Huyu Israel Mwenda amshindia nini Kibabage? Mi Yanga sasa yanchanganya

Huyu Israel Mwenda amshindia nini Kibabage? Mi Yanga sasa yanchanganya

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Mi sasa nshachanganyikiwa. Yaani si hatukona mchezaji mwingine mpaka enda chukua hii mibaki ya Simba? Aaah huyu alikuwa akikaa bench pale Singida. Kweli viongozi wangu mwatuletea mtu mwenye jina la Israel kwel kwenye team yetu? Aaah huyu acheza mpira na Simba walimwacha?
Screenshot_2024-12-11-09-51-15-270_com.instagram.android~2.jpg
 
Mi sasa nshachanganyikiwa. Yaani si hatukona mchezaji mwingine mpaka enda chukua hii mibaki ya Simba? Aaah huyu alikuwa akikaa bench pale Singida. Kweli viongozi wangu mwatuletea mtu mwenye jina la Israel kwel kwenye team yetu? Aaah huyu acheza mpira na Simba walimwacha?
View attachment 3174170
Yanga ndiyo imefikia hatua hii kweli, mambo yanaenda yakibadilika sana.
 
Mi sasa nshachanganyikiwa. Yaani si hatukona mchezaji mwingine mpaka enda chukua hii mibaki ya Simba? Aaah huyu alikuwa akikaa bench pale Singida. Kweli viongozi wangu mwatuletea mtu mwenye jina la Israel kwel kwenye team yetu? Aaah huyu acheza mpira na Simba walimwacha?
View attachment 3174170
Hii kurjuan kabisa, Yanga kweli ya kwenda kuchukua makinikia ya Singida !!!
 
Unajua naanza kuamini zile kauli za baadhi ya watu kuwa Hersi alikuwa na mamluki ndani ya Simba kwenye idara ya scouting.

Hao mamluki walikuwa wakimpenyezea Hersi taarifa mapema za wachezaji ambao Simba ilikuwa inawawinda.

Hersi naskia alikuwa anachukua ndege fasta na kuwafata hao wachezaji then Simba walikuwa wakistuka tu kuona mchezaji ambaye walikuwa kwenye mipango ya kumchukua ametambulishwa na Yanga.

Mfano Azizi Ki, huyo Yao naye alikuwa kwenye mipango ya Simba, Pacome pia nk.

Baada ya ujio wa MO hiyo scouting ikavunjwa na wachezaji wote waliohitajika taarifa zilikuwa zinamfikia direct MO.

Kwa hiyo kukawa hakuna loop holes tena kwa Hersi kupata info za wachezaji. So kuanzia hapo ni juhudi zake mwenyewe.

Na ndio maana ni kama amekuwa hana umakini kwenye kusajili wachezaji kwasababu waliokuwa wanamsaidia kupata wachezaji wazuri hawapo.

Hersi anaishia kuchukua rejected players ambao wote tunajua mwisho wao ni kuvunjiwa mikataba kiholela na mfuatano wa kesi za CAS kuhusu ukiukwaji wa masharti kwenye kuvunja mikataba

Hersi anampa wakati mgumu mwanasheria wa Club kwa hizi sajili anazozifanya saizi. Nasema ni Hersi kwasababu wote tunafahamu kuwa huu usajili haujafanywa na kocha.
 
Unajua naanza kuamini zile kauli za baadhi ya watu kuwa Hersi alikuwa na mamluki ndani ya Simba kwenye idara ya scouting.

Hao mamluki walikuwa wakimpenyezea Hersi taarifa mapema za wachezaji ambao Simba ilikuwa inawawinda.

Hersi naskia alikuwa anachukua ndege fasta na kuwafata hao wachezaji then Simba walikuwa wakistuka tu kuona mchezaji ambaye walikuwa kwenye mipango ya kumchukua ametambulishwa na Yanga.

Mfano Azizi Ki, huyo Yao naye alikuwa kwenye mipango ya Simba, Pacome pia nk.

Baada ya ujio wa MO hiyo scouting ikavunjwa na wachezaji wote waliohitajika taarifa zilikuwa zinamfikia direct MO.

Kwa hiyo kukawa hakuna loop holes tena kwa Hersi kupata info za wachezaji. So kuanzia hapo ni juhudi zake mwenyewe.

Na ndio maana ni kama amekuwa hana umakini kwenye kusajili wachezaji kwasababu waliokuwa wanamsaidia kupata wachezaji wazuri hawapo.

Hersi anaishia kuchukua rejected players ambao wote tunajua mwisho wao ni kuvunjiwa mikataba kiholela na mfuatano wa kesi za CAS kuhusu ukiukwaji wa masharti kwenye kuvunja mikataba

Hersi anampa wakati mgumu mwanasheria wa Club kwa hizi sajili anazozifanya saizi. Nasema ni Hersi kwasababu wote tunafahamu kuwa huu usajili haujafanywa na kocha.
Aujafanywa na kocha umeufanya wewe? Uyo mwenda ni mchezaji mzuri akucheza singida kutokana na sintofahamu ya malipo yake ya usajili kutokamilishwa ivyo yanga wamemchukua baada ya makubaliano kati ya mchezaji, singida wenyewe na yanga, kwa maana iyo sio kwamba alikosa namba pale singida bali ni masuala yake ya kimkataba na singida yalikuwa ayajakaa sawa,,kwaiyo unaposema injinia alikuwa anafata wachezaji wa Simba waliotajwa mbona akumfata mutale? Mbona akumfata ahou? Mbona akumfata charabou? Hao wachezaji wenu mbona viwango vyao ni vibovu tu injinia akuwaona? Muwe na akiba ya maneno msiwe mnatembelea upepo unakoelekea!
 
Mi sasa nshachanganyikiwa. Yaani si hatukona mchezaji mwingine mpaka enda chukua hii mibaki ya Simba? Aaah huyu alikuwa akikaa bench pale Singida. Kweli viongozi wangu mwatuletea mtu mwenye jina la Israel kwel kwenye team yetu? Aaah huyu acheza mpira na Simba walimwacha?
View attachment 3174170
Huyu dogo alikuwa anacheza vizuri hata Singida, pili Boka mzuri ila pancha ni nyingi,vip Kibabage nae akiumia au akiwa red card? Halafu anakuja kwa Mkopo sizani kama wamekosea.
 
Aujafanywa na kocha umeufanya wewe? Uyo mwenda ni mchezaji mzuri akucheza singida kutokana na sintofahamu ya malipo yake ya usajili kutokamilishwa ivyo yanga wamemchukua baada ya makubaliano kati ya mchezaji, singida wenyewe na yanga, kwa maana iyo sio kwamba alikosa namba pale singida bali ni masuala yake ya kimkataba na singida yalikuwa ayajakaa sawa,,kwaiyo unaposema injinia alikuwa anafata wachezaji wa Simba waliotajwa mbona akumfata mutale? Mbona akumfata ahou? Mbona akumfata charabou? Hao wachezaji wenu mbona viwango vyao ni vibovu tu injinia akuwaona? Muwe na akiba ya maneno msiwe mnatembelea upepo unakoelekea!
Kumbe hii ni sajili iliyofanywa na kocha basi sawa sawa.
 
Kumbe hii ni sajili iliyofanywa na kocha basi sawa sawa.
Kocha kafatilia video zake alipokuwa kmc,,akaja Simba, akaenda singida na pale Simba sio kwamba aliondoka kwa kukosa namba hapana,,aliondoka baada ya msuguano kati yake na kapombe walikuwa awaelewani wakituhumiana mambo ya ushirikina akaona apishe yeye,,ivyo sio mchezaji mbaya utamhukumu akianza kucheza sio sasa!
 
Aujafanywa na kocha umeufanya wewe? Uyo mwenda ni mchezaji mzuri akucheza singida kutokana na sintofahamu ya malipo yake ya usajili kutokamilishwa ivyo yanga wamemchukua baada ya makubaliano kati ya mchezaji, singida wenyewe na yanga, kwa maana iyo sio kwamba alikosa namba pale singida bali ni masuala yake ya kimkataba na singida yalikuwa ayajakaa sawa,,kwaiyo unaposema injinia alikuwa anafata wachezaji wa Simba waliotajwa mbona akumfata mutale? Mbona akumfata ahou? Mbona akumfata charabou? Hao wachezaji wenu mbona viwango vyao ni vibovu tu injinia akuwaona? Muwe na akiba ya maneno msiwe mnatembelea upepo unakoelekea!
Hapo kwenye red asipokuelewa kazi ni kwake
 
Kocha kafatilia video zake alipokuwa kmc,,akaja Simba, akaenda singida na pale Simba sio kwamba aliondoka kwa kukosa namba hapana,,aliondoka baada ya msuguano kati yake na kapombe walikuwa awaelewani wakituhumiana mambo ya ushirikina akaona apishe yeye,,ivyo sio mchezaji mbaya utamhukumu akianza kucheza sio sasa!
Kuna video zipo zikimuonesha Sawadogo akifanya turning kwa visigino

Hofu yangu tu huko mbeleni msije kumkataa wakati mmepuuzia dalili.
 
Unajua naanza kuamini zile kauli za baadhi ya watu kuwa Hersi alikuwa na mamluki ndani ya Simba kwenye idara ya scouting.

Hao mamluki walikuwa wakimpenyezea Hersi taarifa mapema za wachezaji ambao Simba ilikuwa inawawinda.

Hersi naskia alikuwa anachukua ndege fasta na kuwafata hao wachezaji then Simba walikuwa wakistuka tu kuona mchezaji ambaye walikuwa kwenye mipango ya kumchukua ametambulishwa na Yanga.

Mfano Azizi Ki, huyo Yao naye alikuwa kwenye mipango ya Simba, Pacome pia nk.

Baada ya ujio wa MO hiyo scouting ikavunjwa na wachezaji wote waliohitajika taarifa zilikuwa zinamfikia direct MO.

Kwa hiyo kukawa hakuna loop holes tena kwa Hersi kupata info za wachezaji. So kuanzia hapo ni juhudi zake mwenyewe.

Na ndio maana ni kama amekuwa hana umakini kwenye kusajili wachezaji kwasababu waliokuwa wanamsaidia kupata wachezaji wazuri hawapo.

Hersi anaishia kuchukua rejected players ambao wote tunajua mwisho wao ni kuvunjiwa mikataba kiholela na mfuatano wa kesi za CAS kuhusu ukiukwaji wa masharti kwenye kuvunja mikataba

Hersi anampa wakati mgumu mwanasheria wa Club kwa hizi sajili anazozifanya saizi. Nasema ni Hersi kwasababu wote tunafahamu kuwa huu usajili haujafanywa na kocha.
Ndio mwisho wako wa kufikiria umeishia hapo? Taarifa za usajili wa Simba zimevuja mitandaoni hata baada ya huyo Mo kurudi kwenye nafasi yake. Kule kwenye mtandao wa X kuna mtu anaitwa Felix Jason amekuwa na taarifa au tetesi za usajili zenye uhakika zaidi ya asilimia 95. Huku jamii forum kuna mtu anaitwa Hichilema, amekuwa ni mnyetishaji mzuri sana pia kwenye habari za usajili na tetesi zake zote za timu za Simba zimeenda sawa. Acha uongo mzee
 
Back
Top Bottom