SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Jimbo gani, JF?Twende moja kwa moja kwenye Mada
Robert Heriel achukuwe Fomu yeyote ili katika Uchaguzi unaokuja 2025.
Amejaa shehena, ana kipaji, anaaminika, ni Baba, ni Mkulima, ni mpiga Karate, Ni mfanyabiashara...yaani anaangukia kwa wale wenye Akili sana. Atatupeleka mbali sana
Labda kwao huko morogoroJimbo gani, JF?
JF hakuna Uchaguzi aliopita. Nafikiri Kondoa hivi, Iringa au hata Kiti MaalumJimbo gani, JF?
Morogoro inaweza ikawa Ngumu kidogo, "Uwiano wa Wanaume na Wanawake" hauko sawia. Labda ajaribu kila mtu na ukisimeti wakeLabda kwao huko morogoro
Jamaa ana uchungu lakini, anapenda haki, haki za Vijana iwe Wanaume, au za Wanawake.Siasa za bongo hazihitaji watu wenye weledi mkubwa zinahitaji uwe mjinga mjinga, ndio mzee,muongo,ujifanye una uchungu na wananchi kumbe lilamba asali bila huruma.
Mkuu,Hawezi akashindana na pure charismatic fella @gentamyicine, au mtambo uliooza mpwayungu village .
ndege JOHN,Mlipie wewe hela ya fomu hana hela ya fomu
Sifa zote hizo ulizotaja ndio zinamdanya akose sifa za KUTEULIWA kugombea ubunge. Alitakuwa kujua KUSOMA na KUANDIKA tu.Twende moja kwa moja kwenye Mada
Robert Heriel achukuwe Fomu yeyote ili katika Uchaguzi unaokuja 2025.
Amejaa shehena, ana kipaji, anaaminika, ni Baba, ni Mkulima, ni mpiga Karate, Ni mfanyabiashara...yaani anaangukia kwa wale wenye Akili sana. Atatupeleka mbali sana
Amepata...!Twende moja kwa moja kwenye Mada
Robert Heriel achukuwe Fomu yeyote ili katika Uchaguzi unaokuja 2025.
Amejaa shehena, ana kipaji, anaaminika, ni Baba, ni Mkulima, ni mpiga Karate, Ni mfanyabiashara...yaani anaangukia kwa wale wenye Akili sana. Atatupeleka mbali sana
Mtambo...🤣🤣😂Hawezi akashindana na pure charismatic fella @gentamyicine, au mtambo uliooza mpwayungu village .
Mkuu,Amepata...!
Twende moja kwa moja kwenye Mada
Robert Heriel achukuwe Fomu yeyote ili katika Uchaguzi unaokuja 2025.
Amejaa shehena, ana kipaji, anaaminika, ni Baba, ni Mkulima, ni mpiga Karate, Ni mfanyabiashara...yaani anaangukia kwa wale wenye Akili sana. Atatupeleka mbali sana
Mbona Unamtisha Bwana Robert?Mbona, ghafla hivi! Vipi mnataka kumteka dogo wa watu ?
ROBERT HERIEL usijichanganye kukubali kuingia kwenye mitego ya kijinga ya namna hii. Watakuja huko PM wakiomba ushauri, wakikumwagia pongezi, wakitaka urafiki, wengine wanawake wakijirahisisha, wengine wakitoa ofa za koneksheni na dili kubwa-kubwa, na wengine wakitaka mawasiliano yako hasahasa E-Mail wakisema PM siyo salama. Chinjia wote baharini....
Fanya yako na usijaribu kuchanganya maisha ya JF na huko nje. Kama hakuna mwana JF aliyekusaidia kufika hapa ulipo leo, sidhani kama atakuwepo wa kukutoa hapa ulipo na kukupeleka sehemu nyingine. Waliomo humu, ndiyo haohao wa mtaani tu, hawana jipya....
Usimkandamize mwenzio na kumwogopesha kuchukua Fomu.Waliomo humu, ndiyo haohao wa mtaani tu, hawana jipya....
Unawajua wajumbe??Twende moja kwa moja kwenye Mada
Robert Heriel achukuwe Fomu yeyote ili katika Uchaguzi unaokuja 2025.
Amejaa shehena, ana kipaji, anaaminika, ni Baba, ni Mkulima, ni mpiga Karate, Ni mfanyabiashara...yaani anaangukia kwa wale wenye Akili sana. Atatupeleka mbali sana