Huyu Daktari wa meno anastahili Pongezi

Huyu Daktari wa meno anastahili Pongezi

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
12,001
Reaction score
27,175
Wakuu,
Sijui Doctor kapitia hatua ngapi kurekebisha tabasamu ila kafanya kazi ya kutukuka.

Je unadhani binti angebaki na meno ya kuzaliwa au ni bora alifanya marekebisho?



IMG_20220413_184406.jpg
 
Kama ni mtu mmoja bora angebaki na meno yake ya asili.

Tabasamu la asili linaonesha furaha ya rohoni...wakati hili la marekebisho ni kama analazimisha.
 
Matibabu ya meno yamerefusha nywele na kuzifanya kua nyeusi tii na kuifanya sura ya duara kua ndefu. Hii picha sio legit
 
Kama ni mtu mmoja bora angebaki na meno yake ya asili.

Tabasamu la asili linaonesha furaha ya rohoni...wakati hili la marekebisho ni kama analazimisha.
Aisee,ila tabasamu linaanzia rohoni unachokiana nje ni matokeo tu
 
Nikiwa mdogo nilikuwa naitwa minjino...ilikuwa experience mbaya sana, nilijichukia sana. Mwaka 2009 nikaamua kuweka braces baada ya kujichanga kwa muda kiasi. Niliambiwa na daktari chanzo cha meno yangu ya juu na ya chini kukaa vibaya ni kuwa nilikuwa nayasukuma nje kwa ulimi. Kabla ya kuwekewa braces nilifanyishwa mazoezi ya namna ya kuegemeza ulimi ili nisiwe nauegesha kwenye meno. Mwaka 2012 nikatolewa braces na sasa navaa retainers kila usiku asubuhi natoa. Retainers zinahakikisha meno yanabaki kwenye position inayotakiwa. Siku hizi huduma za kurekebisha meno zipo kwa wingi nchini kwa watoto na kwa watu wazima.Wenye tatizo la dental formation mbovu wasikate tamaa
 
Back
Top Bottom