Huyu jamaa ni nani anayeuza sura karibu kila video lazima atokee

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
Huyu jamaa ni nani anayeuza sura karibu kila video lazima atokee???

Nakumbuka tangu miaka ya mwanzoni ya 2000s huwa anatokea karibu nyimbo zote zilizohit kwa wakati huo na sikuwahi kujiuliza ni nani ila nilifanya mazoea tu kumuona kila hit track enzi hizo

Me namfananisha na Harmorapa nikijua naye huwa anatafuta kiki tuπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚

Sasa hata miaka hii katika nyimbo ya chege nayo katokea





Wanaomjua watuambie huyu jamaa ni nani hasa?
 
Kama umeanza kufuatilia Bongo fleva baada ya Domo huwezi kumjua, ila kwa sisi Wahenga tunamfahamu kama PRODUCER DUNGA
Binafsi huwa namkubali sana, hasa alipomalizia mwisho mwisho pale kwenye video ya Matonya - Anitha
Mkuu me nimenza kufuatilia long sana tangu enzi za KU CREW ila kutomjua mtu ambaye haimbi sio kosa
 
Kama umeanza kufuatilia Bongo fleva baada ya Domo huwezi kumjua, ila kwa sisi Wahenga tunamfahamu kama PRODUCER DUNGA
Binafsi huwa namkubali sana, hasa alipomalizia mwisho mwisho pale kwenye video ya Matonya - Anitha
Kwahiyo na sisi ambao sio wasanii bali ni wasikilizaji tu tunapaswa kuwajua producers ?
 
Kama umeanza kufuatilia Bongo fleva baada ya Domo huwezi kumjua, ila kwa sisi Wahenga tunamfahamu kama PRODUCER DUNGA
Binafsi huwa namkubali sana, hasa alipomalizia mwisho mwisho pale kwenye video ya Matonya - Anitha
Unatumia kinywaji gani nikuhudumie?
 
Huyu jamaa huwa anaweka "vionjo" vitamu sana kwenye nyimbo, sijui kwanini asifanye kama DJ KHALID ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…