Huyu Israel Mwenda amshindia nini Kibabage? Mi Yanga sasa yanchanganya

Simba ukisikia tetesi saizi ni kwamba tayari ashatia hela na mchezaji kasajiliwa au Simba wamekutana na rival mwenye nguvu kubwa ya pesa.
 
Kwa mujibu wa Redio mbao antena Juu ya Minazi
 
Kila mtu mmoja atapagawa wakati wake ukifika kama huyu kolo Scars
 
Kuna video zipo zikimuonesha Sawadogo akifanya turning kwa visigino

Hofu yangu tu huko mbeleni msije kumkataa wakati mmepuuzia dalili.
Halafu tokea lini nyie mkaiombea mazuri Yanga?Yaani ww uwe na hofu na usajili wa Yanga? Hata tukimkataa wa kwetu,kwani nyie wangapi mliwasifia humu kelele nyingi baadae mkawakataa.

Halafu mchezaji mwenyewe kasajiliwa kwa mkopo,pili mzawa habani nafasi ya kusajili mchezaji wa nje .
 
Kuna video zipo zikimuonesha Sawadogo akifanya turning kwa visigino

Hofu yangu tu huko mbeleni msije kumkataa wakati mmepuuzia dalili.
Kwani mwenda ni raia wa wapi bro? Mwenda sio sawadogo ambae tulikuwa atumjui Wala atujawai kumuona,,mwenda ni mtanzania Kila mpenda soka anamjua uwezo wake na tushamuona mara kibao,,kwaiyo sio video zake tu bali tumemuona ni tofauti na sawadogo🤣🤣
 
Kwani Simba mmesajili mcheza gani wa maana ukiachana na dada Debora??
 
Mimi Yanga siwezi kuiombea mazuri hilo najua lakini haimannishi kuwa inapokosea siwezi kusema

Pengine nasema ili niwaone watu ambao mnaonekana kukubaliana na huu usajili ili huko mbeleni nianze kuhesabu wanafki.
 
Simba ukisikia tetesi saizi ni kwamba tayari ashatia hela na mchezaji kasajiliwa au Simba wamekutana na rival mwenye nguvu kubwa ya pesa.
Tetesi za Mpanzu zilianzia kabla hata hajaenda kwenye majaribio ulaya, unataka kusema kuwa Mpanzu alienda kufanya majaribio kama mchezaji wa Simba? Chutama mzee kwa kuongopea watu.
 
Kwani hizo rejected ambazo mmezisajili mlikuwa hamzijui au kuziona?
 
Tetesi za Mpanzu zilianzia kabla hata hajaenda kwenye majaribio ulaya, unataka kusema kuwa Mpanzu alienda kufanya majaribio kama mchezaji wa Simba? Chutama mzee kwa kuongopea watu.
Tatizo unasoma bila kuelewa

Nimekuambia Simba ikikutana na rivals wenye uchumi mkubwa ndio utaona hizo tetesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…