[emoji15]Sijasoma na sijui Kiingereza Mkuu hivyo kama vipi naomba unitafsirie kwa Kiswahili tu hapo ulipoandika kwa lugha hiyo adhimu ya Malkia na Waliberali.
Unajiliza sana mara ooh mods wanichikulie hatua kama nadanganya sijui nini na nini ....Umeuliza na umejibiwa tatizo liko wapi?
Unajiliza sana mara ooh mods wanichikulie hatua kama nadanganya sijui nini na nini ....
[emoji15]
Angalia [emoji116][emoji116][emoji116] then itumie akili ako.Siku hizi JF watu wameamua kujipigia promo.
Embu weka picha ya huyo mtu tumuone kwanza halafu weka na link alizoandika zenye hoja motomoto tuzione.
Isije kuwa mnakuja na ID mpya.
...teh hee hee
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mapanga suna na hakuna marinda...teh hee hee
..wengine wabeba vyuma,na hakuna marinda!
...teh hee hee[emoji1] [emoji1] [emoji1] mapanga suna na hakuna marinda
Nyie watu mbona mna laana mbwa nyie ya nini kumdhihaki mwenzenu?!...teh hee hee
..kwamba unasema huyo jamaa kwenye picha ni choko mtemi!??
.we jamaa bhana
...acha kinyekunyeku ka kikundu cha kuku alotoka kunya;Nyie watu mbona mna laana mbwa nyie ya nini kumdhihaki mwenzenu?!
Mimi ndiye kwani unawashwa fala ww....acha kinyekunyeku ka kikundu cha kuku alotoka kunya;
..we ndie secretary wake?
...akhsanta demu wangu!Mimi ndiye kwani unawashwa fala ww.
Weka ushahidi wa utapeli wa TMT hapa! sio unaandika kwa mihemko kama bi kaka!Ni matapeli wa TMT hao
Wa nini sasa!!Wadau habari zenu.
Twende moja kwa moja kwenye mada. Huyu Gentamycine amekuwa mwandishi mahiri huku JF mwenye hoja motomoto. Lakini pia hatabiriki vizuri na vigumu kumuelewa msimamo wake kwa sasa.
Huyu mimi nafikiri ni jasusi wa TISS, Mwandishi habari makini, au kiongozi serikalini au mtu wa kawaida vijiweni aliyesoma kiasi Fulani na hupenda kujichanganya sana.
Je wewe mwenzangu unamwonaje mtu huyu?
Mbona unanitusi, Kwani sasa hivi natumia akili za nani?Angalia [emoji116][emoji116][emoji116] then itumie akili ako.