Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shamra Shamra kwani hii ni Kitchen Party ? No wonder haya yanaendelea kutokea....Uchaguzi wa chadema umekuwa na shamra shamra kuliko uchaguzi mkuu 2025.
Kwanini uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti wa CCM hauna sham shamra kama wa chadema???
CCM wanajifunza nini?
Hali hii,ikiendelea,Kuna mbinu mpya vijana watampitisha mgombea mzuri ndani ya chadema kwenda kugombea urais na ccm itaambulia manyoa
Kama Mchagga wa SACCOSLakini Mwenyekiti ameshasema huwezi tu kuibuka na kuitisha press conference, anaongea kama nani kwenye chama ? Inabidi hii tabia ikomeshwe🐼
UMETUMWA?
Jamaa anafikiri nembo ya CDM ni mali yake na mkewe.Anatumia haki kama mwananchi aliye mwanachama wa CHADEMA.
Kwani nembo inakatazwa kutumiwa na wanachama?
Wote Mwajiriwa na Mwanachama wote wanatakiwa kufuata kanuni na taratibu za taasisi waliyomo. Kuwa mwanachama hakukupi haki yakuitisha press conference chini ya taasisi yako na kuzungumzia mambo ya taasisi na sasa hivi yupo live anazungumzia mambo ya taasisi (uchaguzi).Kwanza kabisa kuwa mwanachama wa chama cha siasa si sawa na kuwa muajiriwa wa kampuni.
Malisa kaandika kabisa "Mwanachama" kwa hivyo chochite atakachosema kashaweka wazi kuwa yeye anasema kama mwanachama wa CHADEMA, si kiongozi.
Sasa tuangalie facts.
1. Malisa ni mwanachama wa CHADEMA au si mwanachama?
2. Mwanachama wa CHADEMA anaruhusiwa au haruhusiwi kutumia haki yake ya kikatiba na kibinadamu kujieleza katika Press Conference?
3. Mwanachama wa CHADEMA anaruhusiwa au haruhusiwi kutumia nembo ya CHADEMA?
Tatizo huelewi uhuru ni nini wala demokrasia ni nini.Wote Mwajiriwa na Mwanachama wote wanatakiwa kufuata kanuni na taratibu za taasisi waliyomo. Kuwa mwanachama hakukupi haki yakuitisha press conference chini ya taasisi yako na kuzungumzia mambo ya taasisi na sasa hivi yupo live anazungumzia mambo ya taasisi (uchaguzi).
Kama mwenyekiti wake ameonyesha kutoridhishwa na utaratibu wa Makamu Mwenyekiti wake kuzungumza na vyombo vya habari na kusema amekiuka taratibu za chama kwamba kuna watu wanaotakiwa kuzungumzia mambo ya chama, je Malissa hajakiuka huo utaratibu ?
Mwanachama kama binadamu ana haki ya kujielezea kama yeye lakini si kwa kutumia jina na nafasi aliyonayo katika chama kwa maana inaweza kuchanganya umma kwa kudhani kauli yake ndio msimamo wa chama. Kuna haki lakini kuna wajibu pia kama mwanachama anaotakia kuutimiza.
Ntobi alikuwa na haki ya kutoa maoni yake kuhusu Lissu kupitia mtandao wake lakini alikiuka taratibu na kanuni za chama na kuwajibika.
Bado Lema ana press conference nayo inakuja, picha tunayoipata ni kuwa sasa kila mmoja anaweza kuzungumzia chama na hakuna utaratibu maalumu unaoeleweka kwa umma kupata taarifa sahihi
View attachment 3199696
Tumsikilize maoni yake. Kuhusu uchaguzi Tumsikilize katiba mkuu wa chama Cha Demokrasia na maendeleo.Kwahiyo tumsikilize au tumwache?