Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
.Habari za miaka ndugu? Nyie wengine mnaonekana kwa timing kama baridi ya Njombe hahaahaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Habari za miaka ndugu? Nyie wengine mnaonekana kwa timing kama baridi ya Njombe hahaahaa
Alafu reactions zake zote Ni kucheka,huwa ha likeNyuzi na maoni ninayotoa huwa yanafuatiliwa kwa karibu na huyu Extrovert sijui lengo lake ni nini isije ikawa ni mzee wa Nissan Nyeupe.
Inapendeza kusikia kutoka kwako tena, nikutakie siku yenye furaha, amani na upendo, kamwagilie moyoSafi mkuu...maisha yametight mkuu inabidi tuwe wasomaji zaidi
Umenikumbusha hahahahhahaa yaani Kitimoto yeye ni mwendo wa DISLIKE mwanzo mwisho kuna siku alikuja kumpa DISLIKE hadi mwenye mtandao wake, just for funnyAcha uoga Mkuu humu kila mtu ana style yake ya maisha jina lenyewe tu extrovert alafu unauliza tena.
Ngoja nikuitie huyu mwamba Kitimoto atembeze dislike uzi mzima ndio ujue humu kila mtu ana style yake ya maisha.
Bora hata umemgundua mapema hivyo tutakuongezea ulinzi. Huyo Extrovert na mwenzake mkwepu jr , ni wazee wa Nissan Nyeupe kitambo tu.Nyuzi na maoni ninayotoa huwa yanafuatiliwa kwa karibu na huyu Extrovert sijui lengo lake ni nini isije ikawa ni mzee wa Nissan Nyeupe.
Njaa bila shakaHuyu wa kugawa like bila shaka ni yule Bonafide genuine a.k.a kura moja, wajumbe siyo watu.
Acha 'Promo' za Kijinga na Kipumbavu tafadhali.Nyuzi na maoni ninayotoa huwa yanafuatiliwa kwa karibu na huyu Extrovert sijui lengo lake ni nini isije ikawa ni mzee wa Nissan Nyeupe.
Hivi mkuu Mtambuzi yupo wapi yule bwana? Nakumbuka sana story zake zile za miaka ya 2010 ten huko! Kuna wakongwe wengi sana siku hizi hawacomment kabisaInapendeza kusikia kutoka kwako tena, nikutakie siku yenye furaha, amani na upendo, kamwagilie moyo
[emoji1]Acha 'Promo' za Kijinga na Kipumbavu tafadhali.
Huyo mwamba alisema anasepa Burundi sjui ameshafika na kurudi?? Last time alitoa update amefika kigomaWe jamaa toka ukatishe Ile story Kila nkiona comments zako sijui nazionaje yaaan kama za kibwege, nisamehe lkn
We mbn adriz anakukubali braza Popoma? Acha mwenzio nae asifiwe😅Acha 'Promo' za Kijinga na Kipumbavu tafadhali.