Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa huyo ni Betina wa Sani.maisha yanaenda kasi sana yani ata tulia akipitishwa kwenye filter unaweza tuma nauli.
Huyu ni kisu kwelimaisha yanaenda kasi sana yani ata tulia akipitishwa kwenye filter unaweza tuma nauli.
Subhanallah jaman tusifike huko some sisi ni bora lakini katika maeneo tofautimaisha yanaenda kasi sana yani ata tulia akipitishwa kwenye filter unaweza tuma nauli.
Huyu ndo alikua mwananchi sasa [emoji7] achana na haya matapeliNimeileta hii hapa ili kummpa heshima. She was the best fan.
Miaka ile ya kina Ngasa, kabla. Ya filters ktk cm.. 2011..2013..
Mimi binafsi nilimpenda na nikamfolow FB.
YUKO WAPI SASA, ANYONE p'se.
View attachment 3134762
Ukiona hivyo watu washakupenda.Dah, jamani!
Kiranga kumbe na wewe huwa unacheka!🤣Ukiona hivyo watu washakupenda.
Kuna wengine hata hawatajwi.
Kuna sehemu Zuchu alikuwa analalamika watu wanamzonga sana mitaani.
Kuna msanii mmoja akamwambia ashukuru watu wanamjua na kumzonga, kuna wasanii watu hata hawawajui.
So enjoy your Zuchu moment bibie 🤣🤣🤣
Huwezi ukawa na akili timamu, ukaishabikia simba.Itakuwa kuna ustaadh mmoja kamuweka ndani akampiga marufuku mambo ya mamipira.
Kuna ile couple nyingine nayo sijaiona toka msimu uliopita, mwanaume Yanga, mwanamke Simba. Nao wamepotea kabisa ila nadhani mwanamke atakuwa kaikatia tamaa timu yake maana alikuwa anapata wakati mgumu sana.
Nashukuru!Ukiona hivyo watu washakupenda.
Kuna wengine hata hawatajwi.
Kuna sehemu Zuchu alikuwa analalamika watu wanamzonga sana mitaani.
Kuna msanii mmoja akamwambia ashukuru watu wanamjua na kumzonga, kuna wasanii watu hata hawawajui.
So enjoy your Zuchu moment bibie 🤣🤣🤣
Mimi sicheki, mimi ndiye kicheko chenyewe.Kiranga kumbe na wewe huwa unacheka!🤣