To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣✌️Dunia hii hii n nzuri ina mazuri yake, wapo maabara na ini la my wetu anangojewa mgonjwa wa ini kwa majaribio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣✌️Dunia hii hii n nzuri ina mazuri yake, wapo maabara na ini la my wetu anangojewa mgonjwa wa ini kwa majaribio.
Hajawahi kupigana kwa namna anavyokubalika na kupendwa.Hana baya na mtu..
Na vita yake hapigani mwenyewe... Anapiganiwa😄
😂 kwahyo msiogope ndugu zangu katika imaaaan.🤣🤣🤣✌️
Swahiba mambo?[emoji12]Hahahahaha
Swahiba mambo poa kabisa, nilikumiss vby mno..nimekuona hapa nimenenepa...Swahiba mambo?[emoji12]
Akaushwe vizuri, pili pili ya kutosha na kinywaji chako pendwaBinafsi simtumii kabisa huyo mdudu. Labda niwe na njaa kali mno na hakuna alternative.
Amen Swahiba....Swahiba mambo poa kabisa, nilikumiss vby mno..nimekuona hapa nimenenepa...
Karibu Swahiba kipenzi...nimeteseka sana aisee..full upwekeAmen Swahiba....
Nenepa kabisa....Nimerudi tena.
Nikiwa na njaa sanaaa lakini. Tangu kuzaliwa nimemla mara moja tu bila kujua. Alikuwa kakaushwa vizuriii na ndizi tupo watu wengi. Nimekula finyango kadhaa ndo nashtuka kumbe ni chair?Akaushwe vizuri, pili pili ya kutosha na kinywaji chako pendwa
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]Karibu Swahiba kipenzi...nimeteseka sana aisee..full upweke
Ahsante Swahiba,walau sasa nitapata nafuu..maana dah[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Pole Swahiba wangu...
🤣😂 kwahyo msiogope ndugu zangu katika imaaaan.
Saivi usimle bahati mbaya mtafute umle na ugaliNikiwa na njaa sanaaa lakini. Tangu kuzaliwa nimemla mara moja tu bila kujua. Alikuwa kakaushwa vizuriii na ndizi tupo watu wengi. Nimekula finyango kadhaa ndo nashtuka kumbe ni chair?
Labda njaa iwe kali mnooo na sina alternative.Saivi usimle bahati mbaya mtafute umle na ugali
Na hanaga story na MTU, kashfa kila kukicha aiseeeMahi kama mahi hana baya yeye ni kusambaza tiba upendo tu.
Omba Sana usije ukala Kitimoto ribs ya asaliLabda njaa iwe kali mnooo na sina alternative.
Dah Acha kufru sheikhWale wanao itanaga "ndugu yangu katika Imani" watoto wa mnyaazi mungu hua wanajifanya wana mponda Sana mbele za macho ya watu lakini ni watumiaji wazuri sana wa mnyama huyu aliebarikiwa faida kedekede kwenye mwili wa binadamu
Haya ni matibabu Sheikh, kuwa na imaniWatu Wa Surra~ZubaA Watasema Haram