Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
- Thread starter
- #21
😂😂😂Ni Polisi Asilimia 560938302739 kampooze yaishe vinginevyo ,Utashtakiwa kwa kosa la kumfuatilia na kumuingilia ktk wajibu wake kikazi Jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Ni Polisi Asilimia 560938302739 kampooze yaishe vinginevyo ,Utashtakiwa kwa kosa la kumfuatilia na kumuingilia ktk wajibu wake kikazi Jf
Jina lake limenitoka, jamaa huwa sio mchoyo, sijawahi kumuona kampa mtu DISLIKE yeye anagawwa tu hahaha anaitwa mkwepu jrHuyu wa kugawa like bila shaka ni yule Bonafide genuine a.k.a kura moja, wajumbe siyo watu.
Mkuu hivi wewe sio yule mzee wa ma BMW, miaka ya nyuma tulikuwa na nyuzi zetu kuhusu wanyama BMW? Mimi nikala ban kwenye account yangu ya mwaka 2010 kisa nimeeleza udikteta wa Maxence MeloHahaha Extrovert mzee wa Kodtec
Hata Paskali Mayala hanaga tabu na like.Jina lake limenitoka, jamaa huwa sio mchoyo, sijawahi kumuona kampa mtu DISLIKE yeye anagawwa tu hahaha anaitwa mkwepu jr
Kuna comment niliandika kwenye uzi fulani hv kihalisi haikuwa sahihi. Jamaa alilike afu akanikosoaHata Paskali Mayala hanaga tabu na like.
Noma sana.Kila mtu anajiunga JF kwa interest zake, kuna yule jamaa wa kugawa LIKE kila post na kuna Extrovet na yeye ana ya kwake, wengine ni waanzisha nyuzi ndefuuu, wengine wanapenda kukomenti kila post, wengine wanapenda kukosoa kila post ili mradi tu apunguze stress zake aifurahishe nafsi yake, kuna yule mmoja kila mwanamke kampitia, yule mwingine Kasinde yeye ana mambo yake, basi raha tu
Penye wengi pana mengiKila mtu anajiunga JF kwa interest zake, kuna yule jamaa wa kugawa LIKE kila post na kuna Extrovet na yeye ana ya kwake, wengine ni waanzisha nyuzi ndefuuu, wengine wanapenda kukomenti kila post, wengine wanapenda kukosoa kila post ili mradi tu apunguze stress zake aifurahishe nafsi yake, kuna yule mmoja kila mwanamke kampitia, yule mwingine Kasinde yeye ana mambo yake, basi raha tu
Kumwambia mwanaume mwenzio "yuko bomba" hizo ni dalili za u cocasticExtrovert Ni mtu mmoja mcheshi sana afu Yuko bomba Sana humu jf[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Napokea taarifa mheshimiwaExtrovert Ni mtu mmoja mcheshi sana afu Yuko bomba Sana humu jf[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za miaka ndugu? Nyie wengine mnaonekana kwa timing kama baridi ya Njombe hahaahaaP
Penye wengi pana mengi
Safi mkuu...maisha yametight mkuu inabidi tuwe wasomaji zaidiHabari za miaka ndugu? Nyie wengine mnaonekana kwa timing kama baridi ya Njombe hahaahaa
Safi mkuu...maisha yametight mkuu inabidi tuwe wasomaji zaidi