Huyu jamaa anahitaji ushauri wa haraka ili kuokoa uhai wake

Huyu jamaa anahitaji ushauri wa haraka ili kuokoa uhai wake

Wewe ni mgeni hapa mjini, wewe unaamini anakunywa pombe kali na siyo maji?

Fanya home work yako nunuwa double kiki tobowa chini mwaga pombe jaza maji rudishia tundu ziba kwa super glue.

Hujiulizi kwa nini anatumia vichupa vya plastic na siyo konyagi?
Wewe ndio ufanye homework, huyo jamaa anabugia hadi valuer sijui sasa utasema anaweka chai
IMG_5497.jpeg
 
Jamaa anaonekana ni kama ana tatizo la kisaikolojia.

Amekuwa akijirekodi na kujirusha katika mitandao ya kijamii akinywa pombe kali mbalimbali. Style yake akiweka chupa mdomoni hatoi mpaka ahakikishe kinywaji kimeisha.

Mnaomfahamu, huyu kijana anahitaji msaadana ushauri wa haraka la sivyo uhai wake upo mashakani.

Lakini hata vyombo vya dola vimzuie ikiwemo kumkamata. Huyu mtu anahatarisha uhai wake kisa kutafuta follwers mitandaoni.View attachment 3256147View attachment 3256148View attachment 3256150
Yanga😀
 
Kuna kitu nilitaka kusema, ila nikakumbuka nipo kwenye mfungo, nikawaza nikasema si vyema kumtakia mtu mapumziko ya milele, nilitaka kusema "wapumbavu kama hawa wakienda taifa linapata afadhali" ila nikakumbuka nipo kwenye mfungo
sasa nini ambacho haujasema hapo mkuu?
 
Wewe ni mgeni hapa mjini, wewe unaamini anakunywa pombe kali na siyo maji?

Fanya home work yako nunuwa double kiki tobowa chini mwaga pombe jaza maji rudishia tundu ziba kwa super glue.

Hujiulizi kwa nini anatumia vichupa vya plastic na siyo konyagi?
Ni kweli usemacho kinawezekana kabisa ni maji, lakini bado anahitaji msaada maana kwa nini ufanye hivi mtu mwenye akili zako timamu?
 
Jamaa anaonekana ni kama ana tatizo la kisaikolojia.

Amekuwa akijirekodi na kujirusha katika mitandao ya kijamii akinywa pombe kali mbalimbali. Style yake akiweka chupa mdomoni hatoi mpaka ahakikishe kinywaji kimeisha.

Mnaomfahamu, huyu kijana anahitaji msaadana ushauri wa haraka la sivyo uhai wake upo mashakani.

Lakini hata vyombo vya dola vimzuie ikiwemo kumkamata. Huyu mtu anahatarisha uhai wake kisa kutafuta follwers mitandaoni.View attachment 3256147View attachment 3256148View attachment 3256150
Hatarii..
 
Kuna kitu nilitaka kusema, ila nikakumbuka nipo kwenye mfungo, nikawaza nikasema si vyema kumtakia mtu mapumziko ya milele, nilitaka kusema "wapumbavu kama hawa wakienda taifa linapata afadhali" ila nikakumbuka nipo kwenye mfungo
Ooh, ndiyo umefikisha ujumbe kwa namna ya tisa.
Tumekusoma.
 
Kiki za mjini....

Hao wako wengi....haswa huku mabanda umiza.....
 
Wewe ni mgeni hapa mjini, wewe unaamini anakunywa pombe kali na siyo maji?

Fanya home work yako nunuwa double kiki tobowa chini mwaga pombe jaza maji rudishia tundu ziba kwa super glue.

Hujiulizi kwa nini anatumia vichupa vya plastic na siyo konyagi?
Hakika mkuu wangu !
 
Back
Top Bottom