Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Hivi kwa tafsiri maana ya Chawa ni Ipi hasa?Usijali huyo ni chawa mwenzako wa mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwa tafsiri maana ya Chawa ni Ipi hasa?Usijali huyo ni chawa mwenzako wa mbowe
migambo wana ruka na kukanyagana sio 🐒
Kwa kauli ya Mwenyekiti inaonekana kwa taratibu zao huwezi kuitisha press conference kwa kutumia jina la chama kiholela ...ni kama niwe muajiriwa wa Tanesco au TCRA kama injinia halafu niitishe press conference kama muajiriwa na niweke nembo ya Taasisi husika, je nitakuwa sawa ?Anatumia haki kama mwananchi aliye mwanachama wa CHADEMA.
Kwani nembo inakatazwa kutumiwa na wanachama?
Demokrasia ya chadema inapaa inavunja anga za mbaliKumbe hadi wanachama wanaruhusiwa kuwa na press conference! Safi
😀😀😀Mbogamboga fc matumbo makubwa moto
Mkuu sasa unapoitisha Conference kama Mwanachama unatakiwa uitisheKwa kauli ya Mwenyekiti inaonekana kwa taratibu zao huwezi kuitisha press conference kwa kutumia jina la chama kiholela ...ni kama niwe muajiriwa wa Tanesco au TCRA kama injinia halafu niitishe press conference kama muajiriwa na niweke nembo ya Taasisi husika, je nitakuwa sawa ?
Machawa wa mbowe haoHuyu sidhani kama anaweza thubutu kwenda kinyume na mbowe!!
Kwani amesema press conference ni kwa ajili ya chama?
Chadema ni mpango wa mungu 🙏Demokrasia ya chadema inapaa inavunja anga za mbali
Hakika, Mungu sio munguChadema ni mpango wa mungu 🙏
Huyu si ndiye G Sam
Hawezi na haitatokea huyo ni best ya mtoto wa mbowe james..Huyu sidhani kama anaweza thubutu kwenda kinyume na mbowe!!
Kama wewe ulivyoHivi kwa tafsiri maana ya Chawa ni Ipi hasa?
Kwanza kabisa kuwa mwanachama wa chama cha siasa si sawa na kuwa muajiriwa wa kampuni.Kwa kauli ya Mwenyekiti inaonekana kwa taratibu zao huwezi kuitisha press conference kwa kutumia jina la chama kiholela ...ni kama niwe muajiriwa wa Tanesco au TCRA kama injinia halafu niitishe press conference kama muajiriwa na niweke nembo ya Taasisi husika, je nitakuwa sawa ?
Kwahiyo ukiwa Tajiri ndio unakuwa Chawa? basi sawaKama wewe ulivyo
Tajiri hutajwa hajitaji.Kwahiyo ukiwa Tajiri ndio unakuwa Chawa? basi sawa
Asante kwa kujua lengo langu 😂Hakika, Mungu sio mungu