Huyu Gentamycine wa JF ni nani haswa?

Huyu Gentamycine wa JF ni nani haswa?

Unajiliza sana mara ooh mods wanichikulie hatua kama nadanganya sijui nini na nini ....

Kwahiyo ulitaka nijilize kwa Mama yako au? Hujui Kazi na Majukumu ya Moderators hasa katika ' tuhuma ' ambazo hazina miguu wala kichwa zinazoelekezwa kwa Members humu? Sitaki nikudharau tafadhali japo tayari nimeshaanza kukudharau japo si kwa Kiwango ninachokikusudia.
 
[emoji15]

Mkuu nasubiri bado tafsiri yako ya yale maneno ya Kimalkia na Kiliberali uliyoniandikia ili nami niweze kuelewa umeandika nini kwani sikubahatika Kusoma na Kuelemika kama mwenzangu Wewe.
 
Siku hizi JF watu wameamua kujipigia promo.

Embu weka picha ya huyo mtu tumuone kwanza halafu weka na link alizoandika zenye hoja motomoto tuzione.

Isije kuwa mnakuja na ID mpya.
Angalia [emoji116][emoji116][emoji116] then itumie akili ako.

fe1de3a5f71465a4cf27d8fcc3f594ef.jpg



a014f5a9bd01fdbde02f7a7afdb5282e.jpg
 
Wadau habari zenu.

Twende moja kwa moja kwenye mada. Huyu Gentamycine amekuwa mwandishi mahiri huku JF mwenye hoja motomoto. Lakini pia hatabiriki vizuri na vigumu kumuelewa msimamo wake kwa sasa.

Huyu mimi nafikiri ni jasusi wa TISS, Mwandishi habari makini, au kiongozi serikalini au mtu wa kawaida vijiweni aliyesoma kiasi Fulani na hupenda kujichanganya sana.


Je wewe mwenzangu unamwonaje mtu huyu?
Wa nini sasa!!
 
Back
Top Bottom