Mlayjr
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 525
- 307
Chawa kindakindakiHuyu sidhani kama anaweza thubutu kwenda kinyume na mbowe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa kindakindakiHuyu sidhani kama anaweza thubutu kwenda kinyume na mbowe!!
Raila kaaongoza chama chake zaidi ya miaka 30 na bado yupo na Wanachama wake wako Ok, acha ujingaMwenyekiti dikteta hataki kuachia madaraka na hataki watu watoe maoni yao.
MmhhhMwenyekiti "ameamua" kuiondoa hiyo haki, alikuwa ananukuu vifungu vya katiba ya chama chao wakati analaumu maamuzi ya Makamu Mwenyekiti wake kuitisha press conference
Kwahiyo ukimuunga mtu mkono tayari we ni chawa?Chawa kindakindaki
aongee tu ila asikandie viongozi, yericko naye atataka kufanya pressMalisa ni swahiba wa Yericko. Mimi siwezi tabiri ataongea nini ila sitashangaa akiongea uharo kama wa Yericko.
Tuwe wapole tumsikilize.
Hii ni nyumba ya Kambale siku hizi? Kila mtu ana sharubu! Bado wafanyakazi wa Makao Makuu Mikocheni!
Acha atoe maoni yake.
Press zimekuwa nyingi kweri kweriMzee Duni: Chadema ni ukoo wa Kambale
Hayo maandamano labda wafanye mbowe na machawa wake.Demokrasia inatupa uhuru wa kufanya tunavyotaka, ikiwemo na kutoa maoni yetu kuhusu masuala mbalimbali yanayoihusu jamii. Kama wewe unavyotaka tutoe maoni yetu sasa hivi hapa jukwaani, na yeye ana uhuru wa kutoa maoni yake kwenye press conference.
(Wewe ulikacha maandamano)
kumbe huwa hana ndoa? huyu MalisaPengine anataka kufunga ndoa na sio habari za chama...tusubiri kwanza.
Ila Steve anajulikana tayari n mlamba viatu vya maboss kwahy kwenye hizo press zake hakuna jipyaWewe huoni hata steve nyerere huwa anaitisha press za kuisemea ccm
Nimetoa mfano tu ndugu,pengine ana jambo lake jingine kabisa tofauti na siasa.kumbe huwa hana ndoa? huyu Malisa
Huyu jamaa inaelekea yuko karibu sana na viongozi wa chademaIla Steve anajulikana tayari n mlamba viatu vya maboss kwahy kwenye hizo press zake hakuna jipya
Hivi wew kyusa upo upande gani? Lisu au mbowe( mtoa mada)
Raila kaaongoza chama chake zaidi ya miaka 30 na bado yupo na Wanachama wake wako Ok, acha ujinga
Niko ChademaHivi wew kyusa upo upande gani? Lisu au mbowe( mtoa mada)
Anajitoa chadema