Kwa hali hii Watanzania wengi watazidi kuwa Masikini aisee. Maana hata kufikiri naona kunapotea Dini fake na Manabii fake wanazidi kuwapoteza watuChawa kila mahali chamani, aerikalini na kwenye dini, inachosha
Wainue imani yao ila ni ngumu matatizo yote kubaki palepale,Vp ambao wameenda sana kwa Mwamposa na hadi sasa hawajakata tamaa ila matatizo yao yako palepale?
Ukweli ndio huo Yale ni Mafuta ya kawaida kabisa yaweza kuwa ni Korie au alizeti hivyo hivyo Yale maji ni maji ya kawaida kabisa,Juz kati nimeshuhudia mwenyew kwa macho yangu mdada mmoja hv alimpeleka mama yake alikuwa kapooza upande mmoja inasemekana kirogo mana wamepita hospitar karibu zote ikiwemo india na za hapa nchini baada ya kupelekwa kwa mwamposa ndio kwanza kazidiwa hiyi si story nimeshuhudia mwenye na huyu mama yupo mpaka sasa analia tu alafu nimesahau yale mafuta ya upako si mafuta ya korie yale? Mana ukiyanusa ni korie tu kuna mengine ni alizeti kabisa wala sidanganya nasema kweri tu na huyu mwamba angekuwa jpm mpaka leo angekuwa kashapoteza umaharufu
====
Ukweli ndio huo Yale ni Mafuta ya kawaida kabisa yaweza kuwa ni Korie au alizeti hivyo hivyo Yale maji ni maji ya kawaida kabisa,
Sasa Mwamposa kahubiri inji gani tofauti?Mkuu, usimuangalie mtumishi Mwamposya kama mtu binafsi, bali chunguza na angalia huduma yake kwa kina kama inashabihiana na ile waliyoihubiri mitume. Ni hilo tu.
WAGALATIA 1
7 Ukweli ni kwamba hakuna Injili nyingine, ila nafahamu kuwa wako watu wanaowavuruga, ambao wanataka kuipotosha Injili ya Kristo.
8 Lakini hata ikiwa ni sisi au ni malaika atokaye mbinguni, kama mtu akiwahubiria Injili ambayo ni tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo na alaaniwe.
9 Kama tulivyokwisha sema kabla, sasa nasema tena, kwamba mtu ye yote atakayewahubiria Injili tofauti na ile mliyokwishaipokea, basi mtu huyo na alaaniwe.
Mkuu, usimuangalie mtumishi Mwamposya kama mtu binafsi, bali chunguza na angalia huduma yake kwa kina kama inashabihiana na ile waliyoihubiri mitume. Ni hilo tu.
WAGALATIA 1
7 Ukweli ni kwamba hakuna Injili nyingine, ila nafahamu kuwa wako watu wanaowavuruga, ambao wanataka kuipotosha Injili ya Kristo.
8 Lakini hata ikiwa ni sisi au ni malaika atokaye mbinguni, kama mtu akiwahubiria Injili ambayo ni tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo na alaaniwe.
9 Kama tulivyokwisha sema kabla, sasa nasema tena, kwamba mtu ye yote atakayewahubiria Injili tofauti na ile mliyokwishaipokea, basi mtu huyo na alaaniwe.
Ndugu zangu wote walioenda kwa jamaa kupata uponyaji hawajasaidika.
Nimepoteza wengi kwa kudhani mwamposa angewaponya kwa maombezi
Juz kati nimeshuhudia mwenyew kwa macho yangu mdada mmoja hv alimpeleka mama yake alikuwa kapooza upande mmoja inasemekana kirogo mana wamepita hospitar karibu zote ikiwemo india na za hapa nchini baada ya kupelekwa kwa mwamposa ndio kwanza kazidiwa hiyi si story nimeshuhudia mwenye na huyu mama yupo mpaka sasa analia tu alafu nimesahau yale mafuta ya upako si mafuta ya korie yale? Mana ukiyanusa ni korie tu kuna mengine ni alizeti kabisa wala sidanganya nasema kweri tu na huyu mwamba angekuwa jpm mpaka leo angekuwa kashapoteza umaharufu
Juz kati nimeshuhudia mwenyew kwa macho yangu mdada mmoja hv alimpeleka mama yake alikuwa kapooza upande mmoja inasemekana kirogo mana wamepita hospitar karibu zote ikiwemo india na za hapa nchini baada ya kupelekwa kwa mwamposa ndio kwanza kazidiwa hiyi si story nimeshuhudia mwenye na huyu mama yupo mpaka sasa analia tu alafu nimesahau yale mafuta ya upako si mafuta ya korie yale? Mana ukiyanusa ni korie tu kuna mengine ni alizeti kabisa wala sidanganya nasema kweri tu na huyu mwamba angekuwa jpm mpaka leo angekuwa kashapoteza umaharufu
Vp ambao wameenda sana kwa Mwamposa na hadi sasa hawajakata tamaa ila matatizo yao yako palepale?
? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na Upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu
Umeme ni jambo dogo sana linawafaa Rais na Watu wake Mwamposa ni mambo ya rohoni sio haya ya mwiliniTatizo ni umeme
Sahihi kabisa, wasiojua ndio wanabwata bwata hapaNilikuwa siwez kuongea na wanawake ila baada ya kwenda kawe jinsi nnavyoji bless kwasasa mpaka mm mwenyewe najishangaa
Mwamposa ni mtume.
Watumishi wa Kiroho wako wa aina Mbili,Hebu fafanua hapo kwenye mwana wa Mungu...
Mungu amuinue zaidi mtu huyu wa MunguView attachment 2849652View attachment 2849653View attachment 2849654
View attachment 2849655
Habari Tanzania,
Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.
Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es Salaam Tanzania.
Apostle Bonface Mwamposa amekuwa na wafuasi wengi wanaoongezeka siku baada ya siku mwezi baada ya mwezi au mwaka kwa mwaka yaani ni mamilioni kwa mamilioni ya waamini toka nje na ndani ya bara la Africa,
Apostle Bonface Mwamposa, ibada zake zote hazina Misingi ya dini au dhehebu lolote ila " IMANI KWA YESU KRISTU NA MUNGU ALIYEMTUMA "
Apostle Bonface Mwamposa, anahudumia Watu wakristo kwa Watu Waisilamu au hata wale wote wasio na dini kabisa kama akina Yeriko Nyerere nao pia wakiamini wanapokea uponyaji wa mwili na roho pamoja na haja zao kutimilizwa na Mungu wa Boniface anayejibu kwa Moto,
Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwambia Mhe Dkt Willium Ruto kwamba "Nenda Utashinda Uchaguzi" na mishowe Ruto akashinda Urais,
Bila Mungu ilikuwa ni ngumu sana mtu kama Mhe Willium Samoi Ruto kuwashinda Mhe Raila Omolo Odinga na Kenyatta Uhuru ila Mungu wa Boniface akafanya jambo pale Kenya na dunia ikashangaa kilichotokea,
Apostle Bonface Mwamposa, Ndiye aliyemwombea pia Mhe Dkt Tulia Ackson na akashinda na kuwa Spika wa mabunge yote Duniani ( IPU ) hata Leo,
Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwombea kaka yetu Fiston Kalala Mayele na akawa mchezaji bora wa wakati wote Nje na ndani ya Tanzania nadhani sote tunakumbuka huyu kijana anayechezea timu Pyramids FC hivi Sasa,
Orodha ya waliosaidiwa na Mungu kupitia kwenye kinywa Cha Apostle Bonface Mwamposa ni wengi na hawahesabiki,
Wengine wanakwenda kwa Siri na hawataki mtu yeyote awaone maranyingi hawashuki kwenye magari yao but wanatendewa japo ni ujinga kujificha au kuficha Matendo Makuu ya Mungu wakati kwa waganga mnakwenda tena waziwazi.
Hoja yangu hapa ni , Je? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na Upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu ila sisi imani zetu zimekamatwa na shetani na hivyo tunashindwa kutofautisha kati ya kazi za Shetani na kazi za Mungu?
====
Kama hujawahi kwenda au kumsikiliza Apostle Bonface Mwamposa jipe muda wa kumfuatilia kabla hujamsema vibaya kwani ni kujitafutia laana toka kwa Mungu ALIYEMTUMA MWAMPOSA.
Mfuatilie: Azam channel No 469
Startimes channel No 117
You tube: Mwamposa Live
You tube : Arise & shine Tanzania
Instagram: Arise & shine Tanzania
Sasa mbona tunaona wengine hata ushuhuda wao tu unaonyesha hawakuwa na imani kubwa ni kama walienda tu kujaribu baada ya kushauriwa kwenda ila ndio unakuta wanatoa ushuhuda wa kufanikiwa?Wainue imani yao ila ni ngumu matatizo yote kubaki palepale,
Kwa Mungu ni imani, imani, imani
Sasa kama ishu ni inani yake kwa Mungu kwa nini watu wasiombe wenyewe majumbani hadi waende kwa Mwamposa? Hivi mtu ambaye sio mkristo haamini Mungu anayemuamini Mwamposa utamwambia ainue imani yake kvp ili aweze kufanikiwa shida zake kupitia hiyo miujiza ya Mwamposa?Ukweli ndio huo Yale ni Mafuta ya kawaida kabisa yaweza kuwa ni Korie au alizeti hivyo hivyo Yale maji ni maji ya kawaida kabisa,
ILA BAADA YA MTUME KUWASUKUMIZIA NGUVU YA MUNGU NDIO YANAITWA "MAFUTA YA UPAKO"
Kuhusu huyo Mama kwenda India na wapi mwambie ainue imani yake kwa Mungu ndie mponyaji na atapona lazima,
Muda wa Majibu yake bado haujafika Mungu lazima akutengeneze vizuri hasa maswala kama ya Utajiri na vyeo vikubwa lazima uwe-shaped,Sasa mbona tunaona wengine hata ushuhuda wao tu unaonyesha hawakuwa na imani kubwa ni kama walienda tu kujaribu baada ya kushauriwa kwenda ila ndio unakuta wanatoa ushuhuda wa kufanikiwa?
Kuna mtu namjua ni ana muda mrefu anaenda huko kwa Mwamposa na akieleza kumuelezea huyo Mwamposa unaona kabisa huyu kaiva ila ndio hivyo hadi leo hakuna alichofanikiwa.