Friji la mtumba
Senior Member
- Apr 7, 2024
- 119
- 154
Anafanya mpaka chupa ya valuerMaji hayo ujinga uo tunafanya sana sikia mwambie afubgue konyagia au kvant afanye ivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafanya mpaka chupa ya valuerMaji hayo ujinga uo tunafanya sana sikia mwambie afubgue konyagia au kvant afanye ivo
Asante sana,Ungekuwa hujafunga nilitaka kusema umeshasema! Nakutakia Ramadhani njema mkuu ambaye hujasema.
Bora umenisaidia mkuu, wengi wamekomenti bila kujua jamaa anabugia kila aina ya pombeAnafanya mpaka chupa ya valuer
Wewe ndio ufanye homework, huyo jamaa anabugia hadi valuer sijui sasa utasema anaweka chaiWewe ni mgeni hapa mjini, wewe unaamini anakunywa pombe kali na siyo maji?
Fanya home work yako nunuwa double kiki tobowa chini mwaga pombe jaza maji rudishia tundu ziba kwa super glue.
Hujiulizi kwa nini anatumia vichupa vya plastic na siyo konyagi?
Yanga😀Jamaa anaonekana ni kama ana tatizo la kisaikolojia.
Amekuwa akijirekodi na kujirusha katika mitandao ya kijamii akinywa pombe kali mbalimbali. Style yake akiweka chupa mdomoni hatoi mpaka ahakikishe kinywaji kimeisha.
Mnaomfahamu, huyu kijana anahitaji msaadana ushauri wa haraka la sivyo uhai wake upo mashakani.
Lakini hata vyombo vya dola vimzuie ikiwemo kumkamata. Huyu mtu anahatarisha uhai wake kisa kutafuta follwers mitandaoni.View attachment 3256147View attachment 3256148View attachment 3256150
Chupa ni Double Kiki lakini content ni Maji😀😀Bora umenisaidia mkuu, wengi wamekomenti bila kujua jamaa anabugia kila aina ya pombe
sasa nini ambacho haujasema hapo mkuu?Kuna kitu nilitaka kusema, ila nikakumbuka nipo kwenye mfungo, nikawaza nikasema si vyema kumtakia mtu mapumziko ya milele, nilitaka kusema "wapumbavu kama hawa wakienda taifa linapata afadhali" ila nikakumbuka nipo kwenye mfungo
Ni kweli usemacho kinawezekana kabisa ni maji, lakini bado anahitaji msaada maana kwa nini ufanye hivi mtu mwenye akili zako timamu?Wewe ni mgeni hapa mjini, wewe unaamini anakunywa pombe kali na siyo maji?
Fanya home work yako nunuwa double kiki tobowa chini mwaga pombe jaza maji rudishia tundu ziba kwa super glue.
Hujiulizi kwa nini anatumia vichupa vya plastic na siyo konyagi?
...hakuna ukweli hapo?Lakini mbona kama
Sikukusudia kusema, hivyo itabaki kuwa sijasema, sio tamko rasmisasa nini ambacho haujasema hapo mkuu?
hahahahaha!Sikukusudia kusema, hivyo itabaki kuwa sijasema, sio tamko rasmi
me naona bottles ni mpya...hakuna ukweli hapo?
Hatarii..Jamaa anaonekana ni kama ana tatizo la kisaikolojia.
Amekuwa akijirekodi na kujirusha katika mitandao ya kijamii akinywa pombe kali mbalimbali. Style yake akiweka chupa mdomoni hatoi mpaka ahakikishe kinywaji kimeisha.
Mnaomfahamu, huyu kijana anahitaji msaadana ushauri wa haraka la sivyo uhai wake upo mashakani.
Lakini hata vyombo vya dola vimzuie ikiwemo kumkamata. Huyu mtu anahatarisha uhai wake kisa kutafuta follwers mitandaoni.View attachment 3256147View attachment 3256148View attachment 3256150
Ooh, ndiyo umefikisha ujumbe kwa namna ya tisa.Kuna kitu nilitaka kusema, ila nikakumbuka nipo kwenye mfungo, nikawaza nikasema si vyema kumtakia mtu mapumziko ya milele, nilitaka kusema "wapumbavu kama hawa wakienda taifa linapata afadhali" ila nikakumbuka nipo kwenye mfungo
Jamaa limeamua kumwaibisha ngara23!Angevaa bac hata jezi ya Namungo .mpuuzi huo anachafua jezi ya taifa
Hakika mkuu wangu !Wewe ni mgeni hapa mjini, wewe unaamini anakunywa pombe kali na siyo maji?
Fanya home work yako nunuwa double kiki tobowa chini mwaga pombe jaza maji rudishia tundu ziba kwa super glue.
Hujiulizi kwa nini anatumia vichupa vya plastic na siyo konyagi?
Duhh basi ana wamasai maana kuna majini ya kimasai hupenda pombe sana anamywesha kitiAnafanya mpaka chupa ya valuer