Huyu dada anayejiuza barabarani nilimwonea huruma sana

Huyu dada anayejiuza barabarani nilimwonea huruma sana

Siku moja nimekwenda lounge moja usiku napata bia mbili tatu akaja mrembo mmoja hasa ,nkamnunulia vinywaji akasema pia hakajula nkaona isiwe kesi nkamnunulia na supu moja ya kuku then baada ya muda akaniambia inakuwaje akanitajia viwango vya showtime na kulala..nkamwambia sitaweza Leo labda siku nyingine ikabidi nimtoe pesa kidogo ya nauli etc nkaondoka.
Next time nkakutana naye akaniomba bia alikuwa amekaa meza nyingine nkamnunulia akaja na siku Ile akaanza kunipa sifa kuwa Mimi ni mtu wa tofauti blabla kibao....ikabidi afunguke maisha yake aiseee..nilimwonea huruma Sana .toka siku hiyo nkaacha kuhukumu watu..maana alinieleza historia yake ya kuanzia alivozalishwa mtoto ,maisha magumu, manyayaso alipokuwa anafaya kazi .etc na hii kazi ya kuja hapo kutafuta wanaume amechoka Sana na Kuna wakati huwa anakaa analia Mungu amtoe hapo alipo..etc.....unaweza ukaona wanalewa, Wana matusi,matapeli, wanatreate watu vibaya lakini ndani Yao Wana maumivi makali sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tasnia ya kujiuza? Kwanza hao viumbe ni wakatili mno, nilikuwa nakula zangu akaja mmoja akadaj ana njaa, kweli nikamnunulia na yeye nilichokuwa nakula... Baada ya hapo na pombe tukanywa ... Akaniambia anagheto mitaa ya Kaloleni ... Kufika sijui nini kilitokea kuja kushtuka nipo mwenyewe najiuliza hapa ni wapi, isije kuwa ni gesti na mwanamke hayupo na amepora kila kitu ...

Nikanyata taratibu mlango haujafungwa nikajua hapa ni shivers, kufika nje hakuna watu na mvua inanyesha sina nauli hata mia.. Nimetembea usiku kucha na mvua yangu kuja kufika ni asubuhi...

Nikalala zangu, kuamka natafuta simu chini ya godoro najisemea labda sikwenda nayo... Akili kukaa sawa nikajisemea wema wangu umeniponza ... Zile sehemu hazifai hata ukipigwa tukio huwezi kwenda kushtaki na hata ukikumbwa usiku ujue imekula kwako..
Ulichokifanya siyo wema. Ungekuwa ni wema usingeenda naye ghetto. Alikukomesha. Safi kwake bibie. Mwanaume unakuwaje fala fala bhana!.
 
Siku moja nimekwenda lounge moja usiku napata bia mbili tatu akaja mrembo mmoja hasa ,nkamnunulia vinywaji akasema pia hakajula nkaona isiwe kesi nkamnunulia na supu moja ya kuku then baada ya muda akaniambia inakuwaje akanitajia viwango vya showtime na kulala..nkamwambia sitaweza Leo labda siku nyingine ikabidi nimtoe pesa kidogo ya nauli etc nkaondoka.
Next time nkakutana naye akaniomba bia alikuwa amekaa meza nyingine nkamnunulia akaja na siku Ile akaanza kunipa sifa kuwa Mimi ni mtu wa tofauti blabla kibao....ikabidi afunguke maisha yake aiseee..nilimwonea huruma Sana .toka siku hiyo nkaacha kuhukumu watu..maana alinieleza historia yake ya kuanzia alivozalishwa mtoto ,maisha magumu, manyayaso alipokuwa anafaya kazi .etc na hii kazi ya kuja hapo kutafuta wanaume amechoka Sana na Kuna wakati huwa anakaa analia Mungu amtoe hapo alipo..etc.....unaweza ukaona wanalewa, Wana matusi,matapeli, wanatreate watu vibaya lakini ndani Yao Wana maumivi makali sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama ulikuwa hujui, hakuna watu wenye stori za uongo uongo kama malaya.
 
Siku moja nimekwenda lounge moja usiku napata bia mbili tatu akaja mrembo mmoja hasa ,nkamnunulia vinywaji akasema pia hakajula nkaona isiwe kesi nkamnunulia na supu moja ya kuku then baada ya muda akaniambia inakuwaje akanitajia viwango vya showtime na kulala..nkamwambia sitaweza Leo labda siku nyingine ikabidi nimtoe pesa kidogo ya nauli etc nkaondoka.
Next time nkakutana naye akaniomba bia alikuwa amekaa meza nyingine nkamnunulia akaja na siku Ile akaanza kunipa sifa kuwa Mimi ni mtu wa tofauti blabla kibao....ikabidi afunguke maisha yake aiseee..nilimwonea huruma Sana .toka siku hiyo nkaacha kuhukumu watu..maana alinieleza historia yake ya kuanzia alivozalishwa mtoto ,maisha magumu, manyayaso alipokuwa anafaya kazi .etc na hii kazi ya kuja hapo kutafuta wanaume amechoka Sana na Kuna wakati huwa anakaa analia Mungu amtoe hapo alipo..etc.....unaweza ukaona wanalewa, Wana matusi,matapeli, wanatreate watu vibaya lakini ndani Yao Wana maumivi makali sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ila badae ulipiga baada ya story zote hizo.
 
Kwanza nianze kusema kuwa kwenye tasnia ya kununua makahaba nina uzoefu wa miaka 7+ ila nlichokiona kwa huyu dada Juzi kilinipa huzuni rohoni..

Juzi kati nlifika maeneo ya wadada wanaojiuza barabarani, kwenda kusuuza rungu, nkamchukua mdada mmoja tumefika chumbani, tukafanya yetu tukamaliza, nikamlipa, kiukweli huyo mdada alini-treat vizuri tu, baada ya tendo, nilimwangalia machoni ili nisome body language yake, nilimwona ana maumivu makali rohoni Yanayosababishwa na kazi yake ya kujiuza, ambayo anayaficha nisiyajue, kitu ambacho sikuwahi kukiona kwa kahaba yoyote hapo kabla, aisee nilimwonea huruma huyo mdada nikasema hii dunia dah[emoji24][emoji26]
Ulichukua na namba yake au ulimsaidi kivipi baada ya kujutia ulichokifanya?
 
Me kuna mmoja aliishia kuniambia Jamani Kaka mzuri tena ile ya masikitiko kana kwamba kuna kitu anakijua kinachoendelea mbeleni
 
Wengi wao wapo hapo sio kwa sababu ya kuoenda kwao, wapo hapo kwa vile wamefika mwisho wa wa uvumilivu wa changamoto zinazowakabili.

Ingawa wanachokifanya wameenda mbali sana wangeweza kufanya kinginecho maana yoyote aliyepata nafasi ya kuishi katika ardhi ya Dunia hii mara chache sana kufa kwa njaa au kulala na njaa.

Binasfi ninapo waona Huwa siwakejeli huwatakia yote mema maana kama wasinge kuwepo watu kama hao huwenda maisha yasingekua hivi yalivyo au yangekua magumu sana, hakuna kilichopo kisicho na maana.
Pengine kungekua na another aption
 
Back
Top Bottom