Huyu hapa ndiye Paul Christian Makonda mwamba wa Kaskazini

Haja
Hajahusika kwenye utekaji? Kwanini SATIVA alipelekwa Arusha kutoka Ostabay Police DSM? Alipokuwa haonekani alienda wapi? Mbona kipindi hicho ndiyo utekaji uliongezeka?
 
Naunga mkono hoja , huyu ni Mwamba na juu ya Mwamba huu nitalijenga taifa langu Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?

Tena kuna uwezekano Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
P
 
Mbona Makonda kawa Mwarabu kwenye hiyo picha?
 
A.K.A mzee wa kukwepa mpaka sumu...
 
Njaa hizi
Unamfahamu vizuri wakili Msomi Paschal Mayalla? Paschal Mayalla siyo mtu wa njaa hata siku moja ndugu yangu.na angekuwa na njaa basi anaweza kupata chakula muda wowote ule anaotaka kula .maana anakonekisheni na watu na viongozi mbalimbali wazito wazito na wenye Majina Makubwa Makubwa hapa Nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…