๐๐๐KaribuSihusiki ila Imebidi nizoom avatar yako.....asante!
๐ฏ
Hahaha Mkuu umewaza nini aisee๐๐๐๐๐Kitimoto ni kama maji ,usipo yanywa utayaoga.
Tena unaenda kumlia Zanzibari kabla ya Mwezi kuisha๐๐๐๐๐๐๐Saivi usimle bahati mbaya mtafute umle na ugali
Kweli aiseeCCM hao
Mkuu Kamnyweso hugusi?Mbususu
Mdudu (nguruwe)
Mpira
Mpaka saiv nawaza maisha yangu yangekuaje bila hvo vitu vitatu
SnaaaaMy wetu amekirimiwa upendo basi tu wapumbavu wachache wanawivu
Hana hiana mnyama wetuMbususu
Mdudu (nguruwe)
Mpira
Mpaka saiv nawaza maisha yangu yangekuaje bila hvo vitu vitatu
Jioni nitumie nmba zako nikuagizie kanusuHana baya kitimoto, mie nimemmiss.....
Mnyama athaminiweNyuzi ya kushonewa na kuozea ndani baada ya operation hutengenezwa na misuli ya Tendons na ile ya shingoni mwa mdudu.
Huwa najiuliza which is which? Ufanyiwe operation ushonwe na nyuzi za mnyama au ufe
Mara Moja moja, kama Jana nligusa maana nlikuwa hovyo kwenye medulla nkaona niiupdate software kichwaniMkuu Kamnyweso hugusi?