Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

Halafu anayevunja ndoa sio huyo dereva ni huyo wa kanisani maana huko ndio umekolea mpaka mumeo umemsahau
 
Popote pale ukiamua kuwa ibilisi unakuwa, shetani alimuasi Mungu akiwa wapi si Mbinguni? Waislamu wanampiga mawe nani na wapi wakati Maka ni mji mtakatifu swali shetani anakaa palipo patakatifu? So in conclusion devil is everywhere
 
Hivi kuna mtu God fearing anayetembea na mke wa mtu.....ambako biblia inasema ndoa na iheshimiwe na watu wote????

Kuhusu mpango wa mumeo mkatalie. Mwambie haupo tayari kushiriki huo unyama/dhambi/ kosa. Na huna mpango wa kunyea debe. Yeye atumie mbinu zake.

Anyway hii sio chai ya maziwa iliyoungwa kwa iliki kweli???
 
  • Thanks
Reactions: amu
I see....angekuwa 'God fearing' kweli usingetusifie kuwa performance yake ni better. sema tu ni mzin...zi mwenzio tu.

kwa hyo mumeo akigundua una huyu wa kanisani kwenu pia utakuja tena hapa tukupe ushauri? usituchoshe
 
  • Thanks
Reactions: amu
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] !!!!!
 
Dada amekuwa wazi kwasababu halmashaur ya kichwa iliona hilo ndilo jawabu la matatizo yake.
kiukweli ndoa zimekuwa ndoana na sio vema kubeza labda uwe hujaingia kwenye mahusiano hayo ya kifamilia. Lakini uamzi huo so mzuri sana na kwasababu anamwamini Mungu nikusihi tu dada utubu na uiache hiyo tabia, soon mtawaacha watoto yatima msipoangalia kwasababu ya kukomoana.
 
Story ya aibu, kama ni kweli naona wewe ni aina ya wanawake wa hovyo kabisa
 
hii makala Ishawahi kuandikwa kwenye gazeti la Ijumaa Mwandishi Akiwa ni Bro Joseph Shaluwa ingawa umejaribu kuibadilisha sana lakini kuna Vitu bado umesahau kuviondoa...

wenda mlengwa kwenye hiyo mada alikuwa ni yeyey mwenyewe
huwezi fahamu, labda !ibra87 ndiye alimsimulia mkasa mzima bro Joseph shaluwa
mpaka akaja kuutoa kwenye gazeti.
 
Last edited by a moderator:
Ni god fearing akimaanisha miungu na sio (God fearing...hapa ni Mungu au Muumbaji)
 
Huyo ni mumeo nakushauri uache kutangaza madhaifu yake hata wewe unayo kama ya kutoridhika na penzi lake.Hivyo angalia utakuwa wa kuonjwa na kuachwa tu
 
Mpe taarifa huyo tax driver mwambie uliteleza tu kwa kufanya naye mapenzi na unampenda sana mumeo, pia mweleze kuwa message yake imeonwa na mumeo, na anapanga kumfumania ili naye ageuzwe mke na mabaunsa. So aachane kabisa na wewe. Natumai atakuelewa na mpango wa mumeo utashindikana. Kama dereva ataendelea kuwa king'ang'anizi, mwache aolewe, kiranga huwa haliliwi.

Unampa mzinzi ushauri daaah only tz this is happen
 
we utakuwa wa chama Fulani cha siasa cha jino kwa jino
 
Duh nimecheka hapo tu uliposema "Hivi karibuni nimepata mtu mwingine mahali nakoabudu, he is so caring, ni mtu mwenye Upendo sana, hanywi pombe na ananipenda kwa dhati, he is god fearing and above all his performance is much better than my husband and the tax driver's" ​Hahahahahhahaaaa He is God fearing ila sio kwa mke wa mutu!!! Basi safari ya mbinguni ni ngumu
 
Mmhhh pole sana mtoa maada sa huyo mme wako hasomi huu uzi?.kuhusu kufumaniwa usifanye hivyo hujui mmeo anaweza pata kisingizio cha kukukil ili aendelee na kimada wake chakufanya tax drive mpe mkanda mzima asepe kusiko julikana na huyo wapili mwambie nae asije kujiachia zaid yatamukuta ya taxdrive kwani nawe upo ndunian ili upate furaha ya ndoa kama mr analeta uzembe we ufanyeje kwa hilo binafs ckulaum .Banjuka lakin akili mkichwa.
 
Ww mwanamke ni malaya mpaka unanuka.
Mnatutia aibu sana sisi wakristo mbwa nyinyi
 
Back
Top Bottom