Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wanaume saazingine tunakuwaga na 'maradhi' ya ajabu sana!Nimeileta hii hapa ili kummpa heshima. She was the best fan.
Miaka ile ya kina Ngasa, kabla. Ya filters ktk cm.. 2011..2013..
Mimi binafsi nilimpenda na nikamfolow FB.
YUKO WAPI SASA, ANYONE p'se.
View attachment 3134762
Sawa.Halafu wanaume saazingine tunakuwaga na 'maradhi' ya ajabu sana!
Usikute kuuliza uliza huko ushamfall in love tayari af ushammiss.
Wengine tunavyohangaika kutoa maoni wewe unasikia rahaaa!
Ndiyo maana presenter na wengine wenye fani za kuonekana onekana 'ovyo' wanakuwa na soko kubwa sana la kutakwa!
Kama hajatoa connection bado hajakidhi kuitwa shabiki wa yangaNimeileta hii hapa ili kummpa heshima. She was the best fan.
Miaka ile ya kina Ngasa, kabla. Ya filters ktk cm.. 2011..2013..
Mimi binafsi nilimpenda na nikamfolow FB.
YUKO WAPI SASA, ANYONE p'se.
View attachment 3134762
Rangomaisha yanaenda kasi sana yani ata tulia akipitishwa kwenye filter unaweza tuma nauli.
Si Ipo wazi mademu yanga wanapenda kuachia connectionKivipi!?
Atoto popote ulipo agiza fanta ya baridi nitalipa mimiHuwezi ukawa na akili timamu, ukaishabikia simba.
Fanya fasta, wanataka kunidekisha korido hapa.Atoto popote ulipo agiza fanta ya baridi nitalipa mimi
Huwezi kuwa na akili timamu halafu ukaandika utopolo kama huu!Huwezi ukawa na akili timamu, ukaishabikia Simba
Yanga bingwa.Huwezi kuwa na akili timamu halafu ukaandika utopolo kama huu!
Sawa bibie. Pamoja na kwamba mna timu nzuri, Lakini safari bado ndefu. Msijiamini kupita kiasi. Lolote linaweza kutokea na ubingwa mkaupoteza!Yanga bingwa.
Natania tu utani mkuu!Mimi sicheki, mimi ndiye kicheko chenyewe.
Labda ulikuwa hujatambua hilo tu.
Haina noma.Natania tu utani mkuu!
Kwangu kila siku ni inaweza kuwa Weekend mkuu, si mambo ya kula bata au?Haina noma.
Weekend hii wapi sasa?
Sawa mkuu, nakuekewa.Kwangu kila siku ni inaweza kuwa Weekend mkuu, si mambo ya kula bata au?
Kuna klabu inaitwa "La Casa"Sawa mkuu, nakuekewa.
Ila kuna hii ya wote waliyokubaliana.
La Casa ya wapi? Mimi nakumbuka kulikuwa na La Casa Tanga lakini sijui kama ipo bado.Kuna klabu inaitwa "La Casa"
huwa naenda pale kupata kitimoto tu maana si mtumiaji wa pombe