sportstore
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 497
- 1,769
Siku moja nimekwenda lounge moja usiku napata bia mbili tatu akaja mrembo mmoja hasa ,nkamnunulia vinywaji akasema pia hakajula nkaona isiwe kesi nkamnunulia na supu moja ya kuku then baada ya muda akaniambia inakuwaje akanitajia viwango vya showtime na kulala..nkamwambia sitaweza Leo labda siku nyingine ikabidi nimtoe pesa kidogo ya nauli etc nkaondoka.
Next time nkakutana naye akaniomba bia alikuwa amekaa meza nyingine nkamnunulia akaja na siku Ile akaanza kunipa sifa kuwa Mimi ni mtu wa tofauti blabla kibao....ikabidi afunguke maisha yake aiseee..nilimwonea huruma Sana .toka siku hiyo nkaacha kuhukumu watu..maana alinieleza historia yake ya kuanzia alivozalishwa mtoto ,maisha magumu, manyayaso alipokuwa anafaya kazi .etc na hii kazi ya kuja hapo kutafuta wanaume amechoka Sana na Kuna wakati huwa anakaa analia Mungu amtoe hapo alipo..etc.....unaweza ukaona wanalewa, Wana matusi,matapeli, wanatreate watu vibaya lakini ndani Yao Wana maumivi makali sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Next time nkakutana naye akaniomba bia alikuwa amekaa meza nyingine nkamnunulia akaja na siku Ile akaanza kunipa sifa kuwa Mimi ni mtu wa tofauti blabla kibao....ikabidi afunguke maisha yake aiseee..nilimwonea huruma Sana .toka siku hiyo nkaacha kuhukumu watu..maana alinieleza historia yake ya kuanzia alivozalishwa mtoto ,maisha magumu, manyayaso alipokuwa anafaya kazi .etc na hii kazi ya kuja hapo kutafuta wanaume amechoka Sana na Kuna wakati huwa anakaa analia Mungu amtoe hapo alipo..etc.....unaweza ukaona wanalewa, Wana matusi,matapeli, wanatreate watu vibaya lakini ndani Yao Wana maumivi makali sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app