Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tangazo lake hili hapa
Toa Maoni yako
Toa Maoni yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki ya kujieleza ni haki ya kikatiba na kiutu.Lakini Mwenyekiti ameshasema huwezi tu kuibuka na kuitisha press conference, anaongea kama nani kwenye chama ? Inabidi hii tabia ikomeshwe🐼
Kama MwanachamaLakini Mwenyekiti ameshasema huwezi tu kuibuka na kuitisha press conference, anaongea kama nani kwenye chama ? Inabidi hii tabia ikomeshwe🐼
HakikaHaki ya kujieleza ni haki ya kikatiba na kiutu.
Usikatae press conference, kataa neno litakalosemwa kwenye press conference.
Lakini Mwenyekiti ameshasema huwezi tu kuibuka na kuitisha press conference, anaongea kama nani kwenye chama ? Inabidi hii tabia ikomeshwe🐼
Kwahiyo tumsikilize au tumwache?Kijana wa mwenyekiti huyu,press yake ni kumpaka mafuta mbowe
Asipewe sikioKwahiyo tumsikilize au tumwache?
Wakati wa Kampeni za Uchaguzi huwa hivi.tumsikilize.Kumbe hadi wanachama wanaruhusiwa kuwa na press conference! Safi
Wajumbe umewaambia?Mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3199080
Wana fahamu, tuna enda na SimbaWajumbe umewaambia?
Safi sanaWana fahamu, tuna enda na Simba
Wakimalizana kutafunana viongozi watageukia wanachama na wafuasi wao kutafunwa!
Demokrasia inatupa uhuru wa kufanya tunavyotaka, ikiwemo na kutoa maoni yetu kuhusu masuala mbalimbali yanayoihusu jamii. Kama wewe unavyotaka tutoe maoni yetu sasa hivi hapa jukwaani, na yeye ana uhuru wa kutoa maoni yake kwenye press conference.Toa Maoni yako
Mwenyekiti "ameamua" kuiondoa hiyo haki, alikuwa ananukuu vifungu vya katiba ya chama chao wakati analaumu maamuzi ya Makamu Mwenyekiti wake kuitisha press conferenceHaki ya kujieleza ni haki ya kikatiba na kiutu.
Usikatae press conference, kataa neno litakalosemwa kwenye press conference.
Hapo kwenye,abano Sasa, hahahahahaaaaaaaaaa!!!!!!Demokrasia inatupa uhuru wa kufanya tunavyotaka, ikiwemo na kutoa maoni yetu kuhusu masuala mbalimbali yanayoihusu jamii. Kama wewe unavyotaka tutoe maoni yetu sasa hivi hapa jukwaani, na yeye ana uhuru wa kutoa maoni yake kwenye press conference.
(Wewe ulikacha maandamano)