None of that matter!! Ilitakiwa amalizane nao kwanza kabla ya kuuza ardhi yake, au wakubaliane anawahamisha kwa mmiliki mwingine.Labda hata huo mkataba wa miaka kumi maftah alirubuniwa bila kujua madhara yake, hivyo hao wapangaji wajitafakari pia, mkataba wa miaka kumi ni unyonyaji kama unyonyaji mwingine
Shida ipo kwa Kuringe kwasababu huwez kuja kuvunja bila amri ya mahakama though siwez fanya judgment cz principle inanitaka kusikiliza pande zote mbili lkn kweny context hio Kuringe anahitajika acompensate madhara aliosababisha pamoja na kias cha pesa ambacho hao wafanyabiashara wangeingiza kama biashara yao ingekua wazi pamoja na hela ya usumbufu.
Mimi sijasoma bali nimesikiliza hio video na mdada kasema kesi ipo mahakamaniMkuu, soma vizuri uelewe mahakana imeingiaje hapo?
Kuringe Mongi... ama ?Kuringe mbele kwa mbele
Huyo kanunua mpaka Makaburi pale Moshi na kujenga kumbi za starehe, achana nae huyoKuna jamaa anaitwa Kuringe, kaingia mjini Dar es Salaam na shoka.
Na ana kata kulia na kushoto akiwanunua watu na viwanja vyao kama hana akili nzuri.
Ukienda wilaya ya Kinondon i utamkuta yupo tele kila mahali.
Mitaa ya Goig Mbezi Beach kanunua mtaa mzima.
Kama utafika Mbezi NSSF road ile RED Hall ni yake.
Ile Kuringe Sports Bar kulekea Baraza la Mitihani haya tena, na hivyo ni baadhi tu ya vitega uchumi na viwanja alivyonunua Kinondoni.
Jina halisi la Kuringe nasikia ni somebody Edward Mushi, kijana mdogo ambaye zimemtembelea.
Nimeona hii clip mahali, nikaona nimpe ushauri wa bure.
Namshauri tu, bwana Kuringe , aste aste brother, taratibu jiji hili la Chalamila, wengi wametajirikia hapa, ila wengi pia wamefilisikia hapa DSM.
Kula na kipofu, gusa mkono wa mwanasiasa wa Kinondoni, ndo utalijua Jiji.
======
Mwekezaji Joanna Chifunda aeleza kuhusu uvamizi wa eneo lake la biashara liliopo Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam. Inadaiwa kwamba fremu saba katika plot namba 27 zilivunjwa na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kwamba amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.
Joanna Chifunda anaeleza kwa kirefu zaidi alipofanya mahojiano na Waandishi wa habari siku ya Jumamosi, Oktoba 12, 2024 mbele ya fremu hizo zilizovunjwa.
Abdulmajid Zakaria Maftah ambaye amejitambulisha kama ni mmojawapo wa watoto saba wa mzee Zakaria Maftah akieleza kuhusu uvamizi na mgogoro wa ardhi katika eneo liliopo kwenye plot namba 27, Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam.
Inadaiwa kwamba fremu saba katika eneo hilo zilivunjwa usiku wa kuamkia Oktoba 12, 2024 na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kuwa amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.
Sijui walifikiria nini kumtoa jerry slaa kwenye hii wizara, kipindi cha jerry upuuzi kama huu usingekuwepo ni uvamizi huu kama uvamizi mwingine
Papaa Msofe, moto umezima. Hata Kuringe naye ni suala la muda tu. Muzamilu naye hasikiki, labda kazeekaTatizo lipo katika kupeleka mabaunsa usiku wa manane, Papaa Msofe style.
Unajua kaingia lini kwenye real estate?πππPapaa Msofe, moto umezima. Hata Kuringe naye ni suala la muda tu. Muzamilu naye hasikiki, labda kazeeka
Wanamjulia mtandaoniHuyo kanunua mpaka Makaburi pale Moshi na kujenga kumbi za starehe, achana nae huyo
Unajua kaingia lini kwenye real estate?πππ
Tatizo lenu wabongo huwa mnapagawa na kiki za viongozi wakiwa wanamulikwa na camera ilhali chanzo cha matatizo hakitafutiwi suluhisho la kudumu. Huyo jery slaa ni msanii km walivyo wanasiasa wengine.
Wewe unasema miaka 10, pale Mlimani city unajua pamepangishwa kwa miaka mingapi?Ni SAWA Mambo ya familia, yanaweza kuwepo ila pia huo mkataba na huyo mpangaji nao ni ukakasi zaidi , how mkataba for ten years!! Hapana Kuna shida, ila maendeleo ya miji yetu yanawahitaji akina Kuringe wengi zaidi
Bora usanii wake ulisaidia kuliko hao wanaojifingia maofisiniTatizo lenu wabongo huwa mnapagawa na kiki za viongozi wakiwa wanamulikwa na camera ilhali chanzo cha matatizo hakitafutiwi suluhisho la kudumu. Huyo jery slaa ni msanii km walivyo wanasiasa wengine.
Papa Msofe chalii?!!Walikuwepo kina Alex Massawe , Papaa Msoffe ambao hata viongozi fulani na polisi waliwaweka mfukoni.
Sasa hata kupigwa picha hawataki
Hilo ni jambo la kawaida sana UDSM imempangisha mtu aliyeijenga Mlimani city naye kawapangisha watu zile frame na kumbi.Ninachokiona huyu maftah alitapeliwa, huwezi mpangisha MTU nae apangishe MTU mwingine bila maridhiano, huyu Dada nae anaisemea kampangisha MTU mwingine, hata NHC hii haikubaliki, Maftah katapeliwa
Mama wa kambo wa hao watotoNone of that matter!! Ilitakiwa amalizane nao kwanza kabla ya kuuza ardhi yake, au wakubaliane anawahamisha kwa mmiliki mwingine.