Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Justus MkingaHabari zenu wakuu poleni kwa majukumu
Kipindi nipo young ikifika mda mshaoga mnakalishwa chini TV inawashwa, CD inatupiwa ndani ya deck tena zile ZEC og, shwaah inaimeza.
Hamjakaa sawa haha mara paah anatokea huyu mwamba
View attachment 3211614
Unaskia
"Saidia kukuza ubora wa filamu Tanzania saidia kuinua wasanii wa filamu Tanzania. Hakikisha unanunua nakala halisi zenye nembo ya Steps entertainment yenye kumeremeta.
Steps entertainment watatoa zawadi nono kwa yeyote atakaefanikisha kupatikana kwa mahali penye mitambo ama maharamia wa filamu hizo.
Kwa wale wote wenye vibanda na library hakikisheni hamkodishi wala kuonesha filamu pasipokua na idhini ya wamiliki wa filamu husika..
Paah paah paah
Haki zote zimehifadhiwa”
(Kwa bass) Steps entertainment one step closer everyday
...
Hahaha ulikuwa wapi enzi hizo, nilikuwa primary (mi ni Gen Z)
Huyu mzee ni nani na saivi yuko wapi alikuwa akifurahisha sana haha
CEO wa Copyright Society Of Tanzania. Yaani COSOTA.Afisa aliyekuwa anashughulikia hakimiliki pale BASATA.
hahaha kumbe jamaa mtu wa gambe sana plus gambling mkuu shukrani inaonekana alikuwa swahiba wako huyuJuatus Mkinga
Alikuwa CEO wa COSOTA. Mpuuzi sana huyo.maana alishindwa kuweka tija katika kusimamia hakimiliki za wasanii nchini.
Mlevi sana na alimalizia pesa zake nyingi kwenye kamari pale New Africa
Hahahahahahaha kumbe jamaa mtu wa gambe sana plus gambling mkuu shukrani inaonekana alikuwa swahiba wako huyu
Huyo ni mpumbavu sana[emoji3] wanasema alikua mpuuzi ila huwa nikimtazama clip yake nacheka sana
Asante, nipo kwangu miepole mkuu mda umefika
au vyote kwa pamoja 🤣😂Nimelia sana 😂😂😂 , Aiseeee. HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA.
Mbona ni majuzi tu!??! ... Kizazi cha 2000 hiki.Habari zenu wakuu poleni kwa majukumu
Kipindi nipo young ikifika mda mshaoga mnakalishwa chini TV inawashwa, CD inatupiwa ndani ya deck tena zile ZEC og, shwaah inaimeza.
Hamjakaa sawa haha mara paah anatokea huyu mwamba
View attachment 3211614
Unaskia
"Saidia kukuza ubora wa filamu Tanzania saidia kuinua wasanii wa filamu Tanzania. Hakikisha unanunua nakala halisi zenye nembo ya Steps entertainment yenye kumeremeta.
Steps entertainment watatoa zawadi nono kwa yeyote atakaefanikisha kupatikana kwa mahali penye mitambo ama maharamia wa filamu hizo.
Kwa wale wote wenye vibanda na library hakikisheni hamkodishi wala kuonesha filamu pasipokua na idhini ya wamiliki wa filamu husika..
Paah paah paah
Haki zote zimehifadhiwa”
(Kwa bass) Steps entertainment one step closer everyday
...
Hahaha ulikuwa wapi enzi hizo, nilikuwa primary (mi ni Gen Z)
Huyu mzee ni nani na saivi yuko wapi alikuwa akifurahisha sana haha
Niki request chumba kwenye dark web, uta nipangishia 😂Asante, nipo kwangu mie
Haahaha we hadhi yako ni mansionNiki request chumba kwenye dark web, uta nipangishia 😂
aisee jobless pro max na mansion wapi na wapi 😂 🤣Haahaha we hadhi yako ni mansion