much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Kushabikia yanga labda uwe na akili za MaCCMHuwezi ukawa na akili timamu, ukaishabikia simba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushabikia yanga labda uwe na akili za MaCCMHuwezi ukawa na akili timamu, ukaishabikia simba.
😂Ndiyo Faizafoxy huyo! Siku hizi ukimuona amenona kweli kweli baada ya kuolewa na Sheikh Al Makhtoum Bin Hamdun wa huku Kisimayo Somalia.
Samahani lakini watu wa omani tuna macho ya kuchaguaMzuri, Atakuwa kaolewa Oman.
Nimeileta hii hapa ili kummpa heshima. She was the best fan.
Miaka ile ya kina Ngasa, kabla. Ya filters ktk cm.. 2011..2013..
Mimi binafsi nilimpenda na nikamfolow FB.
YUKO WAPI SASA, ANYONE p'se.
View attachment 3134762
Wasalimie hapo 🇴🇲Samahani lakini watu wa omani tuna macho ya kuchagua
Huna adabu [emoji1][emoji1][emoji1]maisha yanaenda kasi sana yani ata tulia akipitishwa kwenye filter unaweza tuma nauli.
Yupo sana Huwa tunasafiri nae na mumewe na mtoto wao ika yeye huwa anamfata MUMEWE kwenye mechi za yanga ndo huwa anakuja sanaItakuwa kuna ustaadh mmoja kamuweka ndani akampiga marufuku mambo ya mamipira.
Kuna ile couple nyingine nayo sijaiona toka msimu uliopita, mwanaume Yanga, mwanamke Simba. Nao wamepotea kabisa ila nadhani mwanamke atakuwa kaikatia tamaa timu yake maana alikuwa anapata wakati mgumu sana.
Ipo La Casa Preciosa pale Tanga ni sehemu nzuri sana.La Casa ya wapi? Mimi nakumbuka kulikuwa na La Casa Tanga lakini sijui kama ipo bado.
Pombe mimi mwenyewe nimeacha tangu January 1 2024 hivi nakaribia mwaka sijagusa hata white wine.
Inshaalah karibuWasalimie hapo
Nashukuru kusikia kwamba bado ipo.I
Ipo La Casa Preciosa pale Tanga ni sehemu nzuri sana.
Huduma zao nilizipenda sana mara ya mwisho nimelala pale mwaka 2022.
😂😂😂😂maisha yanaenda kasi sana yani ata tulia akipitishwa kwenye filter unaweza tuma nauli.