Huyu jamaa anaitwa Kuringe kaingia mjini

Huyu jamaa anaitwa Kuringe kaingia mjini

Labda hata huo mkataba wa miaka kumi maftah alirubuniwa bila kujua madhara yake, hivyo hao wapangaji wajitafakari pia, mkataba wa miaka kumi ni unyonyaji kama unyonyaji mwingine
None of that matter!! Ilitakiwa amalizane nao kwanza kabla ya kuuza ardhi yake, au wakubaliane anawahamisha kwa mmiliki mwingine.
 
Shida ipo kwa Kuringe kwasababu huwez kuja kuvunja bila amri ya mahakama though siwez fanya judgment cz principle inanitaka kusikiliza pande zote mbili lkn kweny context hio Kuringe anahitajika acompensate madhara aliosababisha pamoja na kias cha pesa ambacho hao wafanyabiashara wangeingiza kama biashara yao ingekua wazi pamoja na hela ya usumbufu.

Mkuu, soma vizuri uelewe mahakana imeingiaje hapo?
 
Kuna jamaa anaitwa Kuringe, kaingia mjini Dar es Salaam na shoka.
Na ana kata kulia na kushoto akiwanunua watu na viwanja vyao kama hana akili nzuri.

Ukienda wilaya ya Kinondon i utamkuta yupo tele kila mahali.
Mitaa ya Goig Mbezi Beach kanunua mtaa mzima.

Kama utafika Mbezi NSSF road ile RED Hall ni yake.
Ile Kuringe Sports Bar kulekea Baraza la Mitihani haya tena, na hivyo ni baadhi tu ya vitega uchumi na viwanja alivyonunua Kinondoni.

Jina halisi la Kuringe nasikia ni somebody Edward Mushi, kijana mdogo ambaye zimemtembelea.

Nimeona hii clip mahali, nikaona nimpe ushauri wa bure.

Namshauri tu, bwana Kuringe , aste aste brother, taratibu jiji hili la Chalamila, wengi wametajirikia hapa, ila wengi pia wamefilisikia hapa DSM.
Kula na kipofu, gusa mkono wa mwanasiasa wa Kinondoni, ndo utalijua Jiji.

======
Mwekezaji Joanna Chifunda aeleza kuhusu uvamizi wa eneo lake la biashara liliopo Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam. Inadaiwa kwamba fremu saba katika plot namba 27 zilivunjwa na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kwamba amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.

Joanna Chifunda anaeleza kwa kirefu zaidi alipofanya mahojiano na Waandishi wa habari siku ya Jumamosi, Oktoba 12, 2024 mbele ya fremu hizo zilizovunjwa.

Abdulmajid Zakaria Maftah ambaye amejitambulisha kama ni mmojawapo wa watoto saba wa mzee Zakaria Maftah akieleza kuhusu uvamizi na mgogoro wa ardhi katika eneo liliopo kwenye plot namba 27, Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam.
Inadaiwa kwamba fremu saba katika eneo hilo zilivunjwa usiku wa kuamkia Oktoba 12, 2024 na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kuwa amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.
Huyo kanunua mpaka Makaburi pale Moshi na kujenga kumbi za starehe, achana nae huyo
 
Tatizo lenu wabongo huwa mnapagawa na kiki za viongozi wakiwa wanamulikwa na camera ilhali chanzo cha matatizo hakitafutiwi suluhisho la kudumu. Huyo jery slaa ni msanii km walivyo wanasiasa wengine.

Ni SAWA Mambo ya familia, yanaweza kuwepo ila pia huo mkataba na huyo mpangaji nao ni ukakasi zaidi , how mkataba for ten years!! Hapana Kuna shida, ila maendeleo ya miji yetu yanawahitaji akina Kuringe wengi zaidi
Wewe unasema miaka 10, pale Mlimani city unajua pamepangishwa kwa miaka mingapi?
 
Ninachokiona huyu maftah alitapeliwa, huwezi mpangisha MTU nae apangishe MTU mwingine bila maridhiano, huyu Dada nae anaisemea kampangisha MTU mwingine, hata NHC hii haikubaliki, Maftah katapeliwa
Hilo ni jambo la kawaida sana UDSM imempangisha mtu aliyeijenga Mlimani city naye kawapangisha watu zile frame na kumbi.
Kwasasa ghorofa nyingi za NHC zilizoko mtaa wa msimbazi NHC Wanawapanisha wawekezaji. Wawekezaji wanayabomoa hayo maghorofa na kujenga mapya yaliyokaa kibiashara zaidi kuliko Makazi. Kisha hao wawekezaji wanayapangisha kwa wafanyabiashara.
 
Kuna mdau kwetu21 hapo juu kagusia.jambo la.muhimu.sana.la.kujenhwa.fremu nyingi kuliko wateja.katika jiji la.dsm.

Mfano Mbezi beach kuanzia Rainbow mpaka kona ya kilongawima kwa mwamunyange kuna utitiri wa fremu za biashara. Nadhani hizi fremu zingine ni pesa chafu zinasafishwa kwa mtindo wa kujenga fremu japo waturuki nao.wameibuka.sana kukodi viwanja na kujenga fremu halafu rent.inakuwa.dola 700 per.month.

Wazee wa.mipango miji.sijui wamelala.wapi.usingizi niaibu.sana mji kutokuwa na maeneo maalum yaani residential, openspace kama lile eneo baa ya.didiz ilipowekwa haya.mambo yameibuka.magufuli amefafiki
 
Back
Top Bottom