Huyu Jamaa naye ana jambo gani kuhusu CHADEMA, tumpuuze au tumsikilize?

Huyu Jamaa naye ana jambo gani kuhusu CHADEMA, tumpuuze au tumsikilize?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tangazo lake hili hapa

Screenshot_2025-01-11-19-29-39-1.png


Toa Maoni yako
 
Haki ya kujieleza ni haki ya kikatiba na kiutu.

Usikatae press conference, kataa neno litakalosemwa kwenye press conference.
Mwenyekiti "ameamua" kuiondoa hiyo haki, alikuwa ananukuu vifungu vya katiba ya chama chao wakati analaumu maamuzi ya Makamu Mwenyekiti wake kuitisha press conference
 
Demokrasia inatupa uhuru wa kufanya tunavyotaka, ikiwemo na kutoa maoni yetu kuhusu masuala mbalimbali yanayoihusu jamii. Kama wewe unavyotaka tutoe maoni yetu sasa hivi hapa jukwaani, na yeye ana uhuru wa kutoa maoni yake kwenye press conference.
(Wewe ulikacha maandamano)
Hapo kwenye,abano Sasa, hahahahahaaaaaaaaaa!!!!!!
 
Back
Top Bottom