Huyu demu au jini maana simuelewi

Huyu demu au jini maana simuelewi

Wish kila mmoja wetu angefungua hii attachment na kuisoma kuna watu wangelala nje leo.Hata kama umewahi kuyajua haya mambo tunasahau kurudia ni hekima.Haya mambo bwana pyuuuu
mkuu kama umeifungua hebu weka hapa kilichosemwa kwa waida ya wote
 
Bro, Nikutanishe nae na shida na raia wa aina hiyo sana, au msajilie namba na Nida yako unitumie PM nideal nae.
labda nikupe njia ya kumtengeneza raia wa aina hy ukadili nae mwenyewe
 
Endelea kula Mali hiyo Kaka!!unataka upewe nini sasa??donda la takoo??
 
Back
Top Bottom