Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

Mambo yalikuwa chap chap sana mana ni simu zilitembea kama upepo.

Binadamu bado tunapendana….

Zinazokuja kuondoa upendo wetu ni siasa na dini….. lakini Mungu alishajaalia mapenzi na huruma kati ya binaadam na binaadam

Wakurugenzi wa mamlaka walikuwa watatoa approvals on phone tu…. Hard copies will follow

JPM anqkujq kupewa info ndege ipo angani…. Inaingia Nairobi

Jamaa aka mind , akasema na heath cost ajilipie, na lisu alitembea na wengi
Kuna mabalozi walioenda kumuona pia waliliwa vichwa

Nadhan hata yule Dg Wa mamlka ya viwanja vya ndege alitumbuliwa …. Nimepoteza kumbukumbu na huu uzee wangu wa 36 years old

Mbowe ni wapi anaingia?

Kwa sababu the whole saga ilikuwa ni lazima lifanywe na government officers….
Sasa Mbowe aliokoaje maisha ya Lissu

awake wazi what did he do ?
Sababu ya hayati kumind kiasi hicho ilikuwa ni nini mkuu
 
Huo msaada ni Upi!

Natamanj a mention alitoa msaada gani kuokoa maisha ya Lissu

Wakati tukio linatokea Doodoma. Two siku mbili kabla nilienda kuonana na Mpoki alipaswa kusaini Doc zangu, ki muundoa wa wizara yeye alikuwa Boss wqngu

Hivyo the whole saga linatokea mimi nipo Dodoma na nilikuwa Hospital

Mbowe aseme alitoa msaada gani exactly ?
Tumuulize.. gentleman....mzee wetu Tlaatal
 
Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.


After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka

Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?

Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.

Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"

Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.

Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!

JPM akauliza why ? Job akamjibu

"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"

Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :

"bunge lisigharamie matibabu yake"

Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini unaenda wewe.

akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.

Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.

Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.

Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .

Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi yaani government officers ambao walikuwa kwenye position kubwa ya kusaidia na sio Mbowe that is hard truth ...

.. Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very much composed. Hata alivyotumbuliwa … hakuwahi ku comment anything . His mouth was always sealed🤐

kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.



Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
CanadaView attachment 3196708
Alichofanya huyo Dr kwani siyo wajibu wake!?
 
Bila kusahau mtu wa kwanza kabisa kumuokoa Lissu alikuwa ni dereva wake, aliyewahi kutilt kiti chake nyuma mara baada ya risasi kuanza kupigwa, bila hivyo pengine risasi zingeweza kumpata sehemu mbaya zaidi na hata huko Nairobi asingefika
 
Dr. Mpoki Ulisubisya ndiye anastahili kupewa maua yake katika suala la emergency service na kushauri Lissu apelekwe Nairobi. Key point ya kuokoa uhai wa Lissu iko hapa.

mbowe ni kama sisi tuliochangia vitu vingine tu. Asijiweke kimbelembele katika hili.
Nani ali organize ndege ya kumpeleka Lissu Nairobi? Nani aliandaa logistics zote za safari? Nani alitafuta hospital ya kumfikishia Lissu? Mapokezi ya kule Je? Sikubaliani na Mbowe kung'ang'ania madaraka, lakini pia sikubaliani na watu wanaotaka kuondoa UTU wa Mbowe alioufanya kwa Lissu.
 
Bila kusahau mtu wa kwanza kabisa kumuokoa Lissu alikuwa ni dereva wake, aliyewahi kutilt kiti chake nyuma mara baada ya risasi kuanza kupigwa, bila hivyo pengine risasi zingeweza kumpata sehemu mbaya zaidi na hata huko Nairobi asingefika
Sahihi kabisa . Asante
 
Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.


After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka

Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?

Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.

Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"

Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.

Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!

JPM akauliza why ? Job akamjibu

"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"

Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :

"bunge lisigharamie matibabu yake"

Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini unaenda wewe.

akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.

Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.

Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.

Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .

Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi yaani government officers ambao walikuwa kwenye position kubwa ya kusaidia na sio Mbowe that is hard truth ...

.. Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very much composed. Hata alivyotumbuliwa … hakuwahi ku comment anything . His mouth was always sealed🤐

kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.



Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
CanadaView attachment 3196708
Wanyakyusa Kwa Mara nyingine wameokoa taifa
 
Na huu mdundo lissu kaucheza kwa steps za haraka sana zikamchanganya mbowe na haamini.
Kwa kweli Mkuu

Na iwapo Chama akapewa Lissu, Kuna uwezekano tukaziona zile Siasa za Chadema za miaka ya 2007 hadi 2014

Ilikuwa ni Chadema Fulani hivi ya moto balaa, hadi Serikali walikuwa wanaogopa kufanya ufisadi wao hadharani sio kama saivi
 
Kwangu mimi niliyewahi kumuuguza mwanangu hadi anakaribia kufariki, mtu yeyote hata yule aliyenitia nguvu za kustahmili uchungu ule, namuona kama muokozi wa mwanangu.
Kinachoponya mgonjwa katika hali kama ile ni mengi. Kwa kesi ya Lisu Kuanzia yule aliyemtoa pale alipopigiwa risasi, aliyempokea theatre, aliyeshika mkono ili kuongeza damu, aliyetoa wazo la kupiga simu nairobi na logistics zote za kumpokea, rubani aliyeendesha ndege, nk wote walishiriki kuokoa maisha yake laikini yote - kwa msaada wa Mungu
 
Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.


After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka

Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?

Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.

Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"

Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.

Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!

JPM akauliza why ? Job akamjibu

"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"

Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :

"bunge lisigharamie matibabu yake"

Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini unaenda wewe.

akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.

Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.

Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.

Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .

Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi yaani government officers ambao walikuwa kwenye position kubwa ya kusaidia na sio Mbowe that is hard truth ...

.. Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very much composed. Hata alivyotumbuliwa … hakuwahi ku comment anything . His mouth was always sealed🤐

kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.



Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
CanadaView attachment 3196708
Lissu angekufa mngamlaumu Mbowe kwamba hakufanya kitu, sasa amepona mnamlaumu kwamba hakumsaidia Lissu.
 
Nani ali organize ndege ya kumpeleka Lissu Nairobi? Nani aliandaa logistics zote za safari? Nani alitafuta hospital ya kumfikishia Lissu? Mapokezi ya kule Je? Sikubaliani na Mbowe kung'ang'ania madaraka, lakini pia sikubaliani na watu wanaotaka kuondoa UTU wa Mbowe alioufanya kwa Lissu.
nadhani unahitqji kueleweshwa tu

Walio orchestrate logistics zote ni viongozi wa Serikali.

Kwa taarifa yako Mbowe hata hakujua utaratibu wa hizi logistics .

Kuna Mmbunge wa CCM jina limenitoka ndio alimpigia simu mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja kumpa info.

Huyu DG ndio aka orchestrate kila kitu hadi ndege ikapaa to Nairobi.

Daktari wa kusafiri na lisu akatoka pale pale hospital

Je aende Hosp gani… Mpoki alishatoa ushauri na Dr mmoja wa Nairobi akapigiwa yeye ndio akatoa taarifa Hosp kisha management’s za kumpokea Lisu zikaanza

Wadau wakaanza kutuma pesa pia

Kazi kubwa ya mbowe ilikuwa ni kujua tumefikia wapi and and so forth kama ilivyokuwa kwa viongozi wengine

Pia kuna viongozi wengi baadae wakaomba ushiriki wao usiwe mentioned kwenye matukio ya kuokoa maisha ya lisu

Halaf pia tumia akili ya kuzaliwa Bungeni kulikuwa na viongozi wakuuu wote , most of the signatories walikuwa wanapigiwa simu

Mbowe hawezi kumpogia simu DG ya fulan ili atekeleze jambo fulan. Viongozi wa serikali walikuwa wakipigiana simu wao kwa wao . Mbowe anapewa tu info…. Tumeshampigia mtu fulan anafanyia kazi … ndio ilikuwa hivo

Halaf pia tumia akili ya kuzaliwa…. Mbowe anawezaje kujua logistics za ndani ya serikali kila kitu afanye yeye?

Gvt officers kwa kushirikiana ndio walikuwa wana comment hapa kitafutwe hiki. Pale doc fulan inahitajika
Hapo apigiwe simu DG fulan , ndio ilikuwa ikifanyika hivo na hizo procedure wala Mbowe hakuwa kuzijua
Na most of the approvals zilikuwa zinatokq kwa phone tu

Shida ungekuwa mtumishi ungeeelewa
 
Back
Top Bottom