Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

kweli we malaya kila unapoenda unapiga tukio aya imebaki uende kwenye msiba utoke na wafiwa acha umalaya ww linda ndoa
 
Mnaweza sema kila aina ya maneno hapo cjui kama atasikia tayari kapepo kauzinzi kameishamshika na God fearing wake yanaingilia kushoto yanatokea kulia tu
 
Hivi ulivyojieleza hivi mmeo kama hupita humu JF si kesha kujua?
 
Mmeo amekusaliti na wala hujamshuhudia, ww tayari umeshasaliti kwa wanaume wawili, hapo bado wale ambao hujawataja:sly:

Mwanamke Unasaliti ndoa? Mbaya zaidi unakuja kuomba ushauri wa namna gani taxi driver akwepe fumanizi, hujutuii kuendelea kusaliti ndoa kwa huyo mtu wa kanisani, tena unamuita ni God Fearing wakati anatembea na mke wa mtu:what:

Ama kweli haya ndio matokeo ya malezi ya kisasa + kitchen parties....
 
Hivi kuna mtu God fearing anayetembea na mke wa mtu.....ambako biblia inasema ndoa na iheshimiwe na watu wote????

Kuhusu mpango wa mumeo mkatalie. Mwambie haupo tayari kushiriki huo unyama/dhambi/ kosa. Na huna mpango wa kunyea debe. Yeye atumie mbinu zake.

Anyway hii sio chai ya maziwa iliyoungwa kwa iliki kweli???

Nasikia ni chai kumbe bana

BTW naomba kuelimishwa mnatupigana vipi hadi kugundua hivi "....... his performance is much better than my husband and the tax driver's"?
 
Fikiri NJE YA BOKSI. Vipi kama mumeo akitumia Hilo fumanizi la kutengeneza kukubwaga?

Huo mpango wa mumeo una Hila ndani yake na usipokuwa makini utaumia. Kufumania au kufumaniwa ni kitendo cha fedheha, vipi mumeo afanye mpango wa kukufedhehesha?
 
Hahaaaaaaa si unapimwa utendaji wako..... na ufundi unaotoa plus utamu utakaopatikana



Nasikia ni chai kumbe bana

BTW naomba kuelimishwa mnatupigana vipi hadi kugundua hivi "....... his performance is much better than my husband and the tax driver's"?
 
Sista umewasha moto kwa gunia zima, andaa pipa la kuuzima. Mwanamke huwezi kumlipizia mmeo.
 
Siku zote ukifanya uzinzi unakuwa zezeta. mtu yeyote aziniye na mwanamke au mwanamme hana akili kabisa!!. Sio kosa lako kufanya hivyo pole sana!!!!!!!!!!11
 
Silaha ya Uzinzi ni kumuogopa Mungu


Hii hai-apply kwa mleta mada na muumini mwenzie!

Ndo nashangaa na mimi mkuu, kumbe kuna God fearing mchepuko!!! nilikuwa sijui kabisaaa
 
kwanza...naomba umwambie mumeo na mimi aniunganishe kwenye hiyo ishu ya kwenda kumuoa huyo Tax Driver mimi ndio michezo yangu hiyo aiseee
 
Halafu anayevunja ndoa sio huyo dereva ni huyo wa kanisani maana huko ndio umekolea mpaka mumeo umemsahau

Samahani sana mkuu, hakuna anayeweza kumvunjia ndoa yake. Yeye ndo ataivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
 
Unejaribu kuonyesha udhaifu wa mumeo ili kuhalisha uzinzi wako, unaligawa tu hilo papuchi, kifupi wewe sio mke ila ni jamvi la wageni!
 
Unejaribu kuonyesha udhaifu wa mumeo ili kuhalisha uzinzi wako, unaligawa tu hilo papuchi, kifupi wewe sio mke ila ni jamvi la wageni!

Uhhhh ujumbe mzito... jamvi tena mkuu hahahaha dah
 
Either way anataka akufumanie na wewe. Mpaka ukakutwa gesti na mwanaume ulikwenda kufanya nini nae? Sijawahi kuona fumanizi la mtu mmoja. Kakugundua anataka akuaibishe na wewe kisha akuteme. Hivi ndugu zenu wakisikia umekutwa gesti na mwanaume kuna atakaeelewa ni mtego ulichongwa? Akili za mbayuwayu changanya na zako!
 
Bwana awe nanyi,

Nimekuja kwenu nahitaji ushauri, ni urgent.

Hapo katikati niligundua kuwa Mr wangu ana kimada, tukasumbuana na kugombana sana juu ya hilo, ingawa sikumshika live ila ni wazi kwamba alikua nae, mbali na hilo pia ni mlevi kupindukia.

Nilipoona suala hilo linaendelea nikaona isiwe tabu, nikatafuta suluhisho.

Na mimi nikatafuta mtu pembeni aniliwaze, kuna dereva tax huwa tunamtumia sana kwa shughuli za kifamilia,
Nikaamua kumzawadia penzi huyo jamaa, sio kwamba nilimuanza mimi, bali alikua akinisumbua siku nyingi, hivyo nikaona nimkubali.

Katika mara zote nilizokutana nae (6) niligundua kwamba hajiwezi kabisa, nikaona this relationship is not worth it, nikampiga chini, pia mtu mwenyewe hana hata Chumba cha kulala, Mara zote anaazima Chumba kwa mwenzie, ingawa ukimuona kwa nje ubrazamen alionao huwezi amini, ni type ya wale wanaume wenye kuongea sana na mbwembwe nyingi lakini hamna lolote.

Nikakata mawasiliano nae na kumwambia asinitafute tena, akaanza kunililia nisimwache, anapiga simu muda wote kunibembeleza, kila akiniona hata na watu wengine Mtaani, labda Dukani n.k atakimbia haraka kuja na kuomba tuongee pembeni hadi kero.

Hivi karibuni nimepata mtu mwingine mahali nakoabudu, he is so caring, ni mtu mwenye Upendo sana, hanywi pombe na ananipenda kwa dhati, he is god fearing and above all his performance is much better than my husband and the tax driver's.

Juzi kumetokea shida kubwa baada ya Mr kushika sms ya yule tax driver akiendelea kunibembeleza, Nikalazimika kusema kuwa jamaa ndio ananifuatilia, ananitaka kimapenzi, akasema kama ni kweli na ili aniamini Basi tufanye fumanizi la kutengeneza, kwamba nikubaliane na yule kijana wa tax kwenda nae guest na yeye aje atufumanie na kundi la mabaunsa wamwoe wote.

Nikikataa mpango huo basi atajua nilishatembea nae, na mimi najua yule tax driver kwa vyovyote vile atauvaa huo mtego, namuonea huruma sitaki apate aibu hiyo wakati tulishaachana nae.

Nipo njia panda naombeni ushauri nifanyeje?

Kama unamuonea huruma kwanini usimwambie kuwa wewe ulishalala nae na bado anaendelea kukusumbua.... mboga yako tamu....haha... anyway mwambie mmeo kuwa chanzo cha hayo yote ni yeye kutokukujali na kuendeleza mapenz na huyo mtu ambaye ulikuwa unahisi alikuwa ana hook nae....Kazia hapo tena kazia sana....

Ila acha umapepe mpende mmeo... dawa ya moto sio kila wakati ni moto

Hapo utamponyesha huyo ex boy wako
 
Back
Top Bottom