Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

Kwa kuitaja Malindi tu wewe ni legend uliyelaza wadada kwenye maboksi [emoji23][emoji23]
 
Ila sasa bahati mbaya hakuna malaika wa kike ingawa mara nyingi nasikia story kama hizi. "ALL ANGELS ARE MEN" rejea biblia ya kingereza hutumia kiwakilishi he au sons of GOD kuongelea malaika
Hii utumika kama heshima tu ,ila nakumbuka nilivyosoma mie ni kwamba hawa malaika awana jinsia

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
Kiuononi kwa nyuma ana tattoo au

Ova
 
Leo ajiandae paka atashangaa wateja watavyomiminika
 
Wewe mle tupate wajomba majini na tuunganishe koo. Au haujaona movie ya AquaMan?!
Sio Aquaman tu, alladin, spiderman, captain America, batman, cjui filamu za mermaid, X-Men, Powerpuff girls cartoon, the hulk, superheroes wote wa hollywood (marvel comics) ni majini wanajionesha moja ya maumbo yao, wanajifanya wao ni waokoaji, wanaiga tabia ya Yesu ya kuokoa ili wawe admired Samcezar
 
Ndo huyu huyu, hlf ana makalio makubwa na malaini, kiukweli uwezi jua jini kwa kumtazama, ndio maana nikasema namuhisi kwasababu na wao saa ingine mara chache sana inatokea wanateleza kimaneno, hivyo wanajiexpose Sergeant Stonebridge
 
Kua maarufu bongo ni dakika mbili tu endapo wadau watakupaisha ona Sasa dada wa watu Kawa maarufu ghafla hapo akitumia akili vizuri atapiga pesa ndefu Sana sababu tangazo limepigwa bureeeeeeee!
 
Duh picha zmegoma kufunguka.... nmepitwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…