Huyu Jamaa naye ana jambo gani kuhusu CHADEMA, tumpuuze au tumsikilize?

Huyu Jamaa naye ana jambo gani kuhusu CHADEMA, tumpuuze au tumsikilize?

Demokrasia inatupa uhuru wa kufanya tunavyotaka, ikiwemo na kutoa maoni yetu kuhusu masuala mbalimbali yanayoihusu jamii. Kama wewe unavyotaka tutoe maoni yetu sasa hivi hapa jukwaani, na yeye ana uhuru wa kutoa maoni yake kwenye press conference.
(Wewe ulikacha maandamano)
Hayo maandamano labda wafanye mbowe na machawa wake.
Mbowe kapoteza ushawishi kwa kiwango kikubwa mno.
Tulimuunga mkono kwa muda mrefu kumbe mwenzetu anakula na watesi wetu.
Tumeshasema sasa basi!
 
Raila kaaongoza chama chake zaidi ya miaka 30 na bado yupo na Wanachama wake wako Ok, acha ujinga

Raila ndo standard ya uongozi? Naona mifano yako yote ni Kenya tu tembelea na nchi zingine ufungue huo mtindi ubongo wako, dunia sio Kenya tu.

Kama mnataka Mbowe awe kiongozi wa maisha hakuna tatizo ila msilalamike maccm nayo yakianza huo uhuni. Mkae kwa kutulia.
 
Usijali huyo ni chawa mwenzako wa mbowe
 
Back
Top Bottom