Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Nilisema....Havina uhusiano Ndugu yangu, tuache usitukatishe tamaa
Mahi wetu vita yake anapiganiwa....
Kama hivi🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisema....Havina uhusiano Ndugu yangu, tuache usitukatishe tamaa
Toa location, tunataka tukaungane na Jamaa yetu, Hana bayaAhsante Kiongozi....Nitakaribia...
Kuna hiyo moja nailaga mahali...😋😋😋😋Aaawwww
Acha KabisaNilisema....
Mahi wetu vita yake anapiganiwa....
Kama hivi🤣
Maeneo ya kumekucha pale nyuma ya Hospitali...Hahahahaha..mahali gani hapo..bebi gelo mayai..tukapatembelee
Kilo moja kavu nalipiaToa location, tunataka tukaungane na Jamaa yetu, Hana baya
Nimeshatoa 'kiongosi'Toa location, tunataka tukaungane na Jamaa yetu, Hana baya
Yule mnyama ni mtamu hana mpinzani.....Haikuwa mbaya, ilikuwa tamu tu, pia haikuwa na ile harufu ya kitimoto ndo maana sikujua.
UnAijuaje harufu ya Kitimoto?Haikuwa mbaya, ilikuwa tamu tu, pia haikuwa na ile harufu ya kitimoto ndo maana sikujua.
Hahaha hayaNimeshatoa 'kiongosi'
Naaaaaam NaaamMaeneo ya kumekucha pale nyuma ya Hospitali...
Hope unapamanya...Wale watu wanajua kuipika bhana
Ok kumekucha sinza hii..basi sawa mie niko tayari ..kilo ngapi zinatutosha ..bebi gelo mayaiMaeneo ya kumekucha pale nyuma ya Hospitali...
Hope unapamanya...Wale watu wanajua kuipika bhana
Dah Yule Jamaa asiyependwa na wengi hadharani Bali sirini amekuja na mpya tena! This time sio mezani tena bali ni uwezo wake mkubwa wa kutoa kidney kwa wanadamu "wanafiki" dhidi Yale. Jamaa Hana baya!
View: https://vm.tiktok.com/ZMMueWdgb/
Naam Naaam, ni uwekezaji mzuri, wanawatoa figo halafu nyama wanatuleteaIran, Saudi Arabia, Palestine na uturuki wana shida sana za figo , wanaweza kuanza kufuga nguruwe wa kisasa ili waweze kupata figo mpya.
Panga ratiba ..swahiba bebi gelo mayaiNimeshatoa 'kiongosi'
Yule mnyama hafai kula na utamu wake. Ila msio na tabu nae mleni tu.Yule mnyama ni mtamu hana mpinzani.....
OPanga ratiba ..swahiba bebi gelo mayai
Bebi gelo Mayai anakula nusu tu...Roast na ndizi mbili.Ok kumekucha sinza hii..basi sawa mie niko tayari ..kilo ngapi zinatutosha ..bebi gelo mayai
Hahahahaha..si tunaelekea kumekucha kula nyama pendwa mkuu au ?Mnakoelekea haitafika, naona uelekeo wenu
O
🤣🤣🤣🤣🤣TuliaMnakoelekea haitafika, naona uelekeo wenu
O
Iko tayari SwahibaPanga ratiba ..swahiba bebi gelo mayai