Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
- Thread starter
- #61
NimekutukanajeNitamtag max akupige Pini ya milele umenitukana 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NimekutukanajeNitamtag max akupige Pini ya milele umenitukana 😀
Kuna na wale kama mimi tunapenda na kuuelewa uzi fulani lakin uvivu wa kukomentKila mtu anajiunga JF kwa interest zake, kuna yule jamaa wa kugawa LIKE kila post na kuna Extrovet na yeye ana ya kwake, wengine ni waanzisha nyuzi ndefuuu, wengine wanapenda kukomenti kila post, wengine wanapenda kukosoa kila post ili mradi tu apunguze stress zake aifurahishe nafsi yake, kuna yule mmoja kila mwanamke kampitia, yule mwingine Kasinde yeye ana mambo yake, basi raha tu
yaani ilimradi tu maisha yawe mazuriKuna na wale kama mimi tunapenda na kuuelewa uzi fulani lakin uvivu wa kukoment
Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
Shambulio la ki comment hili😂😂😂 lazma nimkamateNi Polisi Asilimia 560938302739 kampooze yaishe vinginevyo ,Utashtakiwa kwa kosa la kumfuatilia na kumuingilia ktk wajibu wake kikazi Jf
extrovert typingShambulio la ki comment hili😂😂😂 lazma nimkamate
Ni kweli mzee wa sub hata mie huwa nakukubali sana 😂😂😂! Sema Mods tu huwa wanakomaga na spana zangu za Drop-Forged kisha wananilima BanExtrovert Ni mtu mmoja mcheshi sana afu Yuko bomba Sana humu jf[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂 Mzee uje uniungishe nimeshusha ndizi za kutosha mikungu kama yoteYani unamuhofia adi uyo muuza matunda temeke🤣🤣🤣
Naam naam, nimewasili kuwasabahi waungwanaExtrovert uje huku unaitwa