Nomadix
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 2,411
- 6,646
Habari zenu wakuu poleni kwa majukumu
Kipindi nipo young ikifika mda mshaoga mnakalishwa chini TV inawashwa, CD inatupiwa ndani ya deck tena zile ZEC og, shwaah inaimeza.
Hamjakaa sawa haha mara paah anatokea huyu mwamba
Unaskia
"Saidia kukuza ubora wa filamu Tanzania saidia kuinua wasanii wa filamu Tanzania. Hakikisha unanunua nakala halisi zenye nembo ya Steps entertainment yenye kumeremeta.
Steps entertainment watatoa zawadi nono kwa yeyote atakaefanikisha kupatikana kwa mahali penye mitambo ama maharamia wa filamu hizo.
Kwa wale wote wenye vibanda na library hakikisheni hamkodishi wala kuonesha filamu pasipokua na idhini ya wamiliki wa filamu husika..
Paah paah paah
Haki zote zimehifadhiwa”
(Kwa bass) Steps entertainment one step closer everyday
...
Hahaha ulikuwa wapi enzi hizo, nilikuwa primary (mi ni Gen Z)
Huyu mzee ni nani na saivi yuko wapi alikuwa akifurahisha sana haha
Kipindi nipo young ikifika mda mshaoga mnakalishwa chini TV inawashwa, CD inatupiwa ndani ya deck tena zile ZEC og, shwaah inaimeza.
Hamjakaa sawa haha mara paah anatokea huyu mwamba
Unaskia
"Saidia kukuza ubora wa filamu Tanzania saidia kuinua wasanii wa filamu Tanzania. Hakikisha unanunua nakala halisi zenye nembo ya Steps entertainment yenye kumeremeta.
Steps entertainment watatoa zawadi nono kwa yeyote atakaefanikisha kupatikana kwa mahali penye mitambo ama maharamia wa filamu hizo.
Kwa wale wote wenye vibanda na library hakikisheni hamkodishi wala kuonesha filamu pasipokua na idhini ya wamiliki wa filamu husika..
Paah paah paah
Haki zote zimehifadhiwa”
(Kwa bass) Steps entertainment one step closer everyday
...
Hahaha ulikuwa wapi enzi hizo, nilikuwa primary (mi ni Gen Z)
Huyu mzee ni nani na saivi yuko wapi alikuwa akifurahisha sana haha