Huyu Daktari wa meno anastahili Pongezi

Huyu Daktari wa meno anastahili Pongezi

Sema kama akili inakubali kwa mbali picha ya kwanza alikuwa bado mtoto yaani hajafahamu urembo ya pili ni msichana vipodozi vimetenda maajabu.Mfano mimi picha zangu za udogo huwa zinanishangaza sana najikuta kama sio mimi
 
Nikiwa mdogo nilikuwa naitwa minjino...ilikuwa experience mbaya sana, nilijichukia sana. Mwaka 2009 nikaamua kuweka braces baada ya kujichanga kwa muda kiasi. Niliambiwa na daktari chanzo cha meno yangu ya juu na ya chini kukaa vibaya ni kuwa nilikuwa nayasukuma nje kwa ulimi. Kabla ya kuwekewa braces nilifanyishwa mazoezi ya namna ya kuegemeza ulimi ili nisiwe nauegesha kwenye meno. Mwaka 2012 nikatolewa braces na sasa navaa retainers kila usiku asubuhi natoa. Retainers zinahakikisha meno yanabaki kwenye position inayotakiwa. Siku hizi huduma za kurekebisha meno zipo kwa wingi nchini kwa watoto na kwa watu wazima.Wenye tatizo la dental formation mbovu wasikate tamaa
Duuuh
 
Nikiwa mdogo nilikuwa naitwa minjino...ilikuwa experience mbaya sana, nilijichukia sana. Mwaka 2009 nikaamua kuweka braces baada ya kujichanga kwa muda kiasi. Niliambiwa na daktari chanzo cha meno yangu ya juu na ya chini kukaa vibaya ni kuwa nilikuwa nayasukuma nje kwa ulimi. Kabla ya kuwekewa braces nilifanyishwa mazoezi ya namna ya kuegemeza ulimi ili nisiwe nauegesha kwenye meno. Mwaka 2012 nikatolewa braces na sasa navaa retainers kila usiku asubuhi natoa. Retainers zinahakikisha meno yanabaki kwenye position inayotakiwa. Siku hizi huduma za kurekebisha meno zipo kwa wingi nchini kwa watoto na kwa watu wazima.Wenye tatizo la dental formation mbovu wasikate tamaa
Mkuu,Ilikugharimu shilingi ngapi na je kwa sasa matokeo ni mazuri?
Pole mkuu,Kesi kama hizi zinaathiri sana kisaikolojia iwe kwa mtoto au mtu mzima,kwahio huduma kama hizi ni muhimu sana na kama mtu ana mtoto ana shida ya meno ni vizuri kumrekebishia mapema kama uwezo upo.
 
Nikiwa mdogo nilikuwa naitwa minjino...ilikuwa experience mbaya sana, nilijichukia sana. Mwaka 2009 nikaamua kuweka braces baada ya kujichanga kwa muda kiasi. Niliambiwa na daktari chanzo cha meno yangu ya juu na ya chini kukaa vibaya ni kuwa nilikuwa nayasukuma nje kwa ulimi. Kabla ya kuwekewa braces nilifanyishwa mazoezi ya namna ya kuegemeza ulimi ili nisiwe nauegesha kwenye meno. Mwaka 2012 nikatolewa braces na sasa navaa retainers kila usiku asubuhi natoa. Retainers zinahakikisha meno yanabaki kwenye position inayotakiwa. Siku hizi huduma za kurekebisha meno zipo kwa wingi nchini kwa watoto na kwa watu wazima.Wenye tatizo la dental formation mbovu wasikate tamaa
Gharama zake zipoje
 
Mimi kwa huku nilipo nilimpeleka dogo akawekewa hizo braces pamoja na hudumua za kua anabadilishwa hizo braces kila baada ya muda,ilichukua 3 years meno kukaa sawa na gharama ni kama 6m zakibongo.
 
Back
Top Bottom