MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Malisa ni swahiba wa Yericko. Mimi siwezi tabiri ataongea nini ila sitashangaa akiongea uharo kama wa Yericko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namkumbusha mkuu Erythrocyte kuwa alikacha maandamano, pamoja na kwamba alikuwa anapiga taralila sana hapa jukwaani.Hapo kwenye,abano Sasa, hahahahahaaaaaaaaaa!!!!!!
Hiyo haki ni ya kikatiba na kiutu iko level ya katiba ya Tanzania na International Declaration of Human Rights ya UN.Mwenyekiti "ameamua" kuiondoa hiyo haki, alikuwa ananukuu vifungu vya katiba ya chama chao wakati analaumu maamuzi ya Makamu Mwenyekiti wake kuitisha press conference
Apewe haki yake ya kusikilizwa
ila asiongee uharo wa kina Yericko. Atakuwa amejidhalilisha sana.Apewe haki yake ya kusikilizwa
Yeriko kajimaliza kwa ujinga wake mwenyewe.. Kuna kitu Malisa atakuwa kajifunzaila asiongee uharo wa kina Yericko. Atakuwa amejidhalilisha sana.
Salamu za mwaka mpya kwa Watanzania toka kwa Lissu zilimkera sana Sultan Mbowe hadi sukari ikashuka.Mwenyekiti dikteta hataki kuachia madaraka na hataki watu watoe maoni yao.
Wewe huoni hata steve nyerere huwa anaitisha press za kuisemea ccmKumbe hadi wanachama wanaruhusiwa kuwa na press conference! Safi
Mzee Duni: Chadema ni ukoo wa KambaleKumbe hadi wanachama wanaruhusiwa kuwa na press conference! Safi
Huyu hawezi kufanya ule ujinga alioufanya TAL wa kuchukua fomu ya kugombea Uwenyekiti wa chama Taifa!
Kama anatumia hiyo haki kwa mujibu wa katiba ya nchi basi hatakiwi kuweka nembo ya CHADEMA kwenye hilo tangazo lake, aitishe press conference binafsi. Nafikiri hiyo ndio ilikuwa hoja ya Mwenyekiti.Hiyo haki ni ya kikatiba na kiutu iko level ya katiba ya Tanzania na International Declaration of Human Rights ya UN.
Si level ya CHADEMA na Mbowe hiyo.
Una kichwa kigumu sana.Hiyo haki ni ya kikatiba na kiutu iko level ya katiba ya Tanzania na International Declaration of Human Rights ya UN.
Si level ya CHADEMA na Mbowe hiyo.
Anatumia haki kama mwananchi aliye mwanachama wa CHADEMA.Kama anatumia hiyo haki kwa mujibu wa katiba ya nchi basi hatakiwi kuweka nembo ya CHADEMA kwenye hilo tangazo lake, aitishe press conference binafsi. Nafikiri hiyo ndio ilikuwa hoja ya Mwenyekiti.
Yeye mwanachama, kwani mwanachama haruhusiwi kutumia logo ya chama?Una kichwa kigumu sana.
Logo ya Chadema hapo kaweka ya nini?
DJ NI MAFIA. ATAKACHOWAFANYIA KWENYE SANDUKU LA KURA HAMTAAMINI. KASONGO MBONA WEOO HASHINDWI KUJINASUA KATIKATI YA MAADUI MABWEGE WA MITANDAONI. MTALOWANA SIKU HIYOWana fahamu, tuna enda na Simba