Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

Halafu leo mtu anasinama na kumuita Lissu Msaliti anatumiwa kuharibu chadema.
Crazy

Tanzania nzima tuliufyata , tukawa tunaangalia Mpambano wa lissu Maguful na Ben ; Ben chap akapotezwa

Ikabaki vita ya Lissu na JPM..,, wakati huo mbowe anakoholea uvunguni, yeriko anaandika matambiko tu .

JPM alikuwa anatisha kweli mamai I wonder Lissu alitoa wapi Ujasiri kipindi kile

….. maana JPM was real… ilikuwa akikwambia please acha, ukiendelea…. The next step ni anakutoboa kweli….

Sasa Lissu ndio akawa anamdindia mtu kama huyu . It is in those days tulipata keyboard warriors wengi sana …. Lissu was the only standing man 🧍‍♂️behind the consciousness of JPM .

Wakaanza na swaga za tuondoe Tinted kwenye gari zetu …..the rest was history
.
Niliwahi kusema na nitasema, mpinzani mmoja ndani ya hii nchi toka ipate uhuru ni Tundu Lissu.

The guy is smart and clever. Panapohitajika ukweli usemwe basi hakujiuliza mara mbili, unapopaswa kupambana na Lissu unapaswa uwe clean kama yeye alivyo clean na hapo ndipo atakapofeli Mbowe dhidi ya Lissu.
 
Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.

After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka

Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?

Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.

Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"

Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.

Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!

JPM akauliza why ? Job akamjibu

"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"

Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :

"bunge lisigharamie matibabu yake"

Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini unaenda wewe.

akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.

Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.

Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.

Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .

Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi yaani government officers ambao walikuwa kwenye position kubwa ya kusaidia na sio Mbowe that is hard truth ...

.. Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very much composed. Hata alivyotumbuliwa … hakuwahi ku comment anything . His mouth was always sealed[emoji850]

kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.



Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada

Nchi hii ina mengi sana ukishindwa kucheka ni wewe mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
IMG_4054.jpeg
 
Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.

Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.

After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka

Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?

Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.

Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"

Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.

Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!

JPM akauliza why ? Job akamjibu

"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"

Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :

"bunge lisigharamie matibabu yake"

Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini unaenda wewe.

akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.

Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.

Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.

Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .

Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi yaani government officers ambao walikuwa kwenye position kubwa ya kusaidia na sio Mbowe that is hard truth ...

.. Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very much composed. Hata alivyotumbuliwa … hakuwahi ku comment anything . His mouth was always sealed🤐

kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.



Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada


Mbona Lissu mwenyewe kaeleza aliyemwokoa hapa



View: https://youtu.be/8Qdtp31VH8I?t=2
 
Hakuna wema alioufanya. Kwa process zilivyoshughulikiwa that day ; hata Mbowe asingekuwepo Lissu angetibiwa Nairobi

It is that day nili realize damu ni nzito kuliko maji…. Bila ya kujali mambo ya vyama wabunge wote walitoa ushirikiano

Unaweza kuniambia alichofanya mbowe ni nini hasa? Kumbebea lile koti lake ?
Soma maelezo yako vizuri,wewe ndiye umesema kwamba 'hukatai kwamba Mbowe hakutoa mchango siku hiyo"...kwahiyo kama alitoa basi huo ni wema japo kidogo.

Okay,tufanye basi hakutoa msaada wowote kwa Lisu siku hiyo.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Halafu leo mtu anasinama na kumuita Lissu Msaliti anatumiwa kuharibu chadema.
Crazy

Tanzania nzima tuliufyata , tukawa tunaangalia Mpambano wa lissu Maguful na Ben ; Ben chap akapotezwa

Ikabaki vita ya Lissu na JPM..,, wakati huo mbowe anakoholea uvunguni, yeriko anaandika matambiko tu .

JPM alikuwa anatisha kweli mamai I wonder Lissu alitoa wapi Ujasiri kipindi kile

….. maana JPM was real… ilikuwa akikwambia please acha, ukiendelea…. The next step ni anakutoboa kweli….

Sasa Lissu ndio akawa anamdindia mtu kama huyu . It is in those days tulipata keyboard warriors wengi sana …. Lissu was the only standing man 🧍‍♂️behind the consciousness of JPM .

Wakaanza na swaga za tuondoe Tinted kwenye gari zetu …..the rest was history
.
Mkuu hii comment inatisha sana
 
Soma maelezo yako vizuri,wewe ndiye umesema kwamba 'hukatai kwamba Mbowe hakutoa mchango siku hiyo"...kwahiyo kama alitoa basi huo ni wema japo kidogo.

Okay,tufanye basi hakutoa msaada wowote kwa Lisu siku hiyo.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ubishi wako hauna tija( pia ni changamoto ya uelewa kwa watanzania
 
Back
Top Bottom