binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Au chipukizi kabisa πBasi itapendeza zaidi wamteue mzee Wasira kuwa katibu mkuu wa UVCCM.
Jokate is 36.Jokate ana miaka 26? Dah, aise kuna watu wamekatika mishipa ya aibu.
Huyu na Pambalu ni mulemule, huku ACT sisi tunatumia vigezo tofauti kidogo. Sifa ya mtu kuwa mwenyekiti wa vijana ni kuwa na kadi ya bakwata
Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Nafasi ya Katibu wa UVCCM haihitaji kuwa lazima awe kijana. Kuna makatibu wa UVCCM wa wilaya na mikoa wana miaka hadi zaidi ya 55Nape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
Neno vijana linategemea linatoka kwa mtu wa umri gani, mfano wazazi wangu wapo above 80 na mimi naelekea miaka 40 hivyo kuniita kijana wao siyo mbaya japo umri wangu umepita kwenye rika la ujana...Ccm kila mtu ni kijana. Makamba, Nape, Mwigulu, Kigwangalla ambao wanautafuta miaka 60 wanaitwa vijana.
Huyo Fvck amezidi 35yrs tuwe wakweli jamani.Nafasi ya katibu wa UVCCM haingalii umri. Pia umri wa kuwa UVCCM uliongezwa hadi miaka 35.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ccm kila mtu ni kijana. Makamba, Nape, Mwigulu, Kigwangalla ambao wanautafuta miaka 60 wanaitwa vijana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwamba hata John Malecela anaweza kuwa Katibu wa UVCCM , na kwamba atakaposoma risala ya umoja huo mbele ya Mh Samia ataanza na neno "sisi vijana tunaunga mkono uwekezaji wa bandari" ?
Soma vizuri comment yanguHuyo Fvck amezidi 35yrs tuwe wakweli jamani.
Jamaa babu kabisa tuache masikhala.
Sio mwanamke ni shangazi na msimbeSio kweli Jokate mkubwa wa 1987.sasa ana miaka 36 ni mwanamke tayari
Nafasi ya katibu wa UVCCM haingalii umri. Pia umri wa kuwa UVCCM uliongezwa hadi miaka 35.
Bro kwenye siasa za Tanzania inatakiwa uwe tu na moyo wa uvumilivu.... ndani ya vyama vyote kuna ukakasi wa hapa na pale. Mimi kwa sasa sio mnazi wa idara yoyote ya vijana ya chama chochote.Huyu hakosi 55
Ujumbe umefika kwa mamlaka za juuNape Nnauye na Hamad Masauni waliwahi kuondolewa UVCCM kwa tuhuma za kufoji umri , kwamba kwa sheria zinazosimamia Umoja huo wa vijana wa ccm zinamtaka kiongozi wa Umoja huo kutozidisha umri wa miaka 30 .
Sasa hapa pichani ni Mh Faki , mnavyomuangalia hapa mtu huyu ni wa miaka 25 au 28 kweli ?
View attachment 2774543
Wanaoshindwa kujisimamia kwenye vijisheria vyao vidogo vidogo wataweza kusimamia Katiba ya Nchi ?
π€£ π€£ π€£Kama Comrade Mzee Kingunge alikuwa kamanda wa you vee sisi emu huyu itashindikana