bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Na heshima zangu naanzaje kununua kahabaNa wewe mnunua kahaba unaweza kuoa?au mmekutana misukule yenye vifungo🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na heshima zangu naanzaje kununua kahabaNa wewe mnunua kahaba unaweza kuoa?au mmekutana misukule yenye vifungo🤣🤣🤣
Kila unachokifanya kinarudi kwa watoto mkuu. Wasamehe wanaoKwanza nianze kusema kuwa kwenye tasnia ya kununua makahaba nina uzoefu wa miaka 7+ ila nlichokiona kwa huyu dada Juzi kilinipa huzuni rohoni..
Juzi kati nlifika maeneo ya wadada wanaojiuza barabarani, kwenda kusuuza rungu, nkamchukua mdada mmoja tumefika chumbani, tukafanya yetu tukamaliza, nikamlipa, kiukweli huyo mdada alini-treat vizuri tu, baada ya tendo, nilimwangalia machoni ili nisome body language yake, nilimwona ana maumivu makali rohoni Yanayosababishwa na kazi yake ya kujiuza, ambayo anayaficha nisiyajue, kitu ambacho sikuwahi kukiona kwa kahaba yoyote hapo kabla, aisee nilimwonea huruma huyo mdada nikasema hii dunia dah😭😥
Aiseee...!! Kwanza hongera kwa msaada, naamini Mungu atakuwa ameshakurudishia ulipopunguza. Pili, huyo mdada, anautumia muonekano wake kupata misaada. Kikubwa wewe umefanya sehemu yako, mengine muachie yeye mwenyewe.Kuna mdada flan mitaa karibia na home alikua anauza miwa kiafya hakua vzr sana binafsi sikujua shida ni nn wengn wanasema cancer wengn gridi ya taifa nkawa namuonea huruma maana Yale mazingira hayakua rafiki kwake nkamuuliza una shida ya sh ngp ili utulie ukapumzike akanambia 50K nikajitosa nikampa 70K na ile miwa nikanunua yote nikawapa majamaa zangu naochezaga nao mpira & pool table.
Siku ya pili akanunua miwa tena akatafuta location ambayo siwezi muona🤣🤣
Lakini si amemlipa kwa mujibu wa makubaliano..!!??yani kishamtomba karidhika ndio anaona dada ana maumivu
Msenge tu huyuMi nilidhani baada ya hapo ukamuhoji, ukajua shida ni nini na ukamsaidia kumfanya aachane na kujiuza..!! Kumbe umeishia kumuonea huruma bila kumtatulia shida yake..!!
Mi nilidhani baada ya hapo ukamuhoji, ukajua shida ni nini na ukamsaidia kumfanya aachane na kujiuza..!! Kumbe umeishia kumuonea huruma bila kumtatulia shida yake..!!
Ulimlipa bei gani boss?Kwanza nianze kusema kuwa kwenye tasnia ya kununua makahaba nina uzoefu wa miaka 7+ ila nlichokiona kwa huyu dada Juzi kilinipa huzuni rohoni..
Juzi kati nlifika maeneo ya wadada wanaojiuza barabarani, kwenda kusuuza rungu, nkamchukua mdada mmoja tumefika chumbani, tukafanya yetu tukamaliza, nikamlipa, kiukweli huyo mdada alini-treat vizuri tu, baada ya tendo, nilimwangalia machoni ili nisome body language yake, nilimwona ana maumivu makali rohoni Yanayosababishwa na kazi yake ya kujiuza, ambayo anayaficha nisiyajue, kitu ambacho sikuwahi kukiona kwa kahaba yoyote hapo kabla, aisee nilimwonea huruma huyo mdada nikasema hii dunia dah[emoji24][emoji26]
Hela ambayo umepanga ww labda afkumiNdio, manunuzi yasiyo ya moja kwa moja. Tukimalizana si nampa nauli na ya kufulia na kujisafisha?
Wewe unanifaa kabsa emb nitaftutee tuftane jasho tule na tuinjoi life hahahhahahaIndirect ni ile mnakutana na kumaliza shida zenu, unamuachia 50k ya asante.
Binafsi 30k hadi 50k ya kifuta jasho inatosha kabisa kwa huduma ya indirect prostitution(buying/selling).
Hii profile ni yako unaesema kutongoza kaz mbn utakua haupo seriouslyHata mm binafsi kwa kweli sipendi tabia yangu ya kununua malaya, ila nifanyaje ungekuwa mwanaume huenda ungenielewa sababu zinazofanya ninunue malaya ni hizi:
1)Wanawake wengi sahivi ni pesa mbele, ukitongoza leo kesho unaombwa hela, yani kwa kifupi kupendewa hela kunauma, na kumiliki girlfriend ni very expensive, na huu uchumi wetu wa kubangaiza, kwanza ukiwa mwanaume mwenye mwonekano wa kawaida Kama sisi, jua kwamba 95% ya wanawake wanakuona kama pochi inayotembea, hawajali lolote kuhusu wewe, hawavutiwi na wewe, wanaangalia watafaidika vipi kipesa toka kwako..
2)Ninavyoona Hamna tofauti kati ya kununua malaya wanaojiuza barabarani, na ku-date mdada anaekupendea hela, coz wote wanachoangalia ni pesa yako tu na hawana hisia na wewe, kuna wanaume hawanunui malaya barabarani ila kwenye mahusiano wanachunwa balaa/wanapendewa hela, wakifilisika na wake zao/wachumba zao wanawakimbia chap..
3) Process ya kumtongoza mwanamke ni headache kwa kweli, wadada wanaleta mind games nyingi, unawekeza muda, hisia, pesa, na attention halafu mwanaume hupati chochote in return, unamwalika mdada kwenye mgahawa mzuri anasema anakuja halafu haji, yani process ya kutongoza kwa mwanaume ni kama kung'oa jino kwa kweli.. Ironbutterfly
Mimi nilimlipe kwa sababu gani?
Dah..!!! hatari sana. Umenitag na dude kubwa haswaMsenge tu huyu
Na wapo makini mno.. mie naona wapo safe kuliko hawa omba omba wa mtaani.Malaya wanajuuza ni watumiaji wazuri wa kondom, bila kondom wasingetoboa.
Lete ID yako ya siku zote kwanza mkuu🤣🤣🤣Wewe unanifaa kabsa emb nitaftutee tuftane jasho tule na tuinjoi life hahahhahaha
sasa huruma ya nini na wakti mtu yupo kazini na ni biashara imefanyikaLakini si amemlipa kwa mujibu wa makubaliano..!!??
23 mkuu ama unatak mashangazLete ID yako ya siku zote kwanza mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu sema umri wako chap tuone tunaanzaje!!
Uzee huu na huo umri hata haviendani, nataka watu wazima wenzangu mkuu!!23 mkuu ama unatak mashangaz