Huyu jamaa alikuwa ni nani? Alikuwa akifurahisha sana

Huyu jamaa alikuwa ni nani? Alikuwa akifurahisha sana

Habari zenu wakuu poleni kwa majukumu
Kipindi nipo young ikifika mda mshaoga mnakalishwa chini TV inawashwa, CD inatupiwa ndani ya deck tena zile ZEC og, shwaah inaimeza.

Hamjakaa sawa haha mara paah anatokea huyu mwamba
View attachment 3211614
Unaskia
"Saidia kukuza ubora wa filamu Tanzania saidia kuinua wasanii wa filamu Tanzania. Hakikisha unanunua nakala halisi zenye nembo ya Steps entertainment yenye kumeremeta.

Steps entertainment watatoa zawadi nono kwa yeyote atakaefanikisha kupatikana kwa mahali penye mitambo ama maharamia wa filamu hizo.

Kwa wale wote wenye vibanda na library hakikisheni hamkodishi wala kuonesha filamu pasipokua na idhini ya wamiliki wa filamu husika..

Paah paah paah
Haki zote zimehifadhiwa”
(Kwa bass) Steps entertainment one step closer everyday
...
Hahaha ulikuwa wapi enzi hizo, nilikuwa primary (mi ni Gen Z)

Huyu mzee ni nani na saivi yuko wapi alikuwa akifurahisha sana haha
Justus Mkinga
Alikuwa CEO wa COSOTA. Mpuuzi sana huyo.maana alishindwa kuweka tija katika kusimamia hakimiliki za wasanii nchini.

Mlevi sana na alimalizia pesa zake nyingi kwenye kamari pale New Africa. Alikuja kutumbuliwa na Kikwete na sasa nafasi yake imechukuliwa na mwanamama Doreen ambaye anatibu majeraha aliyoyaacha huyo muhuni
 
Juatus Mkinga
Alikuwa CEO wa COSOTA. Mpuuzi sana huyo.maana alishindwa kuweka tija katika kusimamia hakimiliki za wasanii nchini.

Mlevi sana na alimalizia pesa zake nyingi kwenye kamari pale New Africa
hahaha kumbe jamaa mtu wa gambe sana plus gambling mkuu shukrani inaonekana alikuwa swahiba wako huyu
 
Habari zenu wakuu poleni kwa majukumu
Kipindi nipo young ikifika mda mshaoga mnakalishwa chini TV inawashwa, CD inatupiwa ndani ya deck tena zile ZEC og, shwaah inaimeza.

Hamjakaa sawa haha mara paah anatokea huyu mwamba
View attachment 3211614
Unaskia
"Saidia kukuza ubora wa filamu Tanzania saidia kuinua wasanii wa filamu Tanzania. Hakikisha unanunua nakala halisi zenye nembo ya Steps entertainment yenye kumeremeta.

Steps entertainment watatoa zawadi nono kwa yeyote atakaefanikisha kupatikana kwa mahali penye mitambo ama maharamia wa filamu hizo.

Kwa wale wote wenye vibanda na library hakikisheni hamkodishi wala kuonesha filamu pasipokua na idhini ya wamiliki wa filamu husika..

Paah paah paah
Haki zote zimehifadhiwa”
(Kwa bass) Steps entertainment one step closer everyday
...
Hahaha ulikuwa wapi enzi hizo, nilikuwa primary (mi ni Gen Z)

Huyu mzee ni nani na saivi yuko wapi alikuwa akifurahisha sana haha
Mbona ni majuzi tu!??! ... Kizazi cha 2000 hiki.
 
Back
Top Bottom