Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmhhh pole sana mtoa maada sa huyo mme wako hasomi huu uzi?.kuhusu kufumaniwa usifanye hivyo hujui mmeo anaweza pata kisingizio cha kukukil ili aendelee na kimada wake chakufanya tax drive mpe mkanda mzima asepe kusiko julikana na huyo wapili mwambie nae asije kujiachia zaid yatamukuta ya taxdrive kwani nawe upo ndunian ili upate furaha ya ndoa kama mr analeta uzembe we ufanyeje kwa hilo binafs ckulaum .Banjuka lakin akili mkichwa.
Huoni hata aibu kumuita mtu God fearing wakati ndio mshirika wako kwenye uasherati! Shame on you!
umeshamaliza kiroba? Sasa muulize yale maswali ya rangi ya blue!!!hakukomeshwa eti ilitafutwa suluhisho!!!!!!!!!!!!!