Huyu jamaa anaitwa Kuringe kaingia mjini

Kuringe ni Bilionea wa Kibosho mwenye fedha za manyoka!! Ana utajiri ambao hauna tija. Believe me
 
Sema anajiwekea mazingira mabovu siku hizi watu hawapendi kuonewa
 
Nakuamini asilimia 100 huyo jamaa nilishawahi kumfanyia kazi moja. Pesa alizonilipa hata nilichofanyia sijui mpaka leo
Ananunua biashara au nyumba za watu, wakati wa kulipa hata kama ni Tsh 500 Millioni anakuletea kwenye maboksi.

Wengi aliowanunua hawafaidiki na fedha hizo, yaani wanarudi nyuma kiuchumi au wanakufa kiuhai. Ninayo mifano
 
Uchumi wetu unategemea uchuuzi
Huoni mpaka lugalo pale kuna frame

Ova
 
Ukisikiliza vizuri ni kwamba maftah alikuwa na mke ambae alifariki ambae ndo alikuwa mama wa wale watoto wakubwa...Maftah amezeeka sana..mke mdogo alimshawishi wakauza plot yenye jina la mkewe marehemu na wakamuuzia kuringe na fedha kuringe aliweka kwenye akaunti ya huyo bi mdogo ambae ni mama wa Kambo wa vijana... Wale vijana wakaja juu na kwenda mahakaman kupinga mama wa Kambo kwanini kauza kiwanja Cha marehemu mama Yao...basi kwa pembeni ndo kuna huyo mwekezaji aliejenga kwa mkataba wa miaka kumi na ambae kiwanja kile alichojenga mwekezaji ndo kina jina la maftah, ndo Mzee maftah akaamua kumpa kuringe mbadala... MAANA wale vijana wataishinda tu kesi...
Na huyu mwekezaji pia atashinda tu...kupanga na kujenga Kisha baada ya miaka kumi uwekezaji unarudi kwa mwenye plot Wala sio hatari..hata NHC Kuna sehemu waliwapatia matajiri wakajenga magorofa kwa mkataba wa miaka 30 halafu nyumba inarudi kwa mwenye plot...aliejenga anakuwa amerudisha gharama zake halafu anaendelea kuwa mpangaji
Ninachokiona huyu maftah alitapeliwa, huwezi mpangisha MTU nae apangishe MTU mwingine bila maridhiano, huyu Dada nae anaisemea kampangisha MTU mwingine, hata NHC hii haikubaliki, Maftah katapeliwa
 
Familia ipo upande wa mwekezaji
 
Sure unanajua story vizuri. Maftah ni mzee kweli yule mke wake mdogo ni mshenzi kweli

Hiyo sehemu mwanzoni kuna mtu alinunua hakukamilisha pesa akarudishiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…