!
kwa kifupi huwezi kuwa naye mwanamke kama huyu kwa kuwa yuko smart zaidi yako!
ili uweke sawa rudisha fedha ya watu kwa kupitia simu yake kisha kutengeneza network mtafutie mtoko hata kwa maongezi ya jioni tumia hapo hata laki moja kwa story zingine si za kulialia!
ameona huna dalili za kulipa
Mkuu enjoy JfHv waja mnanini lkn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
baada ya mtoko tuonane kwenye uzi wa riki boy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu umeongea ujinga alaf badae umeongea point hii nitamuomba weknd hii nimtoe out kidogo kwahyo hiyo pesa yake
Angalia ulivyo mjinga. Lipa hela za watu.Usilolijua ni sawa na usiku wa giza umeongea point ambayo haina mashiko hapo mambo ya uwanaume unakuja vp!!ww kaa kmy tu ila kitu km hujaelewa bhas
Kmmk hapa hakuna mwanaume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu nimeamua kuleta update kwenu mm sina tabia ya dhulma ila nimesamehewa deni kwahy na bahat nzur nilimrecord kipind naongea nae ila jins ya kuieka hapa nmeshindwa
Yaan kuna wanawake wanahuruma balaa. Kuna wavulana wanapenda mtelezooo[emoji23][emoji23][emoji23]linakuja kutia tia huruma,hili ni likibenteni