Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ama kweli uzinzi umehalalishwa,"God fearing"!!
Hivi kuna mtu God fearing anayetembea na mke wa mtu.....ambako biblia inasema ndoa na iheshimiwe na watu wote????
Kuhusu mpango wa mumeo mkatalie. Mwambie haupo tayari kushiriki huo unyama/dhambi/ kosa. Na huna mpango wa kunyea debe. Yeye atumie mbinu zake.
Anyway hii sio chai ya maziwa iliyoungwa kwa iliki kweli???
Ama kweli uzinzi umehalalishwa,"God fearing"!!
Nasikia ni chai kumbe bana
BTW naomba kuelimishwa mnatupigana vipi hadi kugundua hivi "....... his performance is much better than my husband and the tax driver's"?
Mnaabudu mnyama gani huko?
Silaha ya Uzinzi ni kumuogopa Mungu
Hii hai-apply kwa mleta mada na muumini mwenzie!
Halafu anayevunja ndoa sio huyo dereva ni huyo wa kanisani maana huko ndio umekolea mpaka mumeo umemsahau
Unejaribu kuonyesha udhaifu wa mumeo ili kuhalisha uzinzi wako, unaligawa tu hilo papuchi, kifupi wewe sio mke ila ni jamvi la wageni!
Bwana awe nanyi,
Nimekuja kwenu nahitaji ushauri, ni urgent.
Hapo katikati niligundua kuwa Mr wangu ana kimada, tukasumbuana na kugombana sana juu ya hilo, ingawa sikumshika live ila ni wazi kwamba alikua nae, mbali na hilo pia ni mlevi kupindukia.
Nilipoona suala hilo linaendelea nikaona isiwe tabu, nikatafuta suluhisho.
Na mimi nikatafuta mtu pembeni aniliwaze, kuna dereva tax huwa tunamtumia sana kwa shughuli za kifamilia,
Nikaamua kumzawadia penzi huyo jamaa, sio kwamba nilimuanza mimi, bali alikua akinisumbua siku nyingi, hivyo nikaona nimkubali.
Katika mara zote nilizokutana nae (6) niligundua kwamba hajiwezi kabisa, nikaona this relationship is not worth it, nikampiga chini, pia mtu mwenyewe hana hata Chumba cha kulala, Mara zote anaazima Chumba kwa mwenzie, ingawa ukimuona kwa nje ubrazamen alionao huwezi amini, ni type ya wale wanaume wenye kuongea sana na mbwembwe nyingi lakini hamna lolote.
Nikakata mawasiliano nae na kumwambia asinitafute tena, akaanza kunililia nisimwache, anapiga simu muda wote kunibembeleza, kila akiniona hata na watu wengine Mtaani, labda Dukani n.k atakimbia haraka kuja na kuomba tuongee pembeni hadi kero.
Hivi karibuni nimepata mtu mwingine mahali nakoabudu, he is so caring, ni mtu mwenye Upendo sana, hanywi pombe na ananipenda kwa dhati, he is god fearing and above all his performance is much better than my husband and the tax driver's.
Juzi kumetokea shida kubwa baada ya Mr kushika sms ya yule tax driver akiendelea kunibembeleza, Nikalazimika kusema kuwa jamaa ndio ananifuatilia, ananitaka kimapenzi, akasema kama ni kweli na ili aniamini Basi tufanye fumanizi la kutengeneza, kwamba nikubaliane na yule kijana wa tax kwenda nae guest na yeye aje atufumanie na kundi la mabaunsa wamwoe wote.
Nikikataa mpango huo basi atajua nilishatembea nae, na mimi najua yule tax driver kwa vyovyote vile atauvaa huo mtego, namuonea huruma sitaki apate aibu hiyo wakati tulishaachana nae.
Nipo njia panda naombeni ushauri nifanyeje?