Huyu dada anayejiuza barabarani nilimwonea huruma sana

Huyu dada anayejiuza barabarani nilimwonea huruma sana

It was your chance to save a soul from evil.

Your reparation might be so good.

But you ignored u take everything in an eye of mzinzi.

Wasted chance.
 
Kwanza nianze kusema kuwa kwenye tasnia ya kununua makahaba nina uzoefu wa miaka 7+ ila nlichokiona kwa huyu dada Juzi kilinipa huzuni rohoni..

Juzi kati nlifika maeneo ya wadada wanaojiuza barabarani, kwenda kusuuza rungu, nkamchukua mdada mmoja tumefika chumbani, tukafanya yetu tukamaliza, nikamlipa, kiukweli huyo mdada alini-treat vizuri tu, baada ya tendo, nilimwangalia machoni ili nisome body language yake, nilimwona ana maumivu makali rohoni Yanayosababishwa na kazi yake ya kujiuza, ambayo anayaficha nisiyajue, kitu ambacho sikuwahi kukiona kwa kahaba yoyote hapo kabla, aisee nilimwonea huruma huyo mdada nikasema hii dunia dah😭😥
Ungemtafutia japo kibarua mkuu ili ajikwamua aachane na kujiuza, sema mimi bado naamini mtu anaejiuza anapenda sio kwamba analazimika kufanya hivo kwa sababu ya hali ya kimaisha, imagine mwanamke anashindwa kuamka mapema kupika chapati au vitumbua au hata kusaga juisi auze ila anaweza kukesha usiku kuuza uchi, hii ni kujitakia tusitafute visingizio.
 
Uliona huruma baada ya kumaliza shida za mwili.

Hata hivyo vijana mnaweza, kununua malaya directly ni ngumu sana, sijui mnawezaje. Hii ya kununua indirect ambayo wengi tunafanya ina afadhali.
Mzee hebu tulia kwanza, vijana wasikusikie
 
Mi nilidhani baada ya hapo ukamuhoji, ukajua shida ni nini na ukamsaidia kumfanya aachane na kujiuza..!! Kumbe umeishia kumuonea huruma bila kumtatulia shida yake..!!
KUnguru hafugiki, unaweza mtafutia kibarua lakini ikifika usiku unamkuta eneo la tukio anauza, hawa huwa wanapenda hizo kazi sio kwamba wanafanya kwa sababu ya shida
 
1 Wakorintho 6:
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
 
1 Wakorintho 6:
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Hata wew ni mmoja kati ya watu ambao hawatauwona ufalme wa mungu

Jinsi unavyoandika unaonesha ni wa kuhurumiwa tu.

Shule Ulienda kusomea ujinga
 
1 Wakorintho 6:
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Wahuni wote peponi
 
Uliona huruma baada ya kumaliza shida za mwili.

Hata hivyo vijana mnaweza, kununua malaya directly ni ngumu sana, sijui mnawezaje. Hii ya kununua indirect ambayo wengi tunafanya ina afadhali.
Tunaonunua direct kazi yetu ni kubadilisha machimbo tu 😅
 
Kwanza nianze kusema kuwa kwenye tasnia ya kununua makahaba nina uzoefu wa miaka 7+ ila nlichokiona kwa huyu dada Juzi kilinipa huzuni rohoni..

Juzi kati nlifika maeneo ya wadada wanaojiuza barabarani, kwenda kusuuza rungu, nkamchukua mdada mmoja tumefika chumbani, tukafanya yetu tukamaliza, nikamlipa, kiukweli huyo mdada alini-treat vizuri tu, baada ya tendo, nilimwangalia machoni ili nisome body language yake, nilimwona ana maumivu makali rohoni Yanayosababishwa na kazi yake ya kujiuza, ambayo anayaficha nisiyajue, kitu ambacho sikuwahi kukiona kwa kahaba yoyote hapo kabla, aisee nilimwonea huruma huyo mdada nikasema hii dunia dah😭😥
Mkianzisha uzii mjifikirie Mara mbili
 
Mi nilidhani baada ya hapo ukamuhoji, ukajua shida ni nini na ukamsaidia kumfanya aachane na kujiuza..!! Kumbe umeishia kumuonea huruma bila kumtatulia shida yake..!!
Akiacha hyo biashara jamaa atapata wp tena bizaa[emoji1787]
 
Back
Top Bottom