Huyu dada anayejiuza barabarani nilimwonea huruma sana

Huyu dada anayejiuza barabarani nilimwonea huruma sana

Kwanza nianze kusema kuwa kwenye tasnia ya kununua makahaba nina uzoefu wa miaka 7+ ila nlichokiona kwa huyu dada Juzi kilinipa huzuni rohoni..

Juzi kati nlifika maeneo ya wadada wanaojiuza barabarani, kwenda kusuuza rungu, nkamchukua mdada mmoja tumefika chumbani, tukafanya yetu tukamaliza, nikamlipa, kiukweli huyo mdada alini-treat vizuri tu, baada ya tendo, nilimwangalia machoni ili nisome body language yake, nilimwona ana maumivu makali rohoni Yanayosababishwa na kazi yake ya kujiuza, ambayo anayaficha nisiyajue, kitu ambacho sikuwahi kukiona kwa kahaba yoyote hapo kabla, aisee nilimwonea huruma huyo mdada nikasema hii dunia dah😭😥
Wengi unakuta, ndiyo life provider wa familia, chakula , shule watoto etc. Pia waweza kuta Baba na Mama walichakufa wameacha watoto wadogo, na siku hizi familia hazibebi majukumu ya familia za watoto wa ndugu zao, unakuta dada mkubwa anaenda kujiuza kuleta mkate kwenye familia. Ukimwi ulipitia familia nyingi sana especially bukoba, yatima Ni wengi na wahaya hawabebi familia ya ndugu unakuta watoto wengi wa kike kwenye madangulo wanatoka bukoba.
 
Muoe Sasa upumzike kutomba mala.ya kwa miaka 7 plus🤣🤣
Hata mm binafsi kwa kweli sipendi tabia yangu ya kununua malaya, ila nifanyaje ungekuwa mwanaume huenda ungenielewa sababu zinazofanya ninunue malaya ni hizi:

1)Wanawake wengi sahivi ni pesa mbele, ukitongoza leo kesho unaombwa hela, yani kwa kifupi kupendewa hela kunauma, na kumiliki girlfriend ni very expensive, na huu uchumi wetu wa kubangaiza, kwanza ukiwa mwanaume mwenye mwonekano wa kawaida Kama sisi, jua kwamba 95% ya wanawake wanakuona kama pochi inayotembea, hawajali lolote kuhusu wewe, hawavutiwi na wewe, wanaangalia watafaidika vipi kipesa toka kwako..

2)Ninavyoona Hamna tofauti kati ya kununua malaya wanaojiuza barabarani, na ku-date mdada anaekupendea hela, coz wote wanachoangalia ni pesa yako tu na hawana hisia na wewe, kuna wanaume hawanunui malaya barabarani ila kwenye mahusiano wanachunwa balaa/wanapendewa hela, wakifilisika na wake zao/wachumba zao wanawakimbia chap..

3) Process ya kumtongoza mwanamke ni headache kwa kweli, wadada wanaleta mind games nyingi, unawekeza muda, hisia, pesa, na attention halafu mwanaume hupati chochote in return, unamwalika mdada kwenye mgahawa mzuri anasema anakuja halafu haji, yani process ya kutongoza kwa mwanaume ni kama kung'oa jino kwa kweli.. Ironbutterfly
 
Kwanza nianze kusema kuwa kwenye tasnia ya kununua makahaba nina uzoefu wa miaka 7+ ila nlichokiona kwa huyu dada Juzi kilinipa huzuni rohoni..

Juzi kati nlifika maeneo ya wadada wanaojiuza barabarani, kwenda kusuuza rungu, nkamchukua mdada mmoja tumefika chumbani, tukafanya yetu tukamaliza, nikamlipa, kiukweli huyo mdada alini-treat vizuri tu, baada ya tendo, nilimwangalia machoni ili nisome body language yake, nilimwona ana maumivu makali rohoni Yanayosababishwa na kazi yake ya kujiuza, ambayo anayaficha nisiyajue, kitu ambacho sikuwahi kukiona kwa kahaba yoyote hapo kabla, aisee nilimwonea huruma huyo mdada nikasema hii dunia dah😭😥
muoe huyo huwezi kujua ndie mwanamke wako wa maisha....maisha yana siri nyingi
 
Kwanza nianze kusema kuwa kwenye tasnia ya kununua makahaba nina uzoefu wa miaka 7+ ila nlichokiona kwa huyu dada Juzi kilinipa huzuni rohoni..

Juzi kati nlifika maeneo ya wadada wanaojiuza barabarani, kwenda kusuuza rungu, nkamchukua mdada mmoja tumefika chumbani, tukafanya yetu tukamaliza, nikamlipa, kiukweli huyo mdada alini-treat vizuri tu, baada ya tendo, nilimwangalia machoni ili nisome body language yake, nilimwona ana maumivu makali rohoni Yanayosababishwa na kazi yake ya kujiuza, ambayo anayaficha nisiyajue, kitu ambacho sikuwahi kukiona kwa kahaba yoyote hapo kabla, aisee nilimwonea huruma huyo mdada nikasema hii dunia dah😭😥
Na wenzio walioaga ivoivo mkuu
 
Hata mm binafsi kwa kweli sipendi tabia yangu ya kununua malaya, ila nifanyaje ungekuwa mwanaume huenda ungenielewa sababu zinazofanya ninunue malaya ni hizi:

1)Wanawake wengi sahivi ni pesa mbele, ukitongoza leo kesho unaombwa hela, yani kwa kifupi kupendewa hela kunauma, na kumiliki girlfriend ni very expensive, na huu uchumi wetu wa kubangaiza, kwanza ukiwa mwanaume mwenye mwonekano wa kawaida Kama sisi, jua kwamba 95% ya wanawake wanakuona kama pochi inayotembea, hawajali lolote kuhusu wewe, hawavutiwi na wewe, wanaangalia watafaidika vipi kipesa toka kwako..

2)Ninavyoona Hamna tofauti kati ya kununua malaya wanaojiuza barabarani, na ku-date mdada anaekupendea hela, coz wote wanachoangalia ni pesa yako tu na hawana hisia na wewe, kuna wanaume hawanunui malaya barabarani ila kwenye mahusiano wanachunwa balaa/wanapendewa hela, wakifilisika na wake zao/wachumba zao wanawakimbia chap..

3) Process ya kumtongoza mwanamke ni headache kwa kweli, wadada wanaleta mind games nyingi, unawekeza muda, hisia, pesa, na attention halafu mwanaume hupati chochote in return, unamwalika mdada kwenye mgahawa mzuri anasema anakuja halafu haji, yani process ya kutongoza kwa mwanaume ni kama kung'oa jino kwa kweli.. Ironbutterfly
Mkuu uko sahihi kabisa [emoji817]
 
mna matatizo
huwezi kuyaona matatizo ya mwenzio kama,wewe huna tatizo
Wengi unakuta, ndiyo life provider wa familia, chakula , shule watoto etc. Pia waweza kuta Baba na Mama walichakufa wameacha watoto wadogo, na siku hizi familia hazibebi majukumu ya familia za watoto wa ndugai zao, unakuta dada mkubwa anaenda kujiuza kuleta mkate kwenye familia. Ukimwi ulipitia familia nyingi sana especially bukoba, yatima Ni wengi na wahaya hawabebi familia ya ndugu unakuta watoto wengi wa kike kwenye madangulo wanatoka bukoba.
ubinafsi wa wahaya umesababisha familia nyingi za kihaya kufa kwa UKIMWI
 
Tasnia ya kujiuza? Kwanza hao viumbe ni wakatili mno, nilikuwa nakula zangu akaja mmoja akadaj ana njaa, kweli nikamnunulia na yeye nilichokuwa nakula... Baada ya hapo na pombe tukanywa ... Akaniambia anagheto mitaa ya Kaloleni ... Kufika sijui nini kilitokea kuja kushtuka nipo mwenyewe najiuliza hapa ni wapi, isije kuwa ni gesti na mwanamke hayupo na amepora kila kitu ...

Nikanyata taratibu mlango haujafungwa nikajua hapa ni shivers, kufika nje hakuna watu na mvua inanyesha sina nauli hata mia.. Nimetembea usiku kucha na mvua yangu kuja kufika ni asubuhi...

Nikalala zangu, kuamka natafuta simu chini ya godoro najisemea labda sikwenda nayo... Akili kukaa sawa nikajisemea wema wangu umeniponza ... Zile sehemu hazifai hata ukipigwa tukio huwezi kwenda kushtaki na hata ukikumbwa usiku ujue imekula kwako..
 
Wapo pale kwasababu wanapata pesa
Wasingekuwa na uhakika wa kupata pesa wangekuwa Mfind wanachuma chai

Acha acha acha
Kununua malaya
Kijana penda na tunza hela yako
 
Tasnia ya kujiuza ? Kwanza hao viumbe ni wakatili mno , nilikuwa nakula zangu akaja mmoja akadaj ana njaa, kweli nikamnunulia na yeye nilichokuwa nakula ... Baada ya hapo na pombe tukanywa ... Akaniambia anagheto mitaa ya Kaloleni ... Kufika sijui nini kilitokea kuja kushtuka nipo mwenyewe najiuliza hapa ni wapi, isije kuwa ni gesti na mwanamke hayupo na amepora kila kitu ...

Nikanyata taratibu mlango haujafungwa nikajua hapa ni shivers , kufika nje hakuna watu na mvua inanyesha sina nauli hata mia.. Nimetembea usiku kucha na mvua yangu kuja kufika ni asubuhi...

Nikalala zangu, kuamka natafuta simu chini ya godoro najisemea labda sikwenda nayo... Akili kukaa sawa nikajisemea wema wangu umeniponza ... Zile sehemu hazifai hata ukipigwa tukio huwezi kwenda kushtaki na hata ukikumbwa usiku ujue imekula kwako..
Wewe nae mbona ulipigwa kizembe hivo [emoji23]
 
Back
Top Bottom