Huyu Daktari wa meno anastahili Pongezi

Huyu Daktari wa meno anastahili Pongezi

Nililipa dola 500 mwanzoni ( consultation + braces). Then nikawa nalipa kidogo kidogo kila ninapoenda for adjustments kila baada ya miezi 2. Mwisho unalipia retainers. Hiyo ilikuwa mwaka 2009 mpaka 2011. Niliwekewa pia crowns meno ya mbele maana yalivunjika zamani, so wakafanya root canal na crowns. Jumla kama milion 4 ila sikulipa kwa mara moja yote. Results nzuri sana maana meno yamekaa kwa mpangilio sana. Mimi nilifanya private hospital. Muhimbili/ Mnazi mmoja nasikia nao wanatoa hizi huduma siku hizi (sina uhakika lakini) kama ni lweli gharama zake nadhani ziakuwa sio kubwa kama private. Unaweza kwenda kuulizia
Hongera kwa kupata tabasamu la moyo
 
Hawa ni watu wawili tofauti kabisa, angalia mashavu,kidevu na paji la uso
Marekebisho ya meno yanachukua muda mrefu,miaka kadhaa,so inawezekana hizo picha mbili zina utofauti wa miaka plus marekebisho lazima uone utofauti
 
Mambo madogo kama muonekano wa meno hayawezi kutushughulisha sehemu kubwa ya sisi wanaume
Inawezekana,Ila hapo juu ameeleza jinsi alivyokuwa anaitwa majina ya ajabu tena tangu akiwa na umri mdogo mpaka leo anakumbuka,lazima ilimuathiri sana hata angekuwa mwanaume.
 
Inawezekana picha ya kwanza ilikuwa awakati ana umri mdogo hiyo nyingine ni baada ya miaka kadhaa
Ok nimepitia stoory yake huyo binti anaitwa Ellie na alianza surgery akiwa 16 akifanya operation iliyohusisha ukatwaji wa taya zote mbili yani ya juu na ya chini

Pia alifanya marekebisho madogo kwenye kidevu. Ellie baada ya surgey ililazimu kufanya diet kwa kula chakula cha kimiminika kwa kipindi cha mwezi mmoja
1649923424385.png


Ellie baada ya kukamilika kwa surgery hakuweza kuzungumza alitumia notepad kuwasiliana na watu. Kadri siku zilivyozidi kusogea aliweza kumung'unya baadhi ya maneno na alikuwa anaongelea ulimi (lisp) kulingana na mdomo ulivyokuwa umevimba.
1649923401194.png
 
Ok nimepitia stoory yake huyo binti anaitwa Ellie na alianza surgery akiwa 16 akifanya operation iliyohusisha ukatwaji wa taya zote mbili yani ya juu na ya chini

Pia alifanya marekebisho madogo kwenye kidevu. Ellie baada ya surgey ililazimu kufanya diet kwa kula chakula cha kimiminika kwa kipindi cha mwezi mmoja
View attachment 2186941

Ellie baada ya kukamilika kwa surgery hakuweza kuzungumza alitumia notepad kuwasiliana na watu. Kadri siku zilivyozidi kusogea aliweza kumung'unya baadhi ya maneno na alikuwa anaongelea ulimi (lisp) kulingana na mdomo ulivyokuwa umevimba.
View attachment 2186940
Asante,kumbe amepiti mengi
 
Nikiwa mdogo nilikuwa naitwa minjino...ilikuwa experience mbaya sana, nilijichukia sana. Mwaka 2009 nikaamua kuweka braces baada ya kujichanga kwa muda kiasi. Niliambiwa na daktari chanzo cha meno yangu ya juu na ya chini kukaa vibaya ni kuwa nilikuwa nayasukuma nje kwa ulimi. Kabla ya kuwekewa braces nilifanyishwa mazoezi ya namna ya kuegemeza ulimi ili nisiwe nauegesha kwenye meno. Mwaka 2012 nikatolewa braces na sasa navaa retainers kila usiku asubuhi natoa. Retainers zinahakikisha meno yanabaki kwenye position inayotakiwa. Siku hizi huduma za kurekebisha meno zipo kwa wingi nchini kwa watoto na kwa watu wazima.Wenye tatizo la dental formation mbovu wasikate tamaa
unaonaje maendeleo lakini mkuu, hiyo huduma imekusaidia ? ,na je wataalamu wanasema itachukua muda gani mpaka kukaa sawa kabisa
 
Back
Top Bottom