Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

Kosa la huyu dada ni kusema ukweli au? Tusimshambulie sana kwa kuwa wengi wetu ni dizaini hizo tena na zaidi na ndio maana kuna usemi unsema kabla ya kumnyoshea mwenzio kidole je na wewe ni msafi?
 
Siamini wewe ni mwanamke wa aina gan?? Mung ingilia kat kwa huyu mwanamke mwenye pepo la ngono! Huoni aibu kuelezea upuuzi wako humu?? Kweli mwanamke mpumbavu anavunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewee. Badilika we mwanamkee utakuja juta huko mbeleee pumbavuu sana
 
Hiyo ni dhambi ya asiri inakutafuna na kamwe utaishinda ebu mwogope mungu mueshimu mumeo
 
Hilo ndilo suluhisho ulilotafuta....wewe huna ushahidi mwenzio anataka kumfanya suluhisho lako mke mwenza.... Hapo utajua mwenyewe.....
 
Kosa la huyu dada ni kusema ukweli au? Tusimshambulie sana kwa kuwa wengi wetu ni dizaini hizo tena na zaidi na ndio maana kuna usemi unsema kabla ya kumnyoshea mwenzio kidole je na wewe ni msafi?

ishu ni kutuambia anazini na God fearing man.....kwa hayo ya kutembea nje wazungu wanasema to each his/her own....
 
Duh!! Unadai kuwa uliempata ni God fearing??? Kuna mtu ambae ni God fearing ambae ni mzinzi? Dunia imeisha na imefika mwisho LOL!!
 
Mweeeeh kweli hiyo papuchi ni mali ya umma.

Kama muumini mwenzako mtamu, vunja ndoa ukaishi naye.
 
Dah! Huko katika nyumba ya ibada bado unaenda!??
 

Hayatuhusu. This is your private business. Usitushirikishe kwenye mambo yako ya uzinzi.
 
Unaweza ukapanga fumanizi ukashangaa mumeo anakugeuka na kukuita Malaya. Mwishowe ni unakuwa umejitengenezea aibu.
 
Nimekumbukaaaaaaaaaaa "Ndoa umeshaivunja mwenyewe sema zigo unamrushia tax driver..... Tangu lini chuma na chuma visisigane??????????????????
 

ehee... Irene mambo?
Piga namba hii nikusaidie 0652700145
 
Anyways, "god" is not "God"...! Therefore "god fearing" <> "God Fearing"...!
 

Mdada hujatulia, acha kuendekeza umalaya.
 
Sehemu ya ibada ambayo inaruhusu uzinzi, labda hii itakuwa ile ya waabudu shetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…