Kwani Katibu wa umoja/jumuiya ni lazima awe mwanaumoja/mwanajumuiya?Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Sio kweli Jokate mkubwa wa 1987.sasa ana miaka 36 ni mwanamke tayariKatibu mkuu wa UVCCM hachaguliwi bali anateuliwa na Kamati kuu
Ni ajira hivyo kigezo cha umri hakimuhusu
Hata Jokate ana miaka 26 Lakini ni Katibu wa UWT
Ila Hamas sina hamu 😂😂🔥
Kwamba hata John Malecela anaweza kuwa Katibu wa UVCCM , na kwamba atakaposoma risala ya umoja huo mbele ya Mh Samia ataanza na neno "sisi vijana tunaunga mkono uwekezaji wa bandari" ?Katibu mkuu wa UVCCM hachaguliwi bali anateuliwa na Kamati kuu
Ni ajira hivyo kigezo cha umri hakimuhusu
Hata Jokate ana miaka 26 Lakini ni Katibu wa UWT
Ila Hamas sina hamu 😂😂🔥
Hii Kalamu alivyoshika utadhani hata kuandika ni MgogoroNape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Yuko kama Wema Sepetu , wote ni under 18Joketi ana miaka 26[emoji28][emoji28]
Kijana wa zamani labdaNape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
😆😆😆
,[emoji28][emoji28]nakazia
Kadi ya BAKWATA tena![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu na Pambalu ni mulemule, huku ACT sisi tunatumia vigezo tofauti kidogo. Sifa ya mtu kuwa mwenyekiti wa vijana ni kuwa na kadi ya bakwata
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwamba hata John Malecela anaweza kuwa Katibu wa UVCCM , na kwamba atakaposoma risala ya umoja huo mbele ya Mh Samia ataanza na neno "sisi vijana tunaunga mkono uwekezaji wa bandari" ?
Huyo ni mzee sugu rika la napeNape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Kisera bado ni 30Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Mimi mwenyewe nilishangaa sana siku waliposema eti ni katibu wa UVCC.Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Mfano wako HAUNA MAANA KABISAAAKatibu mkuu wa UVCCM hachaguliwi bali anateuliwa na Kamati kuu
Ni ajira hivyo kigezo cha umri hakimuhusu
Hata Jokate ana miaka 26 Lakini ni Katibu wa UWT
Ila Hamas sina hamu [emoji23][emoji23][emoji91]
35 aiseeJokate ana miaka 26? Dah, aise kuna watu wamekatika mishipa ya aibu.
Jokate na Madam Wema Sepetu ni wa rika moja maana wote waligombea miss Tanzania 2006 huko na kipindi wanagombea maana yake walikuwa above 18.
Sasa piga tu hesabu rahisi kwamba 2006 alikuwa na miaka 18 hadi leo ama umri gani?
Jokate kazaliwa mwaka 1987. Ana miaka 36.Jokate ana miaka 26? Dah, aise kuna watu wamekatika mishipa ya aibu.
Jokate na Madam Wema Sepetu ni wa rika moja maana wote waligombea miss Tanzania 2006 huko na kipindi wanagombea maana yake walikuwa above 18.
Sasa piga tu hesabu rahisi kwamba 2006 alikuwa na miaka 18 hadi leo ama umri gani?
Kwa kifupi?Dah!Hivi huwa unajua kueleza jambo kwa kifupi kweli?Ngoja nisubiri.Nitakuja kukujibu kwa ufupi ngoja nimalize kuangalia mpira wa yanga.
Njoo Sasa utoe JIBUNitakuja kukujibu kwa ufupi ngoja nimalize kuangalia mpira wa yanga.
Katibu Mkuu wa UVCCM na makatibu wengine wa CCM ni waajiriwa(wanateuliwa). Sio viongozi wanaotokana na kuchaguliwa. Umri sio Kigezo cha kuzingatia kuteuliwa.Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?