Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
Na jiwe alimchukia sana huyu doctor kwa kuokoa maisha ya aliyeitwa na jiwe "kibaraka wa mabeberu" mpk akamtumbua huyu doctor
 
Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.


After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka

Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?

Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.

Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"

Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.

Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!

JPM akauliza why ? Job akamjibu

"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"

Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :

"bunge lisigharamie matibabu yake"

Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini unaenda wewe.

akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.

Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.

Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.

Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .

Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi yaani government officers ambao walikuwa kwenye position kubwa ya kusaidia na sio Mbowe that is hard truth ...

.. Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very much composed. Hata alivyotumbuliwa … hakuwahi ku comment anything . His mouth was always sealed🤐

kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.



Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
CanadaView attachment 3196708
Jpm alikuwa ni shetani aliyetelemshwa duniani ili watu wote waone shetani anavyofanana
 
Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.


After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka

Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?

Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.

Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"

Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.

Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!

JPM akauliza why ? Job akamjibu

"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"

Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :

"bunge lisigharamie matibabu yake"

Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini unaenda wewe.

akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.

Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.

Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.

Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .

Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi yaani government officers ambao walikuwa kwenye position kubwa ya kusaidia na sio Mbowe that is hard truth ...

.. Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very much composed. Hata alivyotumbuliwa … hakuwahi ku comment anything . His mouth was always sealed🤐

kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.



Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
CanadaView attachment 3196708
Maruhun Turuky mbona huja msema kama alisaidia.
 
😁 Cool down Mr , ngoja niteme cheche kidogo hapo chini ili tulisolve kisomi, fanya yafuatayo ili kulinda amani ya moyo wako:

-Puuza na usmijibu mjnga wa hivyo.
Mara nyingi kwa utafiti wangu mkuu naona watu wanaopenda kujibizana hovyo hovyo mara nyingi hawa wajinga hufurahia pale wengine wanapokasirishwa na maneno yao. Kutojibu na kumpuuza kunamnyima umakini na tension anayokuwa anaitafuta.


-Toa jibu la utulivu pale itakapobidi.
hakikisha unafanya hivyo kwa utulivu na
heshima. Hii inaweza kumfanya huyo kichaa ashindwe kuendelea na mijadala isiyo na maana na kupunguza tags.

-Tumia maneno ya hekima
just jaribu kumueleza kwa upole kwamba huoni umuhimu wa kujibizana, na ungependa kuzingatia mijadala yenye faida

-Epuka kubeba mzigo wa kihisia
Kumbuka kwamba haiba yake ni zao la tabia zake, na sio udhaifu wako mkuu. Hivyo kamwe Usiruhusu tabia zao kuathiri furaha yako.

-Shiriki nae mdahalo kwa njia ya ushauri
Kama ukipata nafasi, mshauri mtu huyo kwa upole, mfano:
"Naona tunakosa mawasiliano mazuri, labda tukiangalia mijadala yenye faida tutapata nafasi ya kujifunza zaidi."

Ukiona hali ni mbaya, ni sawa kuamua kuondoka kwenye mijadala hiyo ili utulize akili yako mkuu.

Utekelezaji mwema Mkuu na ikibidi mwambie akate shobo , Bahati mbaya JF imekosa block mkuu tungekuwa tunawalima watu wengi 🤣
Asante Sanaa mkuu nime screenshot comment yake...

Mimi ni strong Ila nimejikuta nimechefukwa to the maximum...

Screenshot_20250109-200122.png


Nimejifunza Kwako ni ku ignore negativity.

Much respect Kwako.

Screenshot_20250109-200625.png
 
Wanyakyusa Kwa Mara nyingine wameokoa taifa
Mwanafyale, nenda youtube kaisikilize ile hotuba ya Lissu bungeni masaa machache kabla hajapigwa risasi, aliyekua ana chair kikao cha bunge that day alikua dada yako, nenda kamtazame vizuri sister halafu njoo tena usifie Wanyakyusa wenzio. Sister that day alikua "poa" sana tofauti na siku zingine
 
Hata kama tunamchukia Mbowe lakini tusiongee uongo; mchango wa Mbowe katika kuokoa uhai wa Lissu ni mkubwa sana; kuna mazingira mengi yanayo onesha kwamba it was Chadema/Mbowe who made that decision (sipingi hilo la daktari Mwanafyale kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu uhai na Afya ya Lissu ) na baadhi ya wabunge wa ccm akiwepo Lazaro Nyarandu. Jikumbusheni ni lini Nyarandu aliachia ubunge and why? Kama spika alihusika "kumtorosha" Lissu why yeye aliendelea ku shine enzi za mwendazake while wengine wakafanywa kama uzi unavyo sema? Mbunge mwingine alikua Nape, Nape ali talk shit sana pale hospital akionesha kukerwa na kitendo kile cha Lissu kupigwa Risasi; kwa mara ya kwanza tulijulishwa kwamba mama yake Nape ni mtu wa Singida cause Nape alitumia neno "mjomba/uncle" akim address Lissu. Miezi kadhaa baadae, same Ndugai alionesha kejeri kwa Chadema kwamba hawajalipa bill ya ndege iliokodiwa kutoka kwa yule mbunge wa ccm aliyewapa ndege ile. Lissu hakua anajitambua wakati yote yale yakiwa yanafanyika, kwa maana ya uhai wake, Lissu bado anayo sababu ya kumshukuru Mungu aliyeokoa uhai wake, lakini pia anayo sababu ya kumshukuru Mbowe pia kwa ku play role yake kama mkuu wa chama, Mbowe alifanya kazi kubwa katika kuokoa uhai wake. Gharama za matibabu, tulichanga wengi bila kujali vyama vyetu, account ilitolewa na watu tulitupia mule. Lissu aseme hayo anayo yasema kuhusu Mbowe kwa maslahi ya taifa but as an individual, Mbowe kwake ni mtu na nusu.
Maneno mengi ya kuzunguka lakini hujaonyesha vema mchango wa Mbowe special tofauti na wenzake.
 
Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
Kuna watu wamebarikiwa na kujaaliwa karama adimu na adhimu, wanaheshimu viapo vyao na daima Mungu hawatupi maishani
 
Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.


After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka

Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?

Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.

Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"

Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.

Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!

JPM akauliza why ? Job akamjibu

"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"

Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :

"bunge lisigharamie matibabu yake"

Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini unaenda wewe.

akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.

Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.

Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.

Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .

Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi yaani government officers ambao walikuwa kwenye position kubwa ya kusaidia na sio Mbowe that is hard truth ...

.. Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very much composed. Hata alivyotumbuliwa … hakuwahi ku comment anything . His mouth was always sealed🤐

kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.



Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
CanadaView attachment 3196708
Rubbish.
 
Wamiliki wa ndege iliyompeleka Lissu Nairobi walikuwa wanataka walipwe cash sasa kutokana na mazingira ya wakati ule CHADEMA hawakuwa na uwezo wa kulipa instantly ndipo Mbowe akamuomba Marehemu Turky (mbunge), awalipie kwa ahadi ya ku.lipa hivyo yule mbunge alikopesha hakutoa msaada kama baadhi wanavyodai na baadae alirudishiwa pesa zake na CHADEMA.

Mbowe ndiye alikuwa organiser mkuu na coordinator wa mchakato mzima nini kifanyike na kifanyikeje. Pia ile hospitali Nairobi ilitaka kianzio cha pesa ili matibabu yaanze hapo juhudi ya Mbowe ndiyo iliwezesha advance payment ikalipwa hosipitali.

Pia Baadae CHADEMA wakatoa namba ya akaunti za kuchangia matibabu watu mbalimbali wakachangia humo hata mimi nilichangia kupitia akaunti ya CRDB iliyotolewa. Wabunge pia walichangia ,

Mbowe pia alikaa Nairobi akisimania matibabu ya Lissu kwa miezi minne hivi huku ameacha biashara na familia yake; hayo yote huyo mleta mada haoni na anabeza eti mchango wa Mbowe ulikuwa sawa na wengine, nafikiri hayupo sawa kichwani huyo dokta na ni mnafiki.

Mamlaka ya anga ilitoa kibali tu ndege kutua na kutoka haikuhusika kutafuta ndege, eti ndiyo huyo mleta mada anawapa credit kuliko Mbowe wakati TCAA kazi yao ni kutoa vibali.

Mkuu wa mkoa huwa hausiki na masuala ya ndege kutua na kupaa, japokuwa kwa nafasi yake kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama angeweza kutoa order ( kuingilia mamlaka nyingine kibabe) kuwa hakuna ndege kuruka kwenda Nairobi na kweli ndege isingeruka lakini hastshili kupongezwa kwa sababu haikuwa kazi yake ya kila siku kuruhusu ndege kuruka na ingekuwa matumizi mabaya ya madaraka japo angepongezwa na mtawala, huyu naye anapewa credit na mleta mada kuliko Mbowe.

Mleta mada ( huyo doctor anayefanya WHO ) ni mnafiki ndio maana haoni mchango mkubwa wa Mbowe japo ni kweli ulisubya alitoa mchango muhimu katika zile hatua za mwanzo za kuokoa uhai wa Lissu.
Je ni mbowe aliye jua hali ya mgonjwa na hatua inayofuata baada ya matibabu ya awali pale dodoma au ni Dr.

Je ni mbowe aliyekuwa anajua hospital gani itamfaa nairobi ukilinganisha na vifaa vyetu mnh au ni Dr.

Je mbowe alikuwa anajua taratibu za usafiri, ili mgonjwa afike nairobi mapema, wakati hakuwepo kwenye chumba cha matibabu na hakuwa sehemu ya mawasiliano na hospitali ya nairobi.

.............. hadithi ni ndefu na mambo mengi, wengi wa waliokuwa nje ya chumba cha matibabu walikuwa wanapata taarifa ambazo watu wengine walikuwa wanazitoa.
Je mbowe alikuwa anafahamu namba za mkurugenzi wa tcca zaidi ya kupata taarifa za baadae
 
Back
Top Bottom