Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
mkuu "qwaqe" ni kitu gani ?Nyie nao hamueleweki si kungur si mwewe, mkiombwa pesa mnalalamika ay umepata asie omba pesa bado unalalamika, alaf unataka upajue qwaqe ili uanze kumlipia kodi au kumbadilishia asset za ndani??, kama unampenda na una malengo mwambie akupeleke qwao maan qwaqe anaweza kufake
mkuu "qwaqe" ni kitu gani ?
😒😒
nimeipiotia asee ni kweli tupuHuu ndio msaada wangu kwakoView attachment 2769454
mkuu kama umeifungua hebu weka hapa kilichosemwa kwa waida ya woteWish kila mmoja wetu angefungua hii attachment na kuisoma kuna watu wangelala nje leo.Hata kama umewahi kuyajua haya mambo tunasahau kurudia ni hekima.Haya mambo bwana pyuuuu
Amuangalie na miguuni akiona kwato akimbilie Ngome ya Yesu kimara Temboni🥲Muangalie machoni. Ukiona hataki kugonganisha macho, kimbilia fasta kwa Mwamposa.
Kwa hiyo miezi miwili mara 37 duuuh😎😎😎huyo Kweli jinindio ninapolia tunda leo akija itakuwa mara 37 mi kaz yangu kuhesabu siku za kumsex
🤣🤣🤣🤣🤣Mpe rost na ndizi mbili....iwe na pilipili...! Hakikisha inakua na ngozi
hiyi tabia anayo nikimuuliza kwann hupend tuangaliane ananijibu mwanamke tumeumbwa na aibu hasa kwa yule unaempenda huwez kutazamana nae kama mwanaume mwenzakoMuangalie machoni. Ukiona hataki kugonganisha macho, kimbilia fasta kwa Mwamposa.
Africans with their demons 🤔🤔Huu ndio msaada wangu kwakoView attachment 2769454